Hapa mtaani kuna dada mmoja mwajiriwa serikalini. Amejaliwa kujenga jirani yetu.
Dada huyu ana watoto wawili wa kiume. Kwakuwa hubby ni mpenda mpira na anafundisha watoto wa mtaa, dada huyu amemuomba hubby awachukue watoto wake kwenye team.
Amemuomba hubby awe baba wa kipaimara wa mtoto mkubwa, niliona ni jambo zuri. Tatizo ni pale anapomwita hubby kuwa ana matatizo na mara nyingi huwa anapika chakula kabla ya kumwita. Hubby akitoka huko anasema nimeshakula mama flani alimpa chakula.
Anajua hata favourite meal ya mume wangu, nina jirani kweli hapa?