Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Mmmh! Ya kupikiana chakula tena!
Huyo dada aongee na hubby wake, hamna kwenda kwa nyumba ya huyo mama... Au akimwita wawe wanaenda wote...
 
Sky Eclat,
Njoo chemba (PM) ili nikueleze sehemu ukaombewe na mumeo aache tabia ya kula kula kwa majumba ya watu hovyo. Moja ya sharti ya hayo maombi maalum inabidi utumbukiziwe dawa anapoingia mumeo (Ukeni) ili atulie na kuwa baba bora wa familia na kukuheshimu mke wake mpenzi Sky.
 
MCHELEA MWANA KULIA HULIA MWENYEWE, JICHELEWESHE, WANAUME NI DHAIFU, UTASTUKIA ANAKULA UTAMU.

SINGLE MAZA UKIWA KARIBU NA WATOTO WAKE ANAKUPENDA
 
Muonye huyo mume wako kwani naona kuna kila dalili ya kuanza kwa uhusiano wa kimapenzi,huwa siamini kuwa kuna uhusiano wa kawaida tu wa kusaidiana kati ya mwanaume na mwanamke,mwisho wa siku lazima kutaanza matamanio n.k n.k...
 
Kwa kweli mara tu ana tangaza kuunga mkono juhudi za single mother
sisi wanaume tuna jijua ukiona single mama kama huyo ulivo eleza tu.na mwanaume kuonesha kama mfano wa baba bora kwa huyo single mama lazima umbadilishe kisaikolojia na ukaribu zaidi hata kujikuta kuingia kimausiano.
anza kuangalia mapungufu yapo wapi,usije kujikuta vita visha fika mwisho wa ushindi
 
Back
Top Bottom