Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Wanaume kukwepa majukumu

Pia wanaume ni wachache na hao hao wachache Kuna mashoga, kataa ndoa, kimbilia mashangazi yaan uchache umegeuka adimu

Pia njaa haijahi kumpendeza mtu, umeshawakuta watoto wa wabunge, maafisa waandamizi wakiwa single Maza?
Sisi wanaume Ni jeshi kubwa hatujawahi kuwa wachache duniani. Katika nchi wanawake wanaotuzidi kwasababu wanachelewa kufa😆 hivyo wanatuzidi avarage age 60-100 yrs. Pia mashoga sio wanaume hivyo usiwahesabu katika kundi la wanaume. Sababu Ni moja tu , sisi tunaanza kuwa zalisha tukiwa 18yrs tunakuja kuoa 35yrs ☺️
 
Single mother wanazidi Kwa sababu ya Kuzidi kwa Kule kujimwambafy wanawake na Kuendekeza Ufeminine kuiga wazungu..

Wazungu wao washazoea Kuwa masingle maza na wala hawana shida ila sisi Tunaiga na ndo maana tunapotea..
Chanzo kikubwa ni Ufeminine Kwishaaa
Actually mzungu kashatambua athari za usingle mama kitambo, hii dhambi sahizi imebaki kutafuna jumuiya ya watu weusi hasahasa diaspora ya marekani; takwimu za mwisho nilizosoma ni kuwa katika jumuiya ya black Americans takribani 70% ya watoto wanaozaliwa wapo katika mazingira ya usingle mother
Madhara yake ni kuwa jamii ya watu weusi huko marekani imechakaa vibaya Sana; wanazaliwa watoto wakiume wasiojua jinsi ya kushikiria majukumu ya uanaume (wanaishia kuzalisha wanawake na kukimbia majukumu Yao) pia wanazaliwa watoto wakike wasiokuwa na mifano hai ya "Mme" na "Baba" hivyo hawajifunzi Mme na Baba wa mtoto inabidi awaje na waishi nae vipi
Kiufupi; mwanamke anakuwa hatawaliki ndani ya ndoa na anakosa usikivu (kajengewa mitazamo hasi na Mama yake juu ya wanaume) na mwanaume ambaye naye ni zao la single Mather anashindwa kupata malezi Bora ya baba na kusimama kama mwanaume ndani ya familia yake
The equivalent kwa sisi tunaoishi Dar naweza kusema jumuiya ya makondakta na bodaboda asilimia zaidi ya 70% ni aidha hawa wanaume ambao wanakimbia majukumu au wamezaliwa kwenye mazingira hayo na wanaendeleza gurudumu la tamaduni Yao haribifu
 
Mtu uko verified kabisa lakini unaandika mawazo finyu ,, Nadhani kiongezwe kigezo Cha kupima uwezo wakutoa mawazo faafu kabla hakupewa hiyo verification
Ok sawa Ngoja Niwe Mstaarabu ili nikusaidie Pengine unapitia Magumu Ulipo...

Nikufundishe Kidogo Communication skills Ambayo nahisi Unaikosa Elimu hiyo Adhimu, na Elimu ya Mijadala ambayo nahisi Hukuwahi Kufundishwa..
Hayo ni l yangu Kuhusu Single mazas kwa Mujibu wa Research zisizo rasmi nilizofanya (Unpublished)..

Sasa Chukua Hoja zangu Zichambue moja moja na Uzipinge kwa Kutumie Hoja Zako...

Kama Huwezi kufanya Hivyo basi upande wa Kulia hapo kwenye Jamiiforum Kuna icon Nne Bonyesha Icon ya Kwanza kabisa Kipengele cha mwisho Kimeandikwa Log Out Kibonyeze Uzime Simu na Ulale...

Kwanza Sheria Mojawapo ya Majadiliano (Huenda Ulikuwa Hujui) ni Kuheshimu Hoja za mwenzako, hata kama Ni za Kipuuzi kama Zako..

Na Baada ya Kuheshimu Hoja Hizo kama Hukubaliana nazo ,Unazipinga kwa Heshima..

