Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Duuh asee mkuu mbona kama umechanganyikiwa
Tatizo hamuwaelezi lugha wanagopaswa kuelezwa ili wajifunze hiyo tabia Mimi sina , wanawake hawa wanaodhani watashindana na mwanaume wakati nature inakataa wanaishia kua wajane na single mother daima, wala msiwapambe ilihali ukweli mnaufahamu au haufahamu kama mwanaume anao tabia ya mwanamke na sio muonekano , ndio maana hata marafiki zako kamwe hawatojadili muonekano sijui rangi , umbo hapana watasema mke wa jamaa muelewa na mkarimu kwa wageni , anasimama imara na Mume wake na hutosikia wanamsifia mke wako kua ana tako kubwa au dogo hiyo margin wengi hawataki kuisema hadharani
 
Hili jambo ni serious.

Nakumbuka kuna jamaa alishawahi liandikia paper.

Ukiachana na ongezeko la single mothers kuna wanawake wengi mno ambao hawaolewi kabisa.

Kwakweli ipo haja ya hizi dini za mke mmoja kuangalia namna maana ndoa za mke mmoja zinazalisha masingle mothers wengi.

Mwanamke anaona umri unakwenda haolewi, bora azae tu.
 
Hili jambo ni serious.

Nakumbuka kuna jamaa alishawahi liandikia paper.

Ukiachana na ongezeko la single mothers kuna wanawake wengi mno ambao hawaolewi kabisa.

Kwakweli ipo haja ya hizi dini za mke mmoja kuangalia namna maana ndoa za mke mmoja zinazalisha masingle mothers wengi.

Mwanamke anaona umri unakwenda haolewi, bora azae tu.
 
mockers mwanaume akifika 40 yeye haja expire pia?
Swali gani hili kwani Mzee Mengi alioa pisi mbovu
1730555119564.png

Millionea Bill Belichick (72) akimkamata mchumba wake kwenye ndoano Jordon Hudson, 24, kamanguva katika ufukwe wa bahari katika maadhimisho ya haloween.

1730555351363.png
 
Hili jambo ni serious.

Nakumbuka kuna jamaa alishawahi liandikia paper.

Ukiachana na ongezeko la single mothers kuna wanawake wengi mno ambao hawaolewi kabisa.

Kwakweli ipo haja ya hizi dini za mke mmoja kuangalia namna maana ndoa za mke mmoja zinazalisha masingle mothers wengi.

Mwanamke anaona umri unakwenda haolewi, bora azae tu.
 
Trend ya wanawake kuendekeza fedha imefanya ngono iwe rahisi, hata ile thamani yao imepotea sababu ya fedha wanafanywa kama object na si binadamu ndio maana siku hizi kuna style na mitindo ya ngono ya ajabu ajabu,sababu ile feelings kujaliana hamna. Ndio maana hata wakipewa mimba watu hawajali. Pili kizazi cha sasa cha wanaume tunapenda ngono ila majukumu hatutaki,wazuri sana kujisifia ubunifu kitandani ila output inayo patikana kitandani hatutaki kuisikia.
 
Maringo ni mabaya sana nahuna hata hela unazoziota kazi kujisifu kwingi ibilisi ni wewe na familia yako wewe ndio unanuksi mie wakike silelewi najitafutia wewe unalaana unatafutiwa na wanawake maisha kula kwako ni wao wewe kucheza pool table tu umelaaniwa aliyekulaani ni bibi yako mzaa mama dah unanuksi sana unapewa hela ya matumizi kwani wewe nimwanamke aibu sana. Halafu unawataja LIDANGAJI LIONE .

Alhamdullahi mja nimeepushwa
 
Jamii inaongozwa na mwanaume. Ukitaka kujua Jamii yenye wanaume dhaifu we angalia wanawake zao, lazima single mother ni wengi mnoo..

Jamii yenye wanaume wasioweza kumwongoza mwanamke na kumwacha ajiongoze mwenyewe, jamii ya wanaume wasioweza kumkemea mke wa mtu malaya badala yake wanamtongoza, jamii ya wanaume isiyotaka kuwa na familia, wasambaza mbegu, watama pono na wacheza kamari lazima wanawake zao wawe single mother tu.

Jamii ya wanaume vilizi wa mapenzi, jamii ya wanaume walamba lips, jamii ya wanaume laini laini wasiotaka kazi ngumu, wapenda mishangazi, jamii ya wapenda utelezi. Lazima wanawake zao wawe single mother tu.
Wewe shilingi una mke na watoto wangapi?
 
Hilo swali tafadhali lisijibiwe ki jazba.

Ukosefu wa maadili unatupeleka pabaya sana. U singo mama na u singo baba unakuja kwa njia tofauti lakini kuu zaidi ni hili la singo mama.

