Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Sababu Ni moja tu ,, atakaye eleza sababu nyingine anaongea kwa mihemko au kichwani hamnazo.
Na sababu hiyo Ni Ugumu wa maisha kwa vijana. Kijana akitia Mimba analala mbele 😄 anatafuta mwingine akitia Mimba analala mbele. Utakuta kijana Hana kipato kinacholeweka lakini anapenda ngono matokeo yakija inabidi akwepe msala
Hao wanawake wanaotiwa mimba ni mazezeta wasiojua hata vidonge vya kuzuia mimba
 
Hakika imagine mfano binti anaona n heri amwache kijana maskini akatembee na sponsor mwenye mke wake shauri ya pesa,wakati huyo yeye alitafuta na mkewe from scratch.
Hii ya umasikini ni mjadala pia, umasikini upo absolute au Relative. Nina ninao wafahamu walikuwa na maisha mazuri, still wanayo lakini wanaleo watoto wenyewe.
 
Single mother wanazidi Kwa sababu ya Kuzidi kwa Kule kujimwambafy wanawake …
Upo sahihi, Ona kısa hiki!
 
Hilo swali tafadhali lisijibiwe ki jazba.

Ukosefu wa maadili unatupeleka pabaya sana. U singo mama na u singo baba unakuja kwa njia tofauti lakini kuu zaidi ni hili la singo mama.

Nyumba zinazoitwa " vituo vya yatima", binafsi naziita vituo vya watoto waliokosa bahati. Kwa sababu vituo hivyo vimejaa watoto wenye wazazi wao, lakini kwa kuwa watu wameona ni biashara inayolipa, wanachukuwa vibali vya vituo hivyo na kuwajaza humo kujitengenezea kipato haramu.

Wengine wa hao watoto wa singo maza na singo faza, ni watoto tunaowaona wakilelewa na walezi wengine kabisa, ambao siyo wazazi wao. Kama vile bibi, shangazi, dada mama mkuu. Je kuna siri zipi nyuma ya pazia?

Nini kinachosababisha u singo maza? Majibu yangu binafsi kwa uchache.

1) Wengi, pengine asilimia kubwa zaidi, za watoto wasio na bahati, hupatikana mimba kwa kujamiiana watu walio wa karibu kabisa, baba, mjomba, kaka, baba mdogo, baba mkubwa mpaka mababu.

Mashangazi, dada, mama mdogo, mama mkubwa nao wamo.

Watoto wanaopatikana ni kipi kitawazuwia wasiwe wa singo maza?

Wanasema "nyumba uloizowea kuihama ina kazi". Mtindo huo hujirudia sana tu.

Kuna kesi mbili tatu nazifahamu binafsi za namna hiyo, dunia haina siri.

Nyote, mnaoambiwa ni watoto wa singo maza msiowajuwa baba zenu, au kila mwanamme anaeingia kwenu unaambiwa "mwamkie babako" mjuwe baba zenu mnao na ni watu wenu wa karibu kabisa.

Tukiona Watanzania wengi ni mapoyoyo, hiyo nayo ni sababu ya kuwa na taifa lenye watoto wenye mapungufu.
Tatizo siyo wanaoitwa au jiita ma "singo mama" tu, kuna watoto wengi sana wanaoambiwa "mamako alikufa" au "babako alikufa", kumbe ni uwongo mtupu. Huyo baba au mama aliyekufa isibaki hata picha? Au ndugu zake?

Ma singo baba, sababu zao ni nini?

Tusilee uozo wa maadili.
Wanawake wameota mapembe that is all, sisi Men hatupendagi ujinga
 
Mzee wa kupambania , mockers spana 😂 😅 zenu ni Og Og

Tena ni made in Germany.
tunajitahidi kuwakumbusha kua mwanamke ana expire akishagonga 40, soko lake linazidi kushuka yaani kama ni bidhaa inakua zilipendwa, ndio maana hata wema Leo huwezi kusikia kasafiri nchi fulani na nchi fulani sababu soko Hana tena, hata uhongaji mabinti wadogo ndio huhongwa pesa nyingi maana bado wako sokoni , mishangazi , single mother na wajane hao ni saidia fundi , ukizidiwa piga na ondoka
 
Hilo swali tafadhali lisijibiwe ki jazba.

