Masimp yameongezeka sana ndiyo maana siyo tatizo tena kwa vijana kuoa yoyote wanakutana naye barabaraniHata kwenye jamii kijijini kwetu hili lilikuwepo, ila kwa sasa limepungua.
Tunaenda vizuri na utandawazi kabisa
umetisha mkuuKanuni ni zilezile inapohusu single maza
●Hatulei bao la mwanaume mwingine
●Mwanaume anatakiwa aanzishe familia yake sio ajiunge kwenye familia ya mwanaume mwenzake
●Single maza waolewe na baba za watoto wao
●Single maza ni wa kupiga na kusepa
Ni mwanaume mpumbavu na mjinga tu ndiye anayeweza kumuoa single maza
Learn or perish
Mkuu,Directly, single Maza wengi ni chanzo cha mmomonyoko wa maadili kwa watoto kutokana na kwamba maisha wanayoishi niyakihunihuni unakuta single maza anadate wanaume tofauti tofauti .
Mtoto hua anakopy maisha wanayoishi wazazi au mzazi kama mzazi unaendesha maisha kihuni huni mtoto nae anakopi huo uhuni usishangae ukikutana na kitoto Cha 2000 kikaanza kukutongoza .
Single mom anaongea nasimu usiku tena za mabwana wake watoto wanasikia kila kitu just imagine inakuaje.
Kitoto cha juzijuzi kinajua kila kitu kama mtu mzima vile
Mwisho, usikubali mtoto wako akaishi Kwa single mama mchukue mwanao ukaishi nae asilimia kubwa ya masingle maza wanabadili wanaume sana mtoto Kila siku anaambia huyu ni uncle wako aisee maadili yanaanza kuporomoka kuanzia ngazi ya kifamilia hadi kitaifa.
Wewe ni mwanaume usikubali kulelewa mtoto wako.
Wajumbe mwaka 2020 alimtoa mchezoni uko Buyungu, Kigoma. Kamamba yupo Bungeni yeye tupo nae JF, hadi leo jamaa hayupo OK.Funguka zaidi alimnyoosha nini
Ova
Wewe ni msemaji wao au umejipendekeza?Umoja wa Wakulima nchini Tanzania tunafahamu mchango wa Serikali yetu ktk kukuza, kuinua na kuongeza kipato kupitia programs mbalimbali hususan ruzuku ktk pembejeo.
Kutokana na msingi huo sisi Wakulima nchini tunaamini kwamba hata kama zipo changamoto kadhaa ktk baadhi ya maeneo bado Serikali inaweza kuzitatua kwa njia nyingi za kidplomasia.
Aise kumbe ana saga gaga tuWajumbe mwaka 2020 alimtoa mchezoni uko Buyungu, Bukoba. Kamamba yupo Bungeni yeye tupo nae JF, hadi leo jamaa hayupo OK.
😆😆Aise kumbe ana saga gaga tu
Anaendeleza uchawaaa
Ova
Kwani maandamano ya wakulima haya umeski nane naneUmoja wa Wakulima nchini Tanzania tunafahamu mchango wa Serikali yetu katika kukuza, kuinua na kuongeza kipato kupitia programs mbalimbali hususan ruzuku ktk pembejeo.
Kutokana na msingi huo sisi Wakulima nchini tunaamini kwamba hata kama zipo changamoto kadhaa katika baadhi ya maeneo bado Serikali inaweza kuzitatua kwa njia nyingi za kidplomasia.
Soma Pia: