Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

😁😁😁Inaonekana kwenye kipengele cha pesa mwanamke hashauriki wala harekebishiki.

Wanawake Waliowengi kwenye kundi hili ni wale graduates, exposure ya kitaa cha kibongobongo hawana wao wanataka ku-force maisha flani hivi classic.

Bahati mbaya mtoto wa kike sio kama wa kiume kwamba utamuacha kitaa kimfunze ajue maisha. Na kama ni mpenzi wako basi inakubidi umdekeze kimayaiyai hivyo hivyo ukisema umkazie anasepa kwa bwege mwingine anamwaga pesa balaa afu wanakwambia tafuta pesa.

Utandawazi ni changamoto ila mila na destuli zinatatua changamoto kama hizi.
Ila kama ni mke wa kuoa bora utafute poligoni tu, hutopata presha
 
Daah! Wewe unaishi Dunia ipi??
Nenda hospital za serikali hasa mikoa ya kusini uone watoto wanazaa, je watoto wazazi hawana hata wanachojua kuhusu umalaya, miaka 13, 14 utamwita Malaya au kukosa uelewa?

Pia Kwa Nini wanaume wanawazalisha watoto wa miaka chini ya 18?
Kwamba miaka 13 ,14 anazaa!
Kwamba menstral tayari ameanza miaka 13?
Au ujauzito ana ubebaje?
 
Madam Habari.

Binafsi ninaona kuna sababu kama tatu hivi;

1). Elimu,
2). Kipato, kujitosheleza a kiuchumi.
3). Utandawazi, Kufifia utamaduni wa asili na ukuaji wa kasi wa tamaduni za kigeni. Yuropu, na Amerika.,

Kiasili mwanamke ni pasua kichwa na ndio maana nature ilimuandaa kuwa duni(inferior) mbele ya wanaume, samahani kwa lugha hii,

Na hata tamaduni nyingi duniani nikama zinamu-undermine mwanamke hasa huku Africa, hili suala sio bahati mbaya... Linamaana kubwa sana na vitendo vingi vinavyo discriminate mwanamke vilivyopigiwa kelele na haki za binadamu kama vile FGM, nk. Ukiangalia kwa jicho la haki za binadamu unaona wako sahihi kabisa.

Lakini ukweli ni kwamba mila zetu sio potofu au waasisi wetu hawakuwa wakatili kiasi hicho ila walicbokifanya ni hekima ya hali ya juu mno na pengine waliamrishwa/au waliagizwa wafanye hivyo kupitia uvuvio, unabii kutoka kwa Nguvu ya asili.

Nature/asili sio potofu au jinga hadi ikam-shape mwanamke kwa kua dhaifu kidogo tu chini ya mwanaume, mara zote uwezo wetu wa kufikiria unapoishia nature yenyewe inaendelea kuanzia hapo.

Sasa kupitia Elimu na nguvu(uwezo mwanamke wa kujitegemea kiuchumi) hili ni kosa kubwa sana endapo kama hakutakua na utalatibu maalumu wakuthibiti maadili katika jamii.

Ninaheshimu haki za binadamu na nawapenda watu wote pasipo kujali tofauti zao... Ila sijawahi kuibeza nature!/asili, na zizani kama kitendo cha jamii mbalimbali duniani ku - undermine jinsia ya kike ni kitendo cha bahati mbaya/ coincedence.

Na kitendo cha kuruhusu gender equality ni kwenda kinyume na asili hivyo tujiandae na matokeo yake(pindi yakitokea tutapambana nayo vipi).

Yaani kwa mwenendo huu wakudhalau mila na desturi huku maadili akiendelea kupolomoka (uzungu) madhara yake yameanza kuonekana.
Uliyoyaongea hayana na hayawezi kuwa na uthibitisho , ila ukiyafikiria vizuri yanamake sense.

Usiseme mwanamke ni pasua kichwa, fairly: binadamu ni pasua kichwa, lakini…. ili dunia ibalance ikatengenezwa mifumo ya kumthibiti binadamu mmoja (mwanamke) “inferiorize” (si neno) Ili kusudi huyu pasua kichwa mwingine (mwanaume) aweze kuongoza dunia ilete balance.

Dunia inahitaji mnyonge mmoja na mwerevu mmoja, kwa sasa hakuna anayekubali unyonge lazima kiumane!
 
