Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Wanawake wengi hawana heshima
Hata wanaume wengi tu wana dharau sana wake zao , yaani ukipata story zao kama wewe ndiye kaka wa huyo mke utajisikia vibaya sana tabia hizi zipo pande zote mie naona walio wengi malezi huko kwa wazazi si malezi bora bali bora malezi
 
Kwani mwanamke hataki kuheshimiwa? Heshima ni pande zote kuna wanaume wana midomo michafu?
Hamna mwanamme anayeweza kukutamkia mabaya km hamna sababu....

Shida mnataka heshima lkn niheshima ambayo wengi hamhistahili .
 
Kama wewe unamfanyia hivyo huyo wako wenzio ni balaa
Weeee thubutu ,, uwe ktk mahusiano na Malaika ,,, utathubutu kumkalipia kweli ???? Kwanza naanzaje ???? ..mwanamke anajua sehem yake duuuhhh sitaki kua ktk kumbukumbu za watu wabaya...never ever.
 
Weeee thubutu ,, uwe ktk mahusiano na Malaika ,,, utathubutu kumkalipia kweli ???? Kwanza naanzaje ???? ..mwanamke anajua sehem yake duuuhhh sitaki kua ktk kumbukumbu za watu wabaya...never ever.
Hongera wengi hawajui wajibu na majukumu yao na shule za bweni zinafanya watu wasijue wajibu wao ktk familia
 
Hongera wengi hawajui wajibu na majukumu yao na shule za bweni zinafanya watu wasijue wajibu wao ktk familia
ila ukwel nikwAmba kila MTU akihusika vilivyo hamna kinachoharibika ,,nahakutakua na nachasingo maza wala nn ... Tutajifree.
 
ila ukwel nikwAmba kila MTU akihusika vilivyo hamna kinachoharibika ,,nahakutakua na nachasingo maza wala nn ... Tutajifree.
Yaani hapo ni kila mtu ahusike kwenye nafasi yake kila kitu kitaenda sawa na ndiyo maana huambiwa huyu mtu katoka huko na malezi yake nawe una malezi yako mchukuliane hapo mtafika muendako
 
Wadada wengi sahizi hawapendi kuolewa....bila kujua muda hauwasubiri ikifika stage wanakosa wa kuwaowa wan a amua sasa kutafuta mtoto kama njia nyingine ya kujipatia faraja ya moyo...
 
Yaani hapo ni kila mtu ahusike kwenye nafasi yake kila kitu kitaenda sawa na ndiyo maana huambiwa huyu mtu katoka huko na malezi yake nawe una malezi yako mchukuliane hapo mtafika muendako
Yote yatafanikiwa km wote mnaakili.... Tena ziw extra ordinary ,,lkn sio izi zasiku izi.
 
Yote yatafanikiwa km wote mnaakili.... Tena ziw extra ordinary ,,lkn sio izi zasiku izi.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] na umpate kwa kulingana naye akili lakini mwingine kalelewa kimayai mayai mwingine command mguu sawa mbele tembea kazi ipo ila nikumtanguliza Mungu tu hakuna kingine
 
tatizo la usingo madha linaanzia pale mwanamke anapojitegesha/anapotaka apewe mimba na mpenzi wake ili aiharakishe ndoa kupitia mimba, badae anakuja kushtuka ashazaa ndoa hakuna, na maisha yanaendelea
 
Affirmative action backfires. Wanawake sasa wanatunishiana misuli na wanaume katika nyanja zote ambao sio utamaduni wa kiafrika.

Wanaume wanaamua kuwatosa wazazi wenzao maana hawaamini katika equality.

Hii habari ya gender equality itaondoka na mtu. Tamaduni za afrika haziikubali.

Ni indication kuwa huu umagharibi haujakubalika afrika. Mbona wanawake wanaoamini katika traditional roles za mwanamke wa kiafrika hawaachwi?
 
Back
Top Bottom