Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata huku Kilimamoja, Mbulumbulu tumeyakataa maandamano.
Kumbe kuna Umoja lukuki nchini mwetuuUmoja wa Wakulima nchini Tanzania tunafahamu mchango wa Serikali yetu katika kukuza, kuinua na kuongeza kipato kupitia programs mbalimbali hususan ruzuku ktk pembejeo.
Kutokana na msingi huo sisi Wakulima nchini tunaamini kwamba hata kama zipo changamoto kadhaa katika baadhi ya maeneo bado Serikali inaweza kuzitatua kwa njia nyingi za kidplomasia.
Soma Pia:
Sasa ninyi mpo Burundi mnataka mshiriki mambo ya Tanzania?Umoja wa Wakulima nchini Tanzania tunafahamu mchango wa Serikali yetu katika kukuza, kuinua na kuongeza kipato kupitia programs mbalimbali hususan ruzuku ktk pembejeo.
Kutokana na msingi huo sisi Wakulima nchini tunaamini kwamba hata kama zipo changamoto kadhaa katika baadhi ya maeneo bado Serikali inaweza kuzitatua kwa njia nyingi za kidplomasia.
Soma Pia:
Chadema wanakataliwa na kila kundi hadharini namna hii kweli?🤣Umoja wa Wakulima nchini Tanzania tunafahamu mchango wa Serikali yetu katika kukuza, kuinua na kuongeza kipato kupitia programs mbalimbali hususan ruzuku ktk pembejeo.
Kutokana na msingi huo sisi Wakulima nchini tunaamini kwamba hata kama zipo changamoto kadhaa katika baadhi ya maeneo bado Serikali inaweza kuzitatua kwa njia nyingi za kidplomasia.
Soma Pia:
relax na utulize mihemko mkulima wa JF heshimu viongozi wako 🐒Huyo kiongozi wa sisi wakulima ni nani boya kiasi hiki?
walioitwa ni akina nani eti?🐒Kwani wameitwa?
tatizo ni kwamba chadema ni ya wanywa konyagi tu..Ni lini Waliwahi kushiriki?
Ukweli usiopingika, sisi Wakulima tunataka kabla ya maandamano taasisi yoyote ione kwanza umuhimu wa mazungumzo ya mezani - tunao viongozi wa dini, mabalozi, taasisi za elimu ya juu, mashirika nk nkChadema wanakataliwa na kila kundi hadharini namna hii kweli?🤣
Asante kunisaidia - yaani haoni aibu kutukana kiongozi wake.relax na utulize mihemko mkulima wa JF heshimu viongozi wako 🐒
Matatizo yenu huanzia hapo, si mbali sana mtakuja kuomba kura BurundiSasa ninyi mpo Burundi mnataka mshiriki mambo ya Tanzania?
Atakuja Mwigulu kuomba kura kwa kuchorachora mawe.Matatizo yenu huanzia hapo, si mbali sana mtakuja kuomba kura Burundi
Watanganyika wanaojielewa wenye uchungu na taifa laowalioitwa ni akina nani eti?🐒
Umoja wa Wakulima nchini Tanzania tunafahamu mchango wa Serikali yetu katika kukuza, kuinua na kuongeza kipato kupitia programs mbalimbali hususan ruzuku ktk pembejeo.
Kutokana na msingi huo sisi Wakulima nchini tunaamini kwamba hata kama zipo changamoto kadhaa katika baadhi ya maeneo bado Serikali inaweza kuzitatua kwa njia nyingi za kidplomasia.
Soma Pia:
wanaoijua hiyo Tanganyika sina hakika hata kama watazidi elfu10 waliobaki mpaka sasa ni wazee kidogo 🤣Watanganyika wanaojielewa wenye uchungu na taifa lao
Duuuu! Huenda wewe siyo mkulima. Wengi wanatambua kuwaHahaha kila rangi tutaiona zamu hii, huo umoja ulianzishwa na kuandikishwa lini na viongozi wake na kina nani na walifanya kikao wapi na lini kuunda hili tamko utuletee hapa boss?
Sura mbovu kama tako la bibi yako ,pimbi mmoja kabisa usiyejielewa weweJimbo gani Mkuu, mie ni mwakilishi wa Wakulima