hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,678
- 63,304
hapo sio jirani tu kuwa nikimeo peke yake
hata huyo Mume nae hajui kujibalaguza UNAANZAJE KUMWAMBIA MWENZIO KUWA NIMEKULA CHAKULA KWA MAMA FLANI
yaaani halo lazima utaibua maswali kibao yasiyo na majibu kwamkeo kwamba wakati anakula ilikuwaje alikuwa analishwa au ???
inamaana kaona kuwa chkula changu huwa sikipiki vizuri mpka kaamua kula kwa jirani..e.t.c
Ktika vitu ambavyo nimewahi kujifnza ktka relationship hizi ''HAKUNA JAMBO BAYA KAMA MWENZIO APOTEZE MUDA WAKE KUKUANDALIA KITU KISHA UKASHINDWA KUONYESHA THAMANI YAKUTHAMINI KILE ALICHOKUANDALIA
hata huyo Mume nae hajui kujibalaguza UNAANZAJE KUMWAMBIA MWENZIO KUWA NIMEKULA CHAKULA KWA MAMA FLANI
yaaani halo lazima utaibua maswali kibao yasiyo na majibu kwamkeo kwamba wakati anakula ilikuwaje alikuwa analishwa au ???
inamaana kaona kuwa chkula changu huwa sikipiki vizuri mpka kaamua kula kwa jirani..e.t.c
Ktika vitu ambavyo nimewahi kujifnza ktka relationship hizi ''HAKUNA JAMBO BAYA KAMA MWENZIO APOTEZE MUDA WAKE KUKUANDALIA KITU KISHA UKASHINDWA KUONYESHA THAMANI YAKUTHAMINI KILE ALICHOKUANDALIA