Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
Hakuna uhûsiano wa Njaa na UmalayaHii yote sababu ya njaa, hamna Binti anayependa kuliwa na mzee
Kumbe ankula ad fegiHapo yupo zake anakula fegi huku anasaga miraa apate handasi usimuulize kuhusu watoto
Basi na mwanaume anatakiwa aingie kwenye ndoa akiwa bikra
Apo ndo itakua sawa
Hivi nimesikia vibaya au masikio yangu mabovu?Kati ya Mwanamke na Mwanaume Nani anamuingilia mwenzake?
Elimu yangu darasa la saba walinisahishia vibaya mtihani nikafeliBikra Kwa msingi upi?
Kati ya Mwanamke na Mwanaume Nani anamuingilia mwenzake?
Una Elimu gàni Mkuu Mpaka unashindwa kujua Mwanaume Hana Bikra?
Au Unazungumzia semantic ya istilahi Bikra na siô maana ya msingi ya istilahi hiyo?
Hivi nimesikia vibaya au masikio yangu mabovu?
Anamuingilia anaingilia wapi?Labda unatatizo la uelewa mbaya
Hiyo kwangu nimeifuta ni bora niwe mkulima kuliko kuliwa na vijitu havina mbele wala havijielewiMsingi ni mwanamke kujirahisisha na kukubali kutumika kama chombo cha ngono holela.
Mwanamke unakubali vipi kupigwa miti na mtu ambaye sio mumewe?
Nimekuota janaLabda unatatizo la uelewa mbaya
Namimi wanisahihisha vibaya nikalamba reli, gawizaElimu yangu darasa la saba walinisahishia vibaya mtihani nikafeli
Kwani mnasemaga basi 😂😂Hiyo kwangu nimeifuta ni bora niwe mkulima kuliko kuliwa na vijitu havina mbele wala havijielewi
Walituonea sanaNamimi wanisahihisha vibaya nikalamba reli, gawiza
Elimu yangu darasa la saba walinisahishia vibaya mtihani nikafeli
Naamini na wewe tupo levo moja
Kwanini ubase kwenye mfumo dume , huo ni uzamani ukipata mtoto wa kike utajua unakosea wapi
Nope sio hilo ni ndoa za siku hizi wannaume hawataki kuhudumia so mtu anaamua kulea wanawe nasiku hizi wanawake wanajitumaUmaskini chanzo kikubwa cha single mothers
Njoo na sound utarudi kapaKwani mnasemaga basi 😂😂
Utashtukia tayari
Sasa hivi tungekuwa tumefungua Nchi iliyofungwaWalituonea sana
Sasa ivi tungekua maprofesa uko
Nimekuelewa mkuuNina Watoto wôte wakike na kiume lakini haibadili UKWELI.
Nature inatambua Yule àmbaye ni Mhanga anatakiwa ajihami zaidi kuliko àmbaye siô Mhanga.
Walimwengu wanapambana na nature lakini inashindwa.
Swala anapoenda kunywa Maji kwèñye mto weñye Mamba lazima ajihami zaidi kwani yeye ndiye kitoweo na madhara humwangukia yeye.
Hizô Sheria, sijui Dini, vyote vinatokana na utashi na mtazamo wa binadamu àmbao hautaweza kubadili nature.
Nenda hata uzunguni nchi zilizoendelea single mother wanapondwa na kukejeliwa kama huku tuu.
So Huwezi kukwepa hiyo
Nimekuota jana
Wewe sio single motherNope sio hilo ni ndoa za siku hizi wannaume hawataki kuhudumia so mtu anaamua kulea wanawe nasiku hizi wanawake wanajituma
Una bahati mganga wangu anaumwa wamemrogaNjoo na sound utarudi kapa