Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Umoja wa Wakulima nchini Tanzania tunafahamu mchango wa Serikali yetu katika kukuza, kuinua na kuongeza kipato kupitia programs mbalimbali hususan ruzuku ktk pembejeo.

Kutokana na msingi huo sisi Wakulima nchini tunaamini kwamba hata kama zipo changamoto kadhaa katika baadhi ya maeneo bado Serikali inaweza kuzitatua kwa njia nyingi za kidplomasia.

Soma Pia:
Kumbe kuna Umoja lukuki nchini mwetuu

Leo nimeona wakulimu,bodaboda ,bajaji ,

Allloooooo mbeleko mbeleko
 
Umoja wa Wakulima nchini Tanzania tunafahamu mchango wa Serikali yetu katika kukuza, kuinua na kuongeza kipato kupitia programs mbalimbali hususan ruzuku ktk pembejeo.

Kutokana na msingi huo sisi Wakulima nchini tunaamini kwamba hata kama zipo changamoto kadhaa katika baadhi ya maeneo bado Serikali inaweza kuzitatua kwa njia nyingi za kidplomasia.

Soma Pia:
Sasa ninyi mpo Burundi mnataka mshiriki mambo ya Tanzania?
 
Umoja wa Wakulima nchini Tanzania tunafahamu mchango wa Serikali yetu katika kukuza, kuinua na kuongeza kipato kupitia programs mbalimbali hususan ruzuku ktk pembejeo.

Kutokana na msingi huo sisi Wakulima nchini tunaamini kwamba hata kama zipo changamoto kadhaa katika baadhi ya maeneo bado Serikali inaweza kuzitatua kwa njia nyingi za kidplomasia.

Soma Pia:
Chadema wanakataliwa na kila kundi hadharini namna hii kweli?🤣
 
Chadema wanakataliwa na kila kundi hadharini namna hii kweli?🤣
Ukweli usiopingika, sisi Wakulima tunataka kabla ya maandamano taasisi yoyote ione kwanza umuhimu wa mazungumzo ya mezani - tunao viongozi wa dini, mabalozi, taasisi za elimu ya juu, mashirika nk nk

Sasa hao watumiwe kusaka suluhu pale penye utata. WAKULIMA KUANDAMANA HAPANA - FARMERS WILL NOT INVOLVE IN ANY WAY
 
Umoja wa Wakulima nchini Tanzania tunafahamu mchango wa Serikali yetu katika kukuza, kuinua na kuongeza kipato kupitia programs mbalimbali hususan ruzuku ktk pembejeo.

Kutokana na msingi huo sisi Wakulima nchini tunaamini kwamba hata kama zipo changamoto kadhaa katika baadhi ya maeneo bado Serikali inaweza kuzitatua kwa njia nyingi za kidplomasia.

Soma Pia:

Hahaha kila rangi tutaiona zamu hii, huo umoja ulianzishwa na kuandikishwa lini na viongozi wake na kina nani na walifanya kikao wapi na lini kuunda hili tamko utuletee hapa boss?
 
Hahaha kila rangi tutaiona zamu hii, huo umoja ulianzishwa na kuandikishwa lini na viongozi wake na kina nani na walifanya kikao wapi na lini kuunda hili tamko utuletee hapa boss?
Duuuu! Huenda wewe siyo mkulima. Wengi wanatambua kuwa
  • Umoja huu ni hai
  • Mwenyekiti wake ni Msakila Kabende
  • Vikao vyetu ni vya robo mwaka au itokee dharura
 
Back
Top Bottom