Nasikitika jamiiforum Haiwafundishi Siku hizi Jinsi ya Kujiengage kwenye Mijadala Zamani Kipindi Jamiiforum Inaanzishwa Kulikuwa Na somo Kila mara la Kujiengage kwenye Mijadala..

Natanguliza Shukrani Za dhati kabisa ndani ya Mtima wangu 😅
 
Ok sawa Ngoja Niwe Mstaarabu ili nikusaidie Pengine unapitia Magumu Ulipo...

Nikufundishe Kidogo Communication skills Ambayo nahisi Unaikosa Elimu hiyo Adhimu, na Elimu ya Mijadala ambayo nahisi Hukuwahi Kufundishwa..
Hayo ni l yangu Kuhusu Single mazas kwa Mujibu wa Research zisizo rasmi nilizofanya (Unpublished)..

Sasa Chukua Hoja zangu Zichambue moja moja na Uzipinge kwa Kutumie Hoja Zako...

Kama Huwezi kufanya Hivyo basi upande wa Kulia hapo kwenye Jamiiforum Kuna icon Nne Bonyesha Icon ya Kwanza kabisa Kipengele cha mwisho Kimeandikwa Log Out Kibonyeze Uzime Simu na Ulale...

Kwanza Sheria Mojawapo ya Majadiliano (Huenda Ulikuwa Hujui) ni Kuheshimu Hoja za mwenzako, hata kama Ni za Kipuuzi kama Zako..

Na Baada ya Kuheshimu Hoja Hizo kama Hukubaliana nazo ,Unazipinga kwa Heshima..

Nasikitika jamiiforum Haiwafundishi Siku hizi Jinsi ya Kujiengage kwenye Mijadala Zamani Kipindi Jamiiforum Inaanzishwa Kulikuwa Na somo Kila mara la Kujiengage kwenye Mijadala..

Natanguliza Shukrani Za dhati kabisa ndani ya Mtima wangu 😅
Mawazo finyu Yana haki ya kupuuzwa mkuu
 
Wasilaumiwe , ndio Hali ilivyo wasichana wadogo miaka 14-30 wanaingia mahusiano na Men katika umri huo 14-30 je kijana wa kitanzania miaka 14-30 Wana kitu gani? Miaka 14-30 asilimia 95 Ni fukara Sana wengi Ni wanafunzi na wengine bado wanaishi kwa wazazi na wengine hawana hata kipato kinachofika 20k perday Sasa huyo unategemea awe baba anayewajibika? kijana anakuja kujipata 35+ itabidi aangalie wakuoa katika kundi la 20s wakati katika kundi alilo zalisha Wana 35+ je hao Nani atawaoa? Kwahiyo shida kubwa Ni umaskini au Hali duni ya sisi wanaume
Ujinga ni kupata hiyo mimba
 
Sisi wanaume Ni jeshi kubwa hatujawahi kuwa wachache duniani. Katika nchi wanawake wanaotuzidi kwasababu wanachelewa kufa😆 hivyo wanatuzidi avarage age 60-100 yrs. Pia mashoga sio wanaume hivyo usiwahesabu katika kundi la wanaume. Sababu Ni moja tu , sisi tunaanza kuwa zalisha tukiwa 18yrs tunakuja kuoa 35yrs ☺️
Hshah Na Haya Ni mawazo yaliyojaa Akili na Busara kutoka Kwa Intellectual Mwenye IQ ya 150 😅😅🤣🤣🤣😂
 
1. People are subjected to mistakes , kuna hili kundi wanapata mimba wakiwa bado wadogo kwasababu mbali mbali zinazowapelekea kuachwa solemba na waliowapa mimba. Mara nyingi hawa ni victims.

2. U poa poa, tuzae tuzae then what!

3.umalaya, mtu anajikuta amepata mimba na within fertility window alilala na 3 different men, akianza kuwashika mashati na akafanya kosa moja hawa wanaume wakagundua hakuna atakayekubali huyo mtoto (wanaume sio mafala kivile)

4. peer pressure, jamii imemuaminisha mwanamke lazima azae akifika umri fulani, wanawake wakiwa umri huo desperation level inakuwa juu sana. Wanaona kama sijaolewa ngoja tu nizae.