Nyumba zinazoitwa " vituo vya yatima", binafsi naziita vituo vya watoto waliokosa bahati. Kwa sababu vituo hivyo vimejaa watoto wenye wazazi wao, lakini kwa kuwa watu wameona ni biashara inayolipa, wanachukuwa vibali vya vituo hivyo na kuwajaza humo kujitengenezea kipato haramu.

Wengine wa hao watoto wa singo maza na singo faza, ni watoto tunaowaona wakilelewa na walezi wengine kabisa, ambao siyo wazazi wao. Kama vile bibi, shangazi, dada mama mkuu. Je kuna siri zipi nyuma ya pazia?

Nini kinachosababisha u singo maza? Majibu yangu binafsi kwa uchache.

1) Wengi, pengine asilimia kubwa zaidi, za watoto wasio na bahati, hupatikana mimba kwa kujamiiana watu walio wa karibu kabisa, baba, mjomba, kaka, baba mdogo, baba mkubwa mpaka mababu.

Mashangazi, dada, mama mdogo, mama mkubwa nao wamo.

Watoto wanaopatikana ni kipi kitawazuwia wasiwe wa singo maza?

Wanasema "nyumba uloizowea kuihama ina kazi". Mtindo huo hujirudia sana tu.

Kuna kesi mbili tatu nazifahamu binafsi za namna hiyo, dunia haina siri.

Nyote, mnaoambiwa ni watoto wa singo maza msiowajuwa baba zenu, au kila mwanamme anaeingia kwenu unaambiwa "mwamkie babako" mjuwe baba zenu mnao na ni watu wenu wa karibu kabisa.

Tukiona Watanzania wengi ni mapoyoyo, hiyo nayo ni sababu ya kuwa na taifa lenye watoto wenye mapungufu.
Tatizo siyo wanaoitwa au jiita ma "singo mama" tu, kuna watoto wengi sana wanaoambiwa "mamako alikufa" au "babako alikufa", kumbe ni uwongo mtupu. Huyo baba au mama aliyekufa isibaki hata picha? Au ndugu zake?

Ma singo baba, sababu zao ni nini?

Tusilee uozo wa maadili.
Malezi mabovu na mazingira;
Ambapo malezi mabovu yanachangia kwa asilimia kubwa , vijana wanaanza ngono wakiwa bado hawajielewi ni nini wanataka na zao la ngono ni mtoto matokeo yake mtoto atalelewa na bibi yake.

Mazingira pia yanachangia japo kwa asilimia chache sana endapo kijana atakuwa amekulia katika malezi bora.

Sababu nyingine ni kuongezeka kipato kwa mwanamke, hii pia ni sababu ya ndoa nyingi kusambaratika.
 
Hata hospitalini idadi ya mashetani huzaliwa wengi ambao ni wanawake na malaika wachache wanaume, ndio maana hata mzazi akipata mtoto wa kiume hua na furaha Sana Kuliko kuzaa mtoto wa kike ambaye anajua atakua malaya aliyekubuhu
Mkuu ukibahatika kupata mtoto wa kike utafanyaje, utamchukia sababu ni wakike?
 
Malezi mabovu na mazingira;
Ambapo malezi mabovu yanachangia kwa asilimia kubwa , vijana wanaanza ngono wakiwa bado hawajielewi ni nini wanataka na zao la ngono ni mtoto matokeo yake mtoto atalelewa na bibi yake.

Mazingira pia yanachangia japo kwa asilimia chache sana endapo kijana atakuwa amekulia katika malezi bora.

Sababu nyingine ni kuongezeka kipato kwa mwanamke, hii pia ni sababu ya ndoa nyingi kusambaratika.
Baada ya kuukusoma hoja yako nikawa najiuliza:

Ikiwa bibi kashindwa kumlea mwanae akawa hana maadili mema, ataweza kumlea mjukuu akawa na maadili mema?
 
Nami nichangie yafuatayo 1. Bint hajaolewa anatembea na watu hovyo wakiwemo waume za watu, huyo ni singo Maza mtarajiwa 2. Binti ameolewa lakini anatembea na watu nje. Mumewe akijua , kwisha. 3. Mwanaume kumdanganya Binti ckuoi Hadi ubebe mimba, af anasepa.
4. Ufeminist wa kijinga, wengine wanafurahi kabisa kuwa singomaza.
NB: kukosa maadil na kukosa Hofu ya mwenyezimungu ndio source kubwa
Ujumbe ninao jitahidi kuufikisha hapa ni kuwa, asilimia kubwa ya haya mambo tunayoyaina kwa mabinti na hata vijana wetu ni tafsiroi tu ya maisha ya majumbani mwao.

