Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Hii yote sababu ya njaa, hamna Binti anayependa kuliwa na mzee
Hakuna uhûsiano wa Njaa na Umalaya
Umalaya ni tàbia inayochochewa na tàbia ya Asili ya Kurithi, au TAMAA mbaya au uvivu.
Mambo hayo Matatu Malaya hakose kuwa nayo Mojawapo au yôte.

Hayo ya single mother ni matokeo
 
Basi na mwanaume anatakiwa aingie kwenye ndoa akiwa bikra

Apo ndo itakua sawa

Bikra Kwa msingi upi?

Kati ya Mwanamke na Mwanaume Nani anamuingilia mwenzake?

Una Elimu gàni Mkuu Mpaka unashindwa kujua Mwanaume Hana Bikra?

Au Unazungumzia semantic ya istilahi Bikra na siô maana ya msingi ya istilahi hiyo?
 
Bikra Kwa msingi upi?

Kati ya Mwanamke na Mwanaume Nani anamuingilia mwenzake?

Una Elimu gàni Mkuu Mpaka unashindwa kujua Mwanaume Hana Bikra?

Au Unazungumzia semantic ya istilahi Bikra na siô maana ya msingi ya istilahi hiyo?
Elimu yangu darasa la saba walinisahishia vibaya mtihani nikafeli

Naamini na wewe tupo levo moja

Kwanini ubase kwenye mfumo dume , huo ni uzamani ukipata mtoto wa kike utajua unakosea wapi
 
Elimu yangu darasa la saba walinisahishia vibaya mtihani nikafeli

Naamini na wewe tupo levo moja

Kwanini ubase kwenye mfumo dume , huo ni uzamani ukipata mtoto wa kike utajua unakosea wapi

Nina Watoto wôte wakike na kiume lakini haibadili UKWELI.

Nature inatambua Yule àmbaye ni Mhanga anatakiwa ajihami zaidi kuliko àmbaye siô Mhanga.

Walimwengu wanapambana na nature lakini inashindwa.

Swala anapoenda kunywa Maji kwèñye mto weñye Mamba lazima ajihami zaidi kwani yeye ndiye kitoweo na madhara humwangukia yeye.

Hizô Sheria, sijui Dini, vyote vinatokana na utashi na mtazamo wa binadamu àmbao hautaweza kubadili nature.

Nenda hata uzunguni nchi zilizoendelea single mother wanapondwa na kukejeliwa kama huku tuu.
So Huwezi kukwepa hiyo
 
Nina Watoto wôte wakike na kiume lakini haibadili UKWELI.

Nature inatambua Yule àmbaye ni Mhanga anatakiwa ajihami zaidi kuliko àmbaye siô Mhanga.

Walimwengu wanapambana na nature lakini inashindwa.

Swala anapoenda kunywa Maji kwèñye mto weñye Mamba lazima ajihami zaidi kwani yeye ndiye kitoweo na madhara humwangukia yeye.

Hizô Sheria, sijui Dini, vyote vinatokana na utashi na mtazamo wa binadamu àmbao hautaweza kubadili nature.

Nenda hata uzunguni nchi zilizoendelea single mother wanapondwa na kukejeliwa kama huku tuu.
So Huwezi kukwepa hiyo
Nimekuelewa mkuu

Kumbe una msimamo huo kisa nchi za ulaya
 
Back
Top Bottom