Ukosefu wa maadili unatupeleka pabaya sana. U singo mama na u singo baba unakuja kwa njia tofauti lakini kuu zaidi ni hili la singo mama.

Nyumba zinazoitwa " vituo vya yatima", binafsi naziita vituo vya watoto waliokosa bahati. Kwa sababu vituo hivyo vimejaa watoto wenye wazazi wao, lakini kwa kuwa watu wameona ni biashara inayolipa, wanachukuwa vibali vya vituo hivyo na kuwajaza humo kujitengenezea kipato haramu.

Wengine wa hao watoto wa singo maza na singo faza, ni watoto tunaowaona wakilelewa na walezi wengine kabisa, ambao siyo wazazi wao. Kama vile bibi, shangazi, dada mama mkuu. Je kuna siri zipi nyuma ya pazia?

Nini kinachosababisha u singo maza? Majibu yangu binafsi kwa uchache.

1) Wengi, pengine asilimia kubwa zaidi, za watoto wasio na bahati, hupatikana mimba kwa kujamiiana watu walio wa karibu kabisa, baba, mjomba, kaka, baba mdogo, baba mkubwa mpaka mababu.

Mashangazi, dada, mama mdogo, mama mkubwa nao wamo.

Watoto wanaopatikana ni kipi kitawazuwia wasiwe wa singo maza?

Wanasema "nyumba uloizowea kuihama ina kazi". Mtindo huo hujirudia sana tu.

Kuna kesi mbili tatu nazifahamu binafsi za namna hiyo, dunia haina siri.

Nyote, mnaoambiwa ni watoto wa singo maza msiowajuwa baba zenu, au kila mwanamme anaeingia kwenu unaambiwa "mwamkie babako" mjuwe baba zenu mnao na ni watu wenu wa karibu kabisa.

Tukiona Watanzania wengi ni mapoyoyo, hiyo nayo ni sababu ya kuwa na taifa lenye watoto wenye mapungufu.
Tatizo siyo wanaoitwa au jiita ma "singo mama" tu, kuna watoto wengi sana wanaoambiwa "mamako alikufa" au "babako alikufa", kumbe ni uwongo mtupu. Huyo baba au mama aliyekufa isibaki hata picha? Au ndugu zake?

Ma singo baba, sababu zao ni nini?

Tusilee uozo wa maadili.
Tatizo Ni poor parenting
 
Hilo swali tafadhali lisijibiwe ki jazba.

Ukosefu wa maadili unatupeleka pabaya sana. U singo mama na u singo baba unakuja kwa njia tofauti lakini kuu zaidi ni hili la singo mama.

Nyumba zinazoitwa " vituo vya yatima", binafsi naziita vituo vya watoto waliokosa bahati. Kwa sababu vituo hivyo vimejaa watoto wenye wazazi wao, lakini kwa kuwa watu wameona ni biashara inayolipa, wanachukuwa vibali vya vituo hivyo na kuwajaza humo kujitengenezea kipato haramu.

Wengine wa hao watoto wa singo maza na singo faza, ni watoto tunaowaona wakilelewa na walezi wengine kabisa, ambao siyo wazazi wao. Kama vile bibi, shangazi, dada mama mkuu. Je kuna siri zipi nyuma ya pazia?

Nini kinachosababisha u singo maza? Majibu yangu binafsi kwa uchache.

1) Wengi, pengine asilimia kubwa zaidi, za watoto wasio na bahati, hupatikana mimba kwa kujamiiana watu walio wa karibu kabisa, baba, mjomba, kaka, baba mdogo, baba mkubwa mpaka mababu.

Mashangazi, dada, mama mdogo, mama mkubwa nao wamo.

Watoto wanaopatikana ni kipi kitawazuwia wasiwe wa singo maza?

Wanasema "nyumba uloizowea kuihama ina kazi". Mtindo huo hujirudia sana tu.

Kuna kesi mbili tatu nazifahamu binafsi za namna hiyo, dunia haina siri.

Nyote, mnaoambiwa ni watoto wa singo maza msiowajuwa baba zenu, au kila mwanamme anaeingia kwenu unaambiwa "mwamkie babako" mjuwe baba zenu mnao na ni watu wenu wa karibu kabisa.