Ikiwa mroto wa kike, au hata wa kiume, kuanzia mdogo mpaka anakuwa mtu mzima kazowea kila amuonapo babake anawahi kwenda kumkalia mapajani ampakate, kuanzia mdogo akagunduwa kuwa muda mzuri wa kumkalia baba mapajani ni asubuhi akiamka . Na baba hapo ndiyo mapenzi yanazidoi kwa mwanawe, anahakikisha kila akirudi hakosi zawado za mwanae lakini hampi mpaka asubuhi.

Malezi kama hayo, tutegemee nini?
 
Nami nichangie yafuatayo 1. Bint hajaolewa anatembea na watu hovyo wakiwemo waume za watu, huyo ni singo Maza mtarajiwa 2. Binti ameolewa lakini anatembea na watu nje. Mumewe akijua , kwisha. 3. Mwanaume kumdanganya Binti ckuoi Hadi ubebe mimba, af anasepa.
4. Ufeminist wa kijinga, wengine wanafurahi kabisa kuwa singomaza.
NB: kukosa maadil na kukosa Hofu ya mwenyezimungu ndio source kubwa
Ujumbe ninao jitahidi kuufikisha hapa ni kuwa, asilimia kubwa ya haya mambo tunayoyaina kwa mabinti na hata vijana wetu ni tafsiroi tu ya maisha ya majumbani mwao.

Ikiwa mroto wa kike, au hata wa kiume, kuanzia mdogo mpaka anakuwa mtu mzima kazowea kila amuonapo babake anawahi kwenda kumkalia mapajani ampakate, kuanzia mdogo akagunduwa kuwa muda mzuri wa kumkalia baba mapajani ni asubuhi akiamka . Na baba hapo ndiyo mapenzi yanazidi kwa mwanawe, anahakikisha kila akirudi hakosi zawadi za mwanae lakini hampi mpaka asubuhi.

Malezi kama hayo, tutegemee nini?
 
Kuongezeka kwa idadi ya "single mothers" kunaweza kusababishwa na sababu mbalimbali, miongoni mwao ni:

1. Mabadiliko ya Kijamii: Jamii nyingi zinaelekea kuwa na mtazamo mpana kuhusu familia na mahusiano. Wanawake wanapata uhuru zaidi wa kufanya maamuzi kuhusu maisha yao, ikiwa ni pamoja na kuamua kuwa na watoto bila ndoa.

2. Talaka: Kuongezeka kwa viwango vya talaka kunaweza kusababisha wanawake wengi kuwa na watoto bila wenzi wao. Mara nyingi, wanawake wanachukua jukumu la kulea watoto baada ya talaka.

3. Ushirikiano wa Kijamii: Katika baadhi ya jamii, kuna msaada zaidi kwa wanawake wanaolea watoto peke yao, kama vile huduma za kifedha na kijamii.

4. Elimu na Ajira: Wanawake wengi sasa wanafikia elimu ya juu na nafasi za ajira, wakijitambua kuwa na uwezo wa kujitegemea na kulea watoto wao bila msaada wa mwenzi.

5. Mabadiliko ya Maadili: Maadili na mitazamo ya kijamii kuhusu malezi ya watoto na ndoa yamebadilika, ambapo wanawake wanaweza kujiona wakijivunia kulea watoto bila kuwa na mwenzi.

Kwa hivyo, sababu hizi na nyinginezo zinaweza kuchangia kuongezeka kwa idadi ya "single mothers" katika jamii nyingi.
 
Nami nichangie yafuatayo 1. Bint hajaolewa anatembea na watu hovyo wakiwemo waume za watu, huyo ni singo Maza mtarajiwa 2. Binti ameolewa lakini anatembea na watu nje. Mumewe akijua , kwisha. 3. Mwanaume kumdanganya Binti ckuoi Hadi ubebe mimba, af anasepa.
4. Ufeminist wa kijinga, wengine wanafurahi kabisa kuwa singomaza.
NB: kukosa maadil na kukosa Hofu ya mwenyezimungu ndio source kubwa
Ujumbe ninao jitahidi kuufikisha hapa ni kuwa, asilimia kubwa ya haya mambo tunayoyaina kwa mabinti na hata vijana wetu ni tafsiroi tu ya maisha ya majumbani mwao.

Ikiwa mroto wa kike, au hata wa kiume, kuanzia mdogo mpaka anakuwa mtu mzima kazowea kila amuonapo babake anawahi kwenda kumkalia mapajani ampakate, kuanzia mdogo akagunduwa kuwa muda mzuri wa kumkalia baba mapajani ni asubuhi akiamka . Na baba hapo ndiyo mapenzi yanazidoi kwa mwanawe, anahakikisha kila akirudi hakosi zawado za mwanae lakini hampi mpaka asubuhi.

Malezi kama hayo, tutegemee nini?
 
Back
Top Bottom