Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Daah! Wewe unaishi Dunia ipi??
Nenda hospital za serikali hasa mikoa ya kusini uone watoto wanazaa, je watoto wazazi hawana hata wanachojua kuhusu umalaya, miaka 13, 14 utamwita Malaya au kukosa uelewa?

Pia Kwa Nini wanaume wanawazalisha watoto wa miaka chini ya 18?
Hakuna mwanaume adiyrpenda kulala na kigori tunalala nao sio kwa lengo la kuwapa mimba, tunafuata raha zao.
 
FaizaFoxy naomba uhakiki uandishi wako ili niweze kusoma.

Singo maza asilimia kubwa ni form 2 walioachishwa shule kwa kudanganywa na wanafunzi wenzao pamoja na waume za watu.

Arusha limeibuka wimbi la vijana walioacha shule na kujiunga na Gereji au bodaboda ambao wanatengeneza singo maza watarajiwa wengi ambao ni wanafunzi form 1-3 wasichana wadogo kabisa..

Kundi lingine linalochangia wingi wa singo maza tarajali ni madereva na wafanyakazi wa utalii/tours. Kundi hili High season ikianza kuisha wanajaa mjini na kuwabebesha mimba wanafunzi na baadae kutimkia mbugani.

Wanafunzi wa kike Arusha wamewehuka wenyewe wanatongoza.
Wana vazi lao la suruali aina fulani, kikoti, kitambaa na kipochi.. Singo maza tarajali.
Hao unaowaongelea hapo Ni zao la single mother,
Wanawake wenye ajira asilimia 90 ni masingo matha na wamejaa kiburi na umalaya hawana muda kuangalia watoto wao, unategemea hao watoto wanakuwa katika maadili yapi,
Wasichana wengi wanaotembea na wababa Ni zao la singo mama, yote kwa sababu tabia wanaiga kwa Mama zao!
 
Usingo maza NI kukengeuka kwa wanawake
Mwanamke kushindwa kufata tamaduni alizowekewa Kama mwanamke hivyo kupelekea kuishi kwa kwenda na wakati na kujiaminisha bila kumilikiwa na mwanaume kwamba yeye peke yake anaweza
 
Hoja nyepesi sana hii, hebu fanya tathimin mwenyewe miaka ya nyuma na miaka ya sasa, miaka ya nyuma umasikini ulikuwa mkubwa, shule chache, ukipata nafasi ya kwenda shule utatembea umbali mrefu, huduma za afya zilikuwa hafifu au hamna kabisa katika maeneo mengi hasa vijini, sekta iliyokuwa inategemewa ni kilimo tu, katika hali hiyo ya umasikini single mother ulikuwa unawafuta kwa tochi, wanawake wa kizazi hicho walikuwa wanajiheshimu, walijua kuzivumilia hali zao, hawakuwa na tamaa ya vitu wasivyo na uwezo navyo, walijithamini zaidi kuliko kitu chochote.


Mabinti wa kizazi hiki tamaa iko mbele sana, wanatamani vitu wasivyo na uwezo navyo, hawajithamini kabisa kwa habari ya miili yao, zamani mwanamke kama hajakupenda mwili mwake hautaugusa, siku hizi ukiwa na pesa tu hata mke wa mtu unakula vizuri bila shida.

Shida sio umasikini ni tamaa, kuna familia ziko vizuri hizo shida ndogo ndogo hamna bado binti zao wanazaa kabla ya ndoa hapo bado utasema umasikini?
Ndio umeongea utumbo Gani huu mara ukiwa na pesa hata mke wa mtu unakula halafu hapo hapo unapinga umasikini we hujielewi
 
Hilo swali tafadhali lisijibiwe ki jazba.

Ukosefu wa maadili unatupeleka pabaya sana. U singo mama na u singo baba unakuja kwa njia tofauti lakini kuu zaidi ni hili la singo mama.