Tukiona Watanzania wengi ni mapoyoyo, hiyo nayo ni sababu ya kuwa na taifa lenye watoto wenye mapungufu.
Tatizo siyo wanaoitwa au jiita ma "singo mama" tu, kuna watoto wengi sana wanaoambiwa "mamako alikufa" au "babako alikufa", kumbe ni uwongo mtupu. Huyo baba au mama aliyekufa isibaki hata picha? Au ndugu zake?

Ma singo baba, sababu zao ni nini?

Tusilee uozo wa maadili.
Daah sijaipata vizuri, kwa hali ilivyo single mothers sina cha kusema
 
Singo maza wanaongezeka kwasababu ya wanawake wanaamini kuolewa au kumzalia mwanaume ni njia ya kujipatia fedha/mali 💩 mwisho wa siku Mwanaume kumbe naye alikuwa na mipango ya kumla na kusepa...
Singo maza wanaongezeka kwasababu ya umalaya... Pia wanaongezeka kwasababu ya kukosa akili... Wanaongezeka kwasababu ya ulevi kukesha bar na kupenda bia za ofa... Wanaongezeka kwasababu ya kupenda wanaume wenye gari... Wanaongezeka kwasababu ya kuparamia waume za watu...

All in all Wanaume ni mwiko na marufuku kuoa au kumuweka ndani singo maza... Singo maza ni chombo cha starehe
 
Nope sio hilo ni ndoa za siku hizi wannaume hawataki kuhudumia so mtu anaamua kulea wanawe nasiku hizi wanawake wanajituma
Siyo kweli, Kila mwanamme anapenda kuhudumia mtoto na mke wake. Kuhudumia ni fahari yetu.

Sema nyie na umalaya wenu mnataka uhuru ili mkatombeshe kwa wengi.

Hakuna mwanamme aliye tayari kuhudumia mwanamke Malaya, jeuri na kiburi.
 
Na mbona lawama nyingi zinaenda kwa wanawake...wakati sababu kubwa ni wanaume kushindwa kuwa responsible kwa watu waliozaa nao....kama kuna single maza basi kuna single faza pia
Jamii inaongozwa na mwanaume. Ukitaka kujua Jamii yenye wanaume dhaifu we angalia wanawake zao, lazima single mother ni wengi mnoo..

Jamii yenye wanaume wasioweza kumwongoza mwanamke na kumwacha ajiongoze mwenyewe, jamii ya wanaume wasioweza kumkemea mke wa mtu malaya badala yake wanamtongoza, jamii ya wanaume isiyotaka kuwa na familia, wasambaza mbegu, watama pono na wacheza kamari lazima wanawake zao wawe single mother tu.

Jamii ya wanaume vilizi wa mapenzi, jamii ya wanaume walamba lips, jamii ya wanaume laini laini wasiotaka kazi ngumu, wapenda mishangazi, jamii ya wapenda utelezi. Lazima wanawake zao wawe single mother tu.
 
Uliyoyaongea hayana na hayawezi kuwa na uthibitisho , ila ukiyafikiria vizuri yanamake sense.

Usiseme mwanamke ni pasua kichwa, fairly: binadamu ni pasua kichwa, lakini…. ili dunia ibalance ikatengenezwa mifumo ya kumthibiti binadamu mmoja (mwanamke) “inferiorize” (si neno) Ili kusudi huyu pasua kichwa mwingine (mwanaume) aweze kuongoza dunia ilete balance.

Dunia inahitaji mnyonge mmoja na mwerevu mmoja, kwa sasa hakuna anayekubali unyonge lazima kiumane!
Sasa hiki kitendo cha women empowerment/gender equality ndio moja ya chanzo cha hili tatizo.

Kwa sababu kinaenda kinyume na asili inavyotaka, na asili nilikua na maana yake kumuumba mwanamke namna hivyo alivyo.

