Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Ukimjali mtoto tayari ushampata mama, "mafundi" uwa wanahangaika na mtoto kwanza, utasikia uncle uncle njoo uchukie pipi, kifuatacho itv itabaki story
mkuu hili ni kweli kabisa,mwenyewe nimeshuhudia
 
Reactions: SDG
Shosti unanusa harufu ya kuibiwa eeh?lol...... inakua ni kila anapomuita ndio anapika chakula au mara moja moja? je why usiende nae wakati wewe ni mke? kwanini uwape nafasi yakua wao hata kama nyumba ina watoto huko anako kwenda?
 
Mhh! Wakati mwingine yaweza kuwa mawazo yako ni sahihi lakini wakati mwingine inawezekana jirani yako anafanya kwa upendo tu! Hivyo ni vyema kuchunguza kwa kina bila jaziba ili uweze kujua nini kinaendelea. Ila kama hubby wako ana msimamo imara kuwa na amani!
 
Sky Eclat,
Dah...bahati kubwa umepata...baada ya miaka 3 mtakuwa mmeokoa pesa nyingi sana kutokana na mzee kula kwa jirani🙂
 
Shosti unanusa harufu ya kuibiwa eeh?lol...... inakua ni kila anapomuita ndio anapika chakula au mara moja moja? je why usiende nae wakati wewe ni mke? kwanini uwape nafasi yakua wao hata kama nyumba ina watoto huko anako kwenda?
Anapitia huko akitoka kazini, anatumia ujumbe mfano TV haifanyi kazi ninaomba uje uisngalie, cha ajabu na machalari yanapikwa
 
Reactions: SDG
Dah...bahati kubwa umepata...baada ya miaka 3 mtakuwa mmeokoa pesa nyingi sana kutokana na mzee kula kwa jirani🙂
Mkuu si kuongeza gharama za school fees kwani watoto wataongezeka.
 
Hizi chai tumechoka mtu mmoja kwa mwaka anamatatizo tofauti ya mahusiano 1000 nyinyi watu type hii wakuwa makini Sana kwenye mitandao mnapenda kupima akili za watu na wajinga wataingia mkenge kwa ushauri mwingi
Sidhani kama umeutendea haki uzi huu. Watu hapa wanapata elimu bila kujali ni hadithi ya kupika au kweli.....
 
Hapo hakuna dawa wala maombi,Ni kupozana kiu mkuu,
 
Huyo mama akipata matatizo yeyote huwa anamwita jamaa...hamjaelewa nini hapo?
 
Pole sn. Kinachotakiwa kila mmoja ajue mipaka take. Kwenye matatizo ni vyema angewashirikisha wrote wawili au aeleze shiida sake hapo kwako inatosha sio kuitana huko kwake. Otherwise mpige marufuku kwenda huko mana ukicheka na nyani mabua yatakuhusu.
 
Jirani unaye, tena makini sana. Mimi wasi wasi wangu ni kuwa mume huna, maana hajui mipaka na majukumu yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…