Nyumba zinazoitwa " vituo vya yatima", binafsi naziita vituo vya watoto waliokosa bahati. Kwa sababu vituo hivyo vimejaa watoto wenye wazazi wao, lakini kwa kuwa watu wameona ni biashara inayolipa, wanachukuwa vibali vya vituo hivyo na kuwajaza humo kujitengenezea kipato haramu.

Wengine wa hao watoto wa singo maza na singo faza, ni watoto tunaowaona wakilelewa na walezi wengine kabisa, ambao siyo wazazi wao. Kama vile bibi, shangazi, dada mama mkuu. Je kuna siri zipi nyuma ya pazia?

Nini kinachosababisha u singo maza? Majibu yangu binafsi kwa uchache.

1) Wengi, pengine asilimia kubwa zaidi, za watoto wasio na bahati, hupatikana mimba kwa kujamiiana watu walio wa karibu kabisa, baba, mjomba, kaka, baba mdogo, baba mkubwa mpaka mababu.

Mashangazi, dada, mama mdogo, mama mkubwa nao wamo.

Watoto wanaopatikana ni kipi kitawazuwia wasiwe wa singo maza?

Wanasema "nyumba uloizowea kuihama ina kazi". Mtindo huo hujirudia sana tu.

Kuna kesi mbili tatu nazifahamu binafsi za namna hiyo, dunia haina siri.

Nyote, mnaoambiwa ni watoto wa singo maza msiowajuwa baba zenu, au kila mwanamme anaeingia kwenu unaambiwa "mwamkie babako" mjuwe baba zenu mnao na ni watu wenu wa karibu kabisa.

Tukiona Watanzania wengi ni mapoyoyo, hiyo nayo ni sababu ya kuwa na taifa lenye watoto wenye mapungufu.
Tatizo siyo wanaoitwa au jiita ma "singo mama" tu, kuna watoto wengi sana wanaoambiwa "mamako alikufa" au "babako alikufa", kumbe ni uwongo mtupu. Huyo baba au mama aliyekufa isibaki hata picha? Au ndugu zake?

Ma singo baba, sababu zao ni nini?

Tusilee uozo wa maadili.
Kidogo nakubaliana na wewe hapa ila uozo wa maadili upo kwenye hizi dini za kuletewa na maboti pia. Mfano ona unavyovaa kigaidi na pengine usikute unajifunga hata na gunia usoni usionekane sura yako, tunajuaje kama wewe ni mwanamke kweli au binadamu? Hizi mila za kigaidi ni upotofu wa maadili kwetu Waafrika, tusiziige kamwe.
 
Hoja nyepesi sana hii, hebu fanya tathimin mwenyewe miaka ya nyuma na miaka ya sasa, miaka ya nyuma umasikini ulikuwa mkubwa, shule chache, ukipata nafasi ya kwenda shule utatembea umbali mrefu, huduma za afya zilikuwa hafifu au hamna kabisa katika maeneo mengi hasa vijini, sekta iliyokuwa inategemewa ni kilimo tu, katika hali hiyo ya umasikini single mother ulikuwa unawafuta kwa tochi, wanawake wa kizazi hicho walikuwa wanajiheshimu, walijua kuzivumilia hali zao, hawakuwa na tamaa ya vitu wasivyo na uwezo navyo, walijithamini zaidi kuliko kitu chochote.


Mabinti wa kizazi hiki tamaa iko mbele sana, wanatamani vitu wasivyo na uwezo navyo, hawajithamini kabisa kwa habari ya miili yao, zamani mwanamke kama hajakupenda mwili mwake hautaugusa, siku hizi ukiwa na pesa tu hata mke wa mtu unakula vizuri bila shida.

Shida sio umasikini ni tamaa, kuna familia ziko vizuri hizo shida ndogo ndogo hamna bado binti zao wanazaa kabla ya ndoa hapo bado utasema umasikini?
Wewe ni mtoto wa singo mama?
 
Back
Top Bottom