5. Kutembea na waume za watu, i swear ukitembea na mume wa mtu utaishia tu kuwa single mother, most men won’t leave their wives for mpango kando. Na hii ni sababu ya baadhi ya wanawake maisha yakiwashinda kitega uchumi pekee kisichohitaji investment ni kuzaa na mume wa mtu.

6. Women empowerment, Wanawake wakiwezeshwa wakaweza hawataweza kukaa kwenye ndoa za mateso, Hence wakiona wanateseka watavunja ndoa tu….

7. Umagharibi ; ile nazaa nitalea mwenyewe.

Katika haya yote kubwa ni mmomonyoko wa maadili, However wanawake tunatakiwa kubeba lawama katika hili, kwanza “most” of men hawapendi watoto (hawawezi kukiri) So watoto ni jukumu la mwanamke, Jitunze pata mume mzae muwajibike pamoja kulea watoto, Hakuna ubaya wowote katika kulea watoto katika complete family, kwanini tuopt fasheni nyingine ambayo imeprove tofauti? Usingo mother/father uwe kwa sababu ya majaliwa (kifo)

Waliotengeneza familia/ndoa kuwa taasisi-msingi kushinda taasisi zote hawakuwa wajinga, mkiwa ndoani/familiani mtawajibika tu hata kama hamtaki! Hence ustawi bora wa watoto.

Wanawake tukemeane kwenye hili, katika hili nisisikie adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzie blah blah . Kijana wa watu hajakaa vizuri umeshamzalia , alikwambia anataka mtoto????

Mwenyezi Mungu anisamehe kama nimeongelea wanawake wenzangu kwa ukali.

Jamii itageuka ya ajabu na hapa bado!
Niliwahi kukuuliza kwa nini ukajiita binti kiziwi, u never answered my question!
 
Mawazo finyu Yana haki ya kupuuzwa mkuu
Swali la kwanza Uliyapuuza?
au uliyajibu kwa Emotion?

Kitu ambacho ninapenda Kukushauri Kijana wangu Mdogo..

Kwa Haraka haraka UnaLack Emotional Intelligence (EI), Social Quotient (SQ) na siwezi kusema una Ignorance ntakuwa nakutukana..
But una inarticulateness au inaitwa intellectual deficiency.

So Jaribu Kujifunza Mijadala hufanyikaje kabla hujajiingiza Kwenye Mijadala..

Huwa Sijiingizi kwenye Mabishano hasa na Watoto..

So I rest my Case With you For Ever
 
Kijana punguza makasiriko , let's hoja zenye afya katika mjadala
Swali la kwanza Uliyapuuza?
au uliyajibu kwa Emotion?

Kitu ambacho ninapenda Kukushauri Kijana wangu Mdogo..

Kwa Haraka haraka UnaLack Emotional Intelligence (EI), Social Quotient (SQ) na siwezi kusema una Ignarance ntakuwa nakutukana..
But una inarticulateness au inaitwa intellectual deficiency.

So Jaribu Kujifunza Mijadala hujajiingiza Kwenye Mijadala..

Huwa Sijiingizi kwenye Mabishano hasa na Watoto..

So I rest my Case With you For Ever
 
Hilo swali tafadhali lisijibiwe ki jazba.

Ukosefu wa maadili unatupeleka pabaya sana. U singo mama na u singo baba unakuja kwa njia tofauti lakini kuu zaidi ni hili la singo mama.

Nyumba zinazoitwa " vituo vya yatima", binafsi naziita vituo vya watoto waliokosa bahati. Kwa sababu vituo hivyo vimejaa watoto wenye wazazi wao, lakini kwa kuwa watu wameona ni biashara inayolipa, wanachukuwa vibali vya vituo hivyo na kuwajaza humo kujitengenezea kipato haramu.

Wengine wa hao watoto wa singo maza na singo faza, ni watoto tunaowaona wakilelewa na walezi wengine kabisa, ambao siyo wazazi wao. Kama vile bibi, shangazi, dada mama mkuu. Je kuna siri zipi nyuma ya pazia?

Nini kinachosababisha u singo maza? Majibu yangu binafsi kwa uchache.

