Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

mwanaume kamwe hua hamtupi mwanamke anayemuheshimu na mvumilivu kwake , sema mwanaume akishagundua mwanamke aliyenaye ni mwenye tamaa, dharau , kiburi hapo ndio huamua kumtoa moyoni, somo rahisi mwanaume anaweza kuhudumia mke na mchepuko kwa usawa na bila ubaguzi au mwanaume anaweza kua na wake wawili na akawatendea haki , lakini mwanamke akishakengeuka na kuacha tabia zisizo mpendeza mwanaume hua hawezi kubadilika na ndio anakua anapotea bila yeye kujua , na kwa sababu mwanamke ni mtu wa kujaribu kila kitu kama mtoto anajikuta mara nyingi anajaribu hatari maana uelewa wake ni mdogo,
ukweli mtupu, mockers . Wanawake wengi wamejuta kwa dharau, kiburi, tamaa kwa kupelekea kuachwa na wanaume wa maana.

Muda kwa mwanamke huwa unakuja kumlipizia kisasi kwa ubaya aliomtendea mwanaume hapo siku za nyuma.
 
ukweli mtupu, mockers . Wanawake wengi wamejuta kwa dharau, kiburi, tamaa kwa kupelekea kuachwa na wanaume wa maana.

Muda kwa mwanamke huwa unakuja kumlipizia kisasi kwa ubaya aliomtendea mwanaume hapo siku za nyuma.
Mwanamke anayafikiria mahusiano yake kwa muda wa siku 15 anakua ashapata hatma ayaache au vipi wakati mwanaume anafikiria mahusiano yake kwa siku zaidi ya 300 , ndio maana ni rahisi mke wako kuanza kiburi , kejeli , dharau ukamvumilia ukiamini atabadilika , lakini wapi , ndio maana mwanaume akikosana na mke wake haachi kununua chakula akaweka ndani , lakini mwanamke mkikosana anaacha hata kupika au ukiyumba kiuchumi ataanza kukutangazia mbovu ilihali umemuhudumia miaka 10 bila maneno , hasa wanajichanganya kipato kidogo kikiongezeka kwao wanaona wanaweza yote kumbe akili zao tu hapo ndio huishia kukodi mwanaume amfanye au atafute mariooo amlee hapo anakua kama kachanganyikiwa , yapo mengi Sana sema hawa viumbe akili zao ndogo na hawajijui kama Wana akili ndogo ,
 
Mwanamke anayafikiria mahusiano yake kwa muda wa siku 15 anakua ashapata hatma ayaache au vipi wakati mwanaume anafikiria mahusiano yake kwa siku zaidi ya 300 , ndio maana ni rahisi mke wako kuanza kiburi , kejeli , dharau ukamvumilia ukiamini atabadilika , lakini wapi , ndio maana mwanaume akikosana na mke wake haachi kununua chakula akaweka ndani , lakini mwanamke mkikosana anaacha hata kupika au ukiyumba kiuchumi ataanza kukutangazia mbovu ilihali umemuhudumia miaka 10 bila maneno , hasa wanajichanganya kipato kidogo kikiongezeka kwao wanaona wanaweza yote kumbe akili zao tu hapo ndio huishia kukodi mwanaume amfanye au atafute mariooo amlee hapo anakua kama kachanganyikiwa , yapo mengi Sana sema hawa viumbe akili zao ndogo na hawajijui kama Wana akili ndogo ,
wanatumia hisia zaidi, na hawaangalii mbali.
 
Ningekuwa Maskini na sipo kwèñye listi yako usingeniota. Lakini unaniwaza Sana Mpaka Usiku hulali unaniota.

Waote Maskini wenzako usinitie nuksi na Ndoto zako za Mizimu Maskini
Mimi sijakuota wala na wala sikujui wanaume kama hawa ndio wakuota na unapata hamu ya mapenzi wewe unasura ngumu bado unalelewa kama sio madawa nini
 

Attachments

  • images (3).jpeg
    images (3).jpeg
    25.5 KB · Views: 2
Alhamdullahi nimeepushwa na Shari ya ibiilisi.
Kuotwa na wéwe ni nuksi kûbwa.
Maringo ni mabaya sana nahuna hata hela unazoziota kazi kujisifu kwingi ibilisi ni wewe na familia yako wewe ndio unanuksi mie wakike silelewi najitafutia wewe unalaana unatafutiwa na wanawake maisha kula kwako ni wao wewe kucheza pool table tu umelaaniwa aliyekulaani ni bibi yako mzaa mama dah unanuksi sana unapewa hela ya matumizi kwani wewe nimwanamke aibu sana. Halafu unawataja LIDANGAJI LIONE .
 