Nope sio hilo ni ndoa za siku hizi wannaume hawataki kuhudumia so mtu anaamua kulea wanawe nasiku hizi wanawake wanajituma
Nyinyi Wanawake si huwa mnapenda kuzaa na vijana mnaowapenda haijalisha kijana ata akiwa hajishughulishi na kazi yoyote hii ndio sababu kuongezeka kwa masingo Maza huko mtaani
 
Daah! Wewe unaishi Dunia ipi??
Nenda hospital za serikali hasa mikoa ya kusini uone watoto wanazaa, je watoto wazazi hawana hata wanachojua kuhusu umalaya, miaka 13, 14 utamwita Malaya au kukosa uelewa?

Pia Kwa Nini wanaume wanawazalisha watoto wa miaka chini ya 18?
Wewe ni muongo sana ulifika hospital gani huku kusini ukayaona hayo? Tuje upande wako ulianza uzinzi ukiwa na umri gani?
 
Uliyoyaongea hayana na hayawezi kuwa na uthibitisho , ila ukiyafikiria vizuri yanamake sense.

Usiseme mwanamke ni pasua kichwa, fairly: binadamu ni pasua kichwa, lakini…. ili dunia ibalance ikatengenezwa mifumo ya kumthibiti binadamu mmoja (mwanamke) “inferiorize” (si neno) Ili kusudi huyu pasua kichwa mwingine (mwanaume) aweze kuongoza dunia ilete balance.

Dunia inahitaji mnyonge mmoja na mwerevu mmoja, kwa sasa hakuna anayekubali unyonge lazima kiumane!
Nonsense comment
 
Madam Habari.

Binafsi ninaona kuna sababu kama tatu hivi;

1). Elimu,
2). Kipato, kujitosheleza a kiuchumi.
3). Utandawazi, Kufifia utamaduni wa asili na ukuaji wa kasi wa tamaduni za kigeni. Yuropu, na Amerika.,

Kiasili mwanamke ni pasua kichwa na ndio maana nature ilimuandaa kuwa duni(inferior) mbele ya wanaume, samahani kwa lugha hii,

Na hata tamaduni nyingi duniani nikama zinamu-undermine mwanamke hasa huku Africa, hili suala sio bahati mbaya... Linamaana kubwa sana na vitendo vingi vinavyo discriminate mwanamke vilivyopigiwa kelele na haki za binadamu kama vile FGM, nk. Ukiangalia kwa jicho la haki za binadamu unaona wako sahihi kabisa.

Lakini ukweli ni kwamba mila zetu sio potofu au waasisi wetu hawakuwa wakatili kiasi hicho ila walicbokifanya ni hekima ya hali ya juu mno na pengine waliamrishwa/au waliagizwa wafanye hivyo kupitia uvuvio, unabii kutoka kwa Nguvu ya asili.

Nature/asili sio potofu au jinga hadi ikam-shape mwanamke kwa kua dhaifu kidogo tu chini ya mwanaume, mara zote uwezo wetu wa kufikiria unapoishia nature yenyewe inaendelea kuanzia hapo.

Sasa kupitia Elimu na nguvu(uwezo mwanamke wa kujitegemea kiuchumi) hili ni kosa kubwa sana endapo kama hakutakua na utalatibu maalumu wakuthibiti maadili katika jamii.

Ninaheshimu haki za binadamu na nawapenda watu wote pasipo kujali tofauti zao... Ila sijawahi kuibeza nature!/asili, na zizani kama kitendo cha jamii mbalimbali duniani ku - undermine jinsia ya kike ni kitendo cha bahati mbaya/ coincedence.

Na kitendo cha kuruhusu gender equality ni kwenda kinyume na asili hivyo tujiandae na matokeo yake(pindi yakitokea tutapambana nayo vipi).

Yaani kwa mwenendo huu wakudhalau mila na desturi huku maadili akiendelea kupolomoka (uzungu) madhara yake yameanza kuonekana.
Hujaongea uhalisia, Mwanamke anapaswa kuinuka kiuchumi na kupata elimu . Kuwa single mother haina uhusiano wowote na vitu tajwa hapo
 
Single mother wanazidi Kwa sababu ya Kuzidi kwa Kule kujimwambafy wanawake na Kuendekeza Ufeminine kuiga wazungu..

Wazungu wao washazoea Kuwa masingle maza na wala hawana shida ila sisi Tunaiga na ndo maana tunapotea..
Chanzo kikubwa ni Ufeminine Kwishaaa

Hilo swali tafadhali lisijibiwe ki jazba.