Mfano: bidhaa mbalimbali zikitengenezwa zinakuja na maelezo ya namna ya kuitumia ile product(vigezo na mashariki kuzingatiwa) na yale maelezo huwa yanatolewa kuendanana na design, materials iliyotumika na namna ya utendaji kazi wa product ili kuongeza ufanisi, kudumu kwa product husika, ukienda kinyume na manual guide ufanisi utashuka mwishowe product inaharibika kabla hata ya muda wake. Eg. Magari na spea zake oil,

How?
Yanaanzia hapa mwanamke akishakua na Elimu, pesa (anajimudu kiuchumi) anakua hashikiki dharau kiburi jeuri.

Wengi wako hivi na kwa kwabahati mbaya wanaume tulivyo hatuwezi kuvumilia fedheha ya aina hii hasa kutoka kwa mwanamke.

Kwahiyo uwezo wa kifedha au /na elimu kwa mwanamke katika mahusiona (ndoa) unamjengea jeuli anaweza akaamua kirahisi tu waachane na ndivyo inavyokuaga.

Uvumilivu wa mwanamke katika ndoa sometimes ni unasababishwa na utegemezi wake kwa mwanaume juu ya mahitaji yake... Sasa kama mahitaji yake anayamudu ikitokea changamoto ndogo tu ya kindoa anabeba vilago. Ila kama ndoa imejengwa kwa misingi mila au mafunzo ya kiimani basi ndoa itadumu angalau shida inakuja sasa hivi wengi ni atheist.
 
1. People are subjected to mistakes , kuna hili kundi wanapata mimba wakiwa bado wadogo kwasababu mbali mbali zinazowapelekea kuachwa solemba na waliowapa mimba. Mara nyingi hawa ni victims.

2. U poa poa, tuzae tuzae then what!

3.umalaya, mtu anajikuta amepata mimba na within fertility window alilala na 3 different men, akianza kuwashika mashati na akafanya kosa moja hawa wanaume wakagundua hakuna atakayekubali huyo mtoto (wanaume sio mafala kivile)

4. peer pressure, jamii imemuaminisha mwanamke lazima azae akifika umri fulani, wanawake wakiwa umri huo desperation level inakuwa juu sana. Wanaona kama sijaolewa ngoja tu nizae.

5. Kutembea na waume za watu, i swear ukitembea na mume wa mtu utaishia tu kuwa single mother, most men won’t leave their wives for mpango kando. Na hii ni sababu ya baadhi ya wanawake maisha yakiwashinda kitega uchumi pekee kisichohitaji investment ni kuzaa na mume wa mtu.

6. Women empowerment, Wanawake wakiwezeshwa wakaweza hawataweza kukaa kwenye ndoa za mateso, Hence wakiona wanateseka watavunja ndoa tu….

7. Umagharibi ; ile nazaa nitalea mwenyewe.

Katika haya yote kubwa ni mmomonyoko wa maadili, However wanawake tunatakiwa kubeba lawama katika hili, kwanza “most” of men hawapendi watoto (hawawezi kukiri) So watoto ni jukumu la mwanamke, Jitunze pata mume mzae muwajibike pamoja kulea watoto, Hakuna ubaya wowote katika kulea watoto katika complete family, kwanini tuopt fasheni nyingine ambayo imeprove tofauti? Usingo mother/father uwe kwa sababu ya majaliwa (kifo)

Waliotengeneza familia/ndoa kuwa taasisi-msingi kushinda taasisi zote hawakuwa wajinga, mkiwa ndoani/familiani mtawajibika tu hata kama hamtaki! Hence ustawi bora wa watoto.

Wanawake tukemeane kwenye hili, katika hili nisisikie adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzie blah blah . Kijana wa watu hajakaa vizuri umeshamzalia , alikwambia anataka mtoto????

Mwenyezi Mungu anisamehe kama nimeongelea wanawake wenzangu kwa ukali.

Jamii itageuka ya ajabu na hapa bado!
Miongoni mwa wanawake wenye reasonig capacity thinking jf ni wewe🩵
 
Niliwahi kukuuliza kwa nini ukajiita binti kiziwi, u never answered my question!
Legend; Seriously?

Sikuwa na sababu ya msingi… ila zamani nikiwa slim nilikuwa nafanana “kiasi” na binti kiziwi wa wimbo wa Z anto. Au basi nilikuwa nampenda, kuna ile delusional ukimpenda mtu unajiona kama yeye/unajiona ndani yake. 😂

It’s me being stupid!
 
Back
Top Bottom