We mi mmeo, we dada vp??Issue sio kugongwa issue in nyie single mother kurudia kuliwa na aliyekuzalisha ...n kosa kubwa
Me wa kiume wwWe mi mmeo, we dada vp??
Ni kweli ni kosa kubwa balaaa.....wanaofanya hvo ni wale wasiokua na misimamo na akili aka mazezeta, wanaogongwa chini ya miti
Mi nna braza angu alimzalisha demu akaachana nae...huu mwaka wa tano demu hana habari nae kabisa braza analialia tu....
Nahisi inategemea na aina ya kuachana
Huu ukweli hakuna atakaye ukubaliNdio ukweli, ukioa single mother tegemea kuwa mzazi mwenzake ana chansi kubwa za kummega zaidi yako.
Imajini umemkunja staili ya kifo cha mende anakuangalia machoni kumbe anamuwaza mzazi mwenzie, No offense, single mother wajane ndio wanaoleka!
Mkuu huu udhaifu kwa asilimia kubwa wanao wanawake karibu woteMwanamke akikosa "akili" huwa nitatizo maana hajui anachokitafuta !!.
Kosa kubwa sana!Issue sio kugongwa issue in nyie single mother kurudia kuliwa na aliyekuzalisha ...n kosa kubwa
Bado mtoto wewe, mademu kibao nawajua wameolewa wamewazalia watoto waume zao lakini wanagongwa balaaaa......uzinzi ni tabia ya mtu......kuna mademu wamezaliwa wana nyege 24 hrz hao ndo wanashida ukisafiri siku mbili ujue imekula kwakoKuna tofauti ya demu sio singo maza na anagongwa na demu ambaye ni singo maza!
Huyu ambaye sio singo maza nikiamua kumuwekea "password" au "chata" langu ni rahisi akatulia nami!
Pindi moyo unapoanza kusukuma "vingine" na si damuUnaanzaje kuoa single mom labda?
Wazungu wakike wanajielewa kidogoSio mzungu nakwambia
Na ww una single maza nn?[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] Ngoja nipite kimya kimya hizi topic za single mothers zimekuwa nyingi sana
Hamna sina mkuu, basi tu toka asubuhi naona single maza wameandamwa sanaNa ww una single maza nn?
Watu wanawafungulia mwaka si mchezoHamna sina mkuu, basi tu toka asubuhi naona single maza wameandamwa sana
Nalo ni somo tu kutokuoa single maza kama lilivyo somo la mapenzi upofu.Pindi moyo unapoanza kusukuma "vingine" na si damu
Hapana let's us talk ili hata wasio fahamu wajue piaIla kiukweli hizi topic zina impact mbaya sana kwa single mothers mana wengi hukatishwa tamaa sana wakisoma hizi topics ,pliiz tunawaalibia wengine chance za kuolewa naomba tuzipunguze kama inawezekana.
Heri ya mwaka mpya wakuu wote hapa JamiiForums
Kuna rafiki yangu mmoja hivi nilisoma naye chuo, huyu jamaa katika mwaka wake wa pili tangu aanze kazi alikutana na mfanyakazi mwenzie ambaye ni mtaalamu wa madawa ya binadamu (Pharmacist)
Wakaanza mahusiano ya mapenzi,lakini kiuhalisia jamaa yeye alikuwa naye kwa kujifurahisha tu kwa kuwa tayarialikuwa na mchumba wake lakini alikuwa anafanya kazi mkoa mwingine, akaamua amchukue huyu mfamasia kwa ajili ya kucheza rafu za hapa na pale na kuondoa upweke usio wa lazima.
Lakini kumbe mdada wa watu kajiongeza na hatimaye akamtegea jamaa siku zile za hatari, jamaa akiwa hana habari na mpango wa bibiye hatimaye akamtandika ujauzito, jamaa akaja juu kwamba kwanini ameshika ujauzito bila makubaliano? Akamwambia achoropoe,bibiye akagoma.
Basi jamaa kwa hasira akampiga kibuti demu,mahusiano yakafa lakini baadaye akasema wtashirikiana kumlea mtoto ila mapenzi yafe, mdada akasema haina shida.
Kwa hiyo kila mara wanatembeleana kwa ajili ya mtoto ila mambo ya mapenzi hakuna.
Sasa imepita miaka kama miwili hivi kajitokeza mshikaji mwingine anataka kuchukua mzigo jumla (kuoa), sasa katika process za utoaji barua, eti bibiye anampigia simu baba wa mtoto kuwa anataka kuolewa hivyo ampe ruhusa ya kuolewa ahahahahahhahahahah; jamaa akamwambia we olewa,unaniomba ruhusa kama nani wakati mi na wewe