princess ariana
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 9,245
- 18,347
Hawaulizi hata je una furaha ? Au aulize taratibu hata akutumie tu meseji kuwa shida nini akusikilize..ndugu hawoni mambo mengine kuwa yana umuhimu,..kila mara wao wanaulizia watoto tu,...
Ila wanangoja mpo kwenye umati wa watu " we unaolewa lini? Wenzio wote wanazaa we vipi?