Ukosefu wa maadili unatupeleka pabaya sana. U singo mama na u singo baba unakuja kwa njia tofauti lakini kuu zaidi ni hili la singo mama.

Nyumba zinazoitwa " vituo vya yatima", binafsi naziita vituo vya watoto waliokosa bahati. Kwa sababu vituo hivyo vimejaa watoto wenye wazazi wao, lakini kwa kuwa watu wameona ni biashara inayolipa, wanachukuwa vibali vya vituo hivyo na kuwajaza humo kujitengenezea kipato haramu.

Wengine wa hao watoto wa singo maza na singo faza, ni watoto tunaowaona wakilelewa na walezi wengine kabisa, ambao siyo wazazi wao. Kama vile bibi, shangazi, dada mama mkuu. Je kuna siri zipi nyuma ya pazia?

Nini kinachosababisha u singo maza? Majibu yangu binafsi kwa uchache.

1) Wengi, pengine asilimia kubwa zaidi, za watoto wasio na bahati, hupatikana mimba kwa kujamiiana watu walio wa karibu kabisa, baba, mjomba, kaka, baba mdogo, baba mkubwa mpaka mababu.

Mashangazi, dada, mama mdogo, mama mkubwa nao wamo.

Watoto wanaopatikana ni kipi kitawazuwia wasiwe wa singo maza?

Wanasema "nyumba uloizowea kuihama ina kazi". Mtindo huo hujirudia sana tu.

Kuna kesi mbili tatu nazifahamu binafsi za namna hiyo, dunia haina siri.

Nyote, mnaoambiwa ni watoto wa singo maza msiowajuwa baba zenu, au kila mwanamme anaeingia kwenu unaambiwa "mwamkie babako" mjuwe baba zenu mnao na ni watu wenu wa karibu kabisa.

Tukiona Watanzania wengi ni mapoyoyo, hiyo nayo ni sababu ya kuwa na taifa lenye watoto wenye mapungufu.
Tatizo siyo wanaoitwa au jiita ma "singo mama" tu, kuna watoto wengi sana wanaoambiwa "mamako alikufa" au "babako alikufa", kumbe ni uwongo mtupu. Huyo baba au mama aliyekufa isibaki hata picha? Au ndugu zake?

Ma singo baba, sababu zao ni nini?

Tusilee uozo wa maadili.
To me,

Sababu kubwa ni Kukosa Hofu ya Mungu, na kama ipo basi kukosa Maadili

Kingine ni Uferminism na taasisi nyingi zinazowapa Wanawake nafasi zisizokuwa zao katika Familia, yaani Mwanamke anakuwa BABA kimamlaka na kimaamuzi

Ilihali pamoja na pesa zake au nafasi katika serikali Mwanamke anapaswa kumujeshimu mumewe na kumtambua kuwa ni Mume na Kichwa cha nyumba

Mlivyokuwa mnaishi ninyi na kuheshimu ndoa Mabinti wa sasa wengi hawana hilo na wanadharau sana Wanaume wakiona kama wanaweza kufanya kila kitu kisa pesa au uongozi

Hakuna Mwanaume anapenda kudharauliwa au kushushwa na Mwanamke, no matter ana hali gani kiuchumi
 
Tena anakubali kutombwa kavu siku za hatari

Kila siku nasema na narudia tena

Single maza ni mwanamke mjinga sana:

●KWANZA, alikubali kutiwa mimba na mwanaume ambaye sio mume wake

●PILI, ujinga mwingine wa single maza ni kumchagua irresponsible man (mwanaume ambaye hayuko tayari kutimiza majukumu yake) amtie mimba

Single maza ni laana
Wasilaumiwe , ndio Hali ilivyo wasichana wadogo miaka 14-30 wanaingia mahusiano na Men katika umri huo 14-30 je kijana wa kitanzania miaka 14-30 Wana kitu gani? Miaka 14-30 asilimia 95 Ni fukara Sana wengi Ni wanafunzi na wengine bado wanaishi kwa wazazi na wengine hawana hata kipato kinachofika 20k perday Sasa huyo unategemea awe baba anayewajibika? kijana anakuja kujipata 35+ itabidi aangalie wakuoa katika kundi la 20s wakati katika kundi alilo zalisha Wana 35+ je hao Nani atawaoa? Kwahiyo shida kubwa Ni umaskini au Hali duni ya sisi wanaume
 
Back
Top Bottom