1) Wengi, pengine asilimia kubwa zaidi, za watoto wasio na bahati, hupatikana mimba kwa kujamiiana watu walio wa karibu kabisa, baba, mjomba, kaka, baba mdogo, baba mkubwa mpaka mababu.

Mashangazi, dada, mama mdogo, mama mkubwa nao wamo.

Watoto wanaopatikana ni kipi kitawazuwia wasiwe wa singo maza?

Wanasema "nyumba uloizowea kuihama ina kazi". Mtindo huo hujirudia sana tu.

Kuna kesi mbili tatu nazifahamu binafsi za namna hiyo, dunia haina siri.

Nyote, mnaoambiwa ni watoto wa singo maza msiowajuwa baba zenu, au kila mwanamme anaeingia kwenu unaambiwa "mwamkie babako" mjuwe baba zenu mnao na ni watu wenu wa karibu kabisa.

Tukiona Watanzania wengi ni mapoyoyo, hiyo nayo ni sababu ya kuwa na taifa lenye watoto wenye mapungufu.
Tatizo siyo wanaoitwa au jiita ma "singo mama" tu, kuna watoto wengi sana wanaoambiwa "mamako alikufa" au "babako alikufa", kumbe ni uwongo mtupu. Huyo baba au mama aliyekufa isibaki hata picha? Au ndugu zake?

Ma singo baba, sababu zao ni nini?

Tusilee uozo wa maadili.
Changamoto tuliyonayo ni watu kutopenda kuchukua wakina kwa matendo yao, natamani hii iingie hata mashuleni kuanzia chini kabisa

Kwamba kila tunachofanya mmoja mmoja tuchukue jukumu la kuwajibika
 
Hilo swali tafadhali lisijibiwe ki jazba.

Ukosefu wa maadili unatupeleka pabaya sana. U singo mama na u singo baba unakuja kwa njia tofauti lakini kuu zaidi ni hili la singo mama.

Nyumba zinazoitwa " vituo vya yatima", binafsi naziita vituo vya watoto waliokosa bahati. Kwa sababu vituo hivyo vimejaa watoto wenye wazazi wao, lakini kwa kuwa watu wameona ni biashara inayolipa, wanachukuwa vibali vya vituo hivyo na kuwajaza humo kujitengenezea kipato haramu.

Wengine wa hao watoto wa singo maza na singo faza, ni watoto tunaowaona wakilelewa na walezi wengine kabisa, ambao siyo wazazi wao. Kama vile bibi, shangazi, dada mama mkuu. Je kuna siri zipi nyuma ya pazia?

Nini kinachosababisha u singo maza? Majibu yangu binafsi kwa uchache.

1) Wengi, pengine asilimia kubwa zaidi, za watoto wasio na bahati, hupatikana mimba kwa kujamiiana watu walio wa karibu kabisa, baba, mjomba, kaka, baba mdogo, baba mkubwa mpaka mababu.

Mashangazi, dada, mama mdogo, mama mkubwa nao wamo.

Watoto wanaopatikana ni kipi kitawazuwia wasiwe wa singo maza?

Wanasema "nyumba uloizowea kuihama ina kazi". Mtindo huo hujirudia sana tu.

Kuna kesi mbili tatu nazifahamu binafsi za namna hiyo, dunia haina siri.

Nyote, mnaoambiwa ni watoto wa singo maza msiowajuwa baba zenu, au kila mwanamme anaeingia kwenu unaambiwa "mwamkie babako" mjuwe baba zenu mnao na ni watu wenu wa karibu kabisa.

Tukiona Watanzania wengi ni mapoyoyo, hiyo nayo ni sababu ya kuwa na taifa lenye watoto wenye mapungufu.
Tatizo siyo wanaoitwa au jiita ma "singo mama" tu, kuna watoto wengi sana wanaoambiwa "mamako alikufa" au "babako alikufa", kumbe ni uwongo mtupu. Huyo baba au mama aliyekufa isibaki hata picha? Au ndugu zake?

Ma singo baba, sababu zao ni nini?

Tusilee uozo wa maadili.
 
Back
Top Bottom