Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umewalaumu wanawake tu, ila jinsia zote zina tatizo.Msingi ni mwanamke kujirahisisha na kukubali kutumika kama chombo cha ngono holela.
Mwanamke unakubali vipi kupigwa miti na mtu ambaye sio mumewe?
Watu wamekosa uvumilivu ktk ndoa!Hilo swali tafadhali lisijibiwe ki jazba.
Ukosefu wa maadili unatupeleka pabaya sana. U singo mama na u singo baba unakuja kwa njia tofauti lakini kuu zaidi ni hili la singo mama.
Nyumba zinazoitwa " vituo vya yatima", binafsi naziita vituo vya watoto waliokosa bahati. Kwa sababu vituo hivyo vimejaa watoto wenye wazazi wao, lakini kwa kuwa watu wameona ni biashara inayolipa, wanachukuwa vibali vya vituo hivyo na kuwajaza humo kujitengenezea kipato haramu.
Wengine wa hao watoto wa singo maza na singo faza, ni watoto tunaowaona wakilelewa na walezi wengine kabisa, ambao siyo wazazi wao. Kama vile bibi, shangazi, dada mama mkuu. Je kuna siri zipi nyuma ya pazia?
Nini kinachosababisha u singo maza? Majibu yangu binafsi kwa uchache.
1) Wengi, pengine asilimia kubwa zaidi, za watoto wasio na bahati, hupatikana mimba kwa kujamiiana watu walio wa karibu kabisa, baba, mjomba, kaka, baba mdogo, baba mkubwa mpaka mababu.
Mashangazi, dada, mama mdogo, mama mkubwa nao wamo.
Watoto wanaopatikana ni kipi kitawazuwia wasiwe wa singo maza?
Wanasema "nyumba uloizowea kuihama ina kazi". Mtindo huo hujirudia sana tu.
Kuna kesi mbili tatu nazifahamu binafsi za namna hiyo, dunia haina siri.
Nyote, mnaoambiwa ni watoto wa singo maza msiowajuwa baba zenu, au kila mwanamme anaeingia kwenu unaambiwa "mwamkie babako" mjuwe baba zenu mnao na ni watu wenu wa karibu kabisa.
Tukiona Watanzania wengi ni mapoyoyo, hiyo nayo ni sababu ya kuwa na taifa lenye watoto wenye mapungufu.
Tatizo siyo wanaoitwa au jiita ma "singo mama" tu, kuna watoto wengi sana wanaoambiwa "mamako alikufa" au "babako alikufa", kumbe ni uwongo mtupu. Huyo baba au mama aliyekufa isibaki hata picha? Au ndugu zake?
Ma singo baba, sababu zao ni nini?
Tusilee uozo wa maadili.
Mkuu advantages za mwanaume na mwanamke zipo katika angle tofauti. Advantage ya mwanaume ni nguvu na advantage ya mwanamke ni ushawishi wa kingono.Umewalaumu wanawake tu, ila jinsia zote zina tatizo.
Mwanamke akishaona hapati kijana atamuwezesha kuishi maisha anayotaka basi ndio hivyo ataamua kuzaa muda kukimbizana na muda na muda ni mchawi kwa mwanamkeHili jambo ni serious.
Nakumbuka kuna jamaa alishawahi liandikia paper.
Ukiachana na ongezeko la single mothers kuna wanawake wengi mno ambao hawaolewi kabisa.
Kwakweli ipo haja ya hizi dini za mke mmoja kuangalia namna maana ndoa za mke mmoja zinazalisha masingle mothers wengi.
Mwanamke anaona umri unakwenda haolewi, bora azae tu.
Miaka ya 2000 mwanzoni binti kuzaa bila ndoa au kulipiwa mahari ulikuwa unawekewa kikao kipindi hicho wazee wetu tulikuwa tunawaita madingi lazima uwekewe kikao cha ukoo ueleze ilikuwajeLawama zinavyotupwa kwa wanawake utadhani tunajizalisha wenyewe
Hawa dada zetu wanapitia vipindi vigumu mno.Mwanamke akishaona hapati kijana atamuwezesha kuishi maisha anayotaka basi ndio hivyo ataamua kuzaa muda kukimbizana na muda na muda ni mchawi kwa mwanamke
7BU NI KUPENDA MAISHA YA KUIGA NA WENGI KUTOJITUMA KUFUATIA MALEZI YA KIMAYAI MAYAI TU,Zote ni sababu nzuri kabisa.
Swali linakuja, yanaanzia wapi?
Nahisi unakwepa kusema yanaanzia majumbani kwao.7BU NI KUPENDA MAISHA YA KUIGA NA WENGI KUTOJITUMA KUFUATIA MALEZI YA KIMAYAI MAYAI TU,
Walibakwa au kulazimishwa kutolewa?Hizo bikra zimetolewa na nani?
Wanabakana bila kujijuwa kuwa wanabakana.Walibakwa au kulazimishwa kutolewa?
Sawa, jitahidi usilale sasa....swala ya Alfajir imekaribiaWanabakana bila kujijuwa kuwa wanabakana.
Haikuhusu.Sawa, jitahidi usilale sasa....swala ya Alfajir imekaribia
Tuombeane Dua.
Nashukuru sanaHaikuhusu.
Tusiingiliane mambo ya personal, jibu hoja zangu nijibu zako yamekwisha, sikuingia JF kutafuta mahusiano na mtu, iwe ye mtandao au vinginevyo.Nashukuru sana
Hoja nyepesi sana hii, hebu fanya tathimin mwenyewe miaka ya nyuma na miaka ya sasa, miaka ya nyuma umasikini ulikuwa mkubwa, shule chache, ukipata nafasi ya kwenda shule utatembea umbali mrefu, huduma za afya zilikuwa hafifu au hamna kabisa katika maeneo mengi hasa vijini, sekta iliyokuwa inategemewa ni kilimo tu, katika hali hiyo ya umasikini single mother ulikuwa unawafuta kwa tochi, wanawake wa kizazi hicho walikuwa wanajiheshimu, walijua kuzivumilia hali zao, hawakuwa na tamaa ya vitu wasivyo na uwezo navyo, walijithamini zaidi kuliko kitu chochote.Umaskini chanzo kikubwa cha single mothers