Nawaelewa vizuri matukio nimepigwa, lakini upo radical sana kaka punguza maisha hayahitaji uweke sana watu moyoni
Kumbe walikupiga matukio sema unaogopa kuwaelezea kwa lugha watayoelewa , to be clear single mother ni mtu ambaye ni mbinafsi na kamwe hatompenda MTU kwa dhati zaidi atapenda maslahi kwa huyo mtu , waelezeni wao wamejaa tamaa za kitoto ndio maana kila anayegusa anaondoka bila kuaga kwa sababu nature yao wao ni Moto , japo wapo wachache Sana wanaojielewa kiasi kwamba wanatulia lakini katika 20 utapata mmoja Tu au wawili, sipo radical sema waelezeni lugha watayoelewa ili wabadili muelekeo , muhanga wa mahusiano ni mwanamke nature inaamua hivo , ndio maana hutosikia mwanaume anaitwa malaya maana asili inamtaka amiliki hata zaidi ya mwanamke mmoja , lakini hao wanawake wao akijivuruga kwa watu 4 zaidi ataitwa malaya hiyo ni nature , sasa mkiwapa vichwa wanajifanya kupigania haki ambazo hazipo , wanaishia kudhalilika duniani , mwanamke hajawahi kushindana na mwanaume kwani yeye hutumia hisia wakati mwanaume hutumia akili, maamuzi ya mwanamke ni ya hisia na sio akili ndio maana wao hujuta baada ya kuamua
 
Nawaelewa vizuri matukio nimepigwa, lakini upo radical sana kaka punguza maisha hayahitaji uweke sana watu moyoni
Kumbe walikupiga matukio sema unaogopa kuwaelezea kwa lugha watayoelewa , to be clear single mother ni mtu ambaye ni mbinafsi na kamwe hatompenda MTU kwa dhati zaidi atapenda maslahi kwa huyo mtu , waelezeni wao wamejaa tamaa za kitoto ndio maana kila anayegusa anaondoka bila kuaga kwa sababu nature yao wao ni Moto , japo wapo wachache Sana wanaojielewa kiasi kwamba wanatulia lakini katika 20 utapata mmoja Tu au wawili, sipo radical sema waelezeni lugha watayoelewa ili wabadili muelekeo , muhanga wa mahusiano ni mwanamke nature inaamua hivo , ndio maana hutosikia mwanaume anaitwa malaya maana asili inamtaka amiliki hata zaidi ya mwanamke mmoja , lakini hao wanawake wao akijivuruga kwa watu 4 zaidi ataitwa malaya hiyo ni nature , sasa mkiwapa vichwa wanajifanya kupigania haki ambazo hazipo , wanaishia kudhalilika duniani , mwanamke hajawahi kushindana na mwanaume kwani yeye hutumia hisia wakati mwanaume hutumia akili, maamuzi ya mwanamke ni ya hisia na sio akili ndio maana wao hujuta baada ya kuamua
 
Hilo swali tafadhali lisijibiwe ki jazba.

Ukosefu wa maadili unatupeleka pabaya sana. U singo mama na u singo baba unakuja kwa njia tofauti lakini kuu zaidi ni hili la singo mama.

Nyumba zinazoitwa " vituo vya yatima", binafsi naziita vituo vya watoto waliokosa bahati. Kwa sababu vituo hivyo vimejaa watoto wenye wazazi wao, lakini kwa kuwa watu wameona ni biashara inayolipa, wanachukuwa vibali vya vituo hivyo na kuwajaza humo kujitengenezea kipato haramu.

Wengine wa hao watoto wa singo maza na singo faza, ni watoto tunaowaona wakilelewa na walezi wengine kabisa, ambao siyo wazazi wao. Kama vile bibi, shangazi, dada mama mkuu. Je kuna siri zipi nyuma ya pazia?

Nini kinachosababisha u singo maza? Majibu yangu binafsi kwa uchache.

1) Wengi, pengine asilimia kubwa zaidi, za watoto wasio na bahati, hupatikana mimba kwa kujamiiana watu walio wa karibu kabisa, baba, mjomba, kaka, baba mdogo, baba mkubwa mpaka mababu.

Mashangazi, dada, mama mdogo, mama mkubwa nao wamo.

Watoto wanaopatikana ni kipi kitawazuwia wasiwe wa singo maza?

Wanasema "nyumba uloizowea kuihama ina kazi". Mtindo huo hujirudia sana tu.

Kuna kesi mbili tatu nazifahamu binafsi za namna hiyo, dunia haina siri.

Nyote, mnaoambiwa ni watoto wa singo maza msiowajuwa baba zenu, au kila mwanamme anaeingia kwenu unaambiwa "mwamkie babako" mjuwe baba zenu mnao na ni watu wenu wa karibu kabisa.

Tukiona Watanzania wengi ni mapoyoyo, hiyo nayo ni sababu ya kuwa na taifa lenye watoto wenye mapungufu.
Tatizo siyo wanaoitwa au jiita ma "singo mama" tu, kuna watoto wengi sana wanaoambiwa "mamako alikufa" au "babako alikufa", kumbe ni uwongo mtupu. Huyo baba au mama aliyekufa isibaki hata picha? Au ndugu zake?

Ma singo baba, sababu zao ni nini?

Tusilee uozo wa maadili.
Nami nichangie yafuatayo 1. Bint hajaolewa anatembea na watu hovyo wakiwemo waume za watu, huyo ni singo Maza mtarajiwa 2. Binti ameolewa lakini anatembea na watu nje. Mumewe akijua , kwisha. 3. Mwanaume kumdanganya Binti ckuoi Hadi ubebe mimba, af anasepa.
4. Ufeminist wa kijinga, wengine wanafurahi kabisa kuwa singomaza.
NB: kukosa maadil na kukosa Hofu ya mwenyezimungu ndio source kubwa
 
Wanawake ni mashetani mwanaume timamu hutakiwi kuwaonea huruma, zaidi ya hapo unatafuta kuumia hao viumbe wamejaa usaliti wa asili kumbuka Eva na nyoka ndio walianza usaliti kwa Adam aliekua katulia zake
Duuh asee mkuu mbona kama umechanganyikiwa
 
Back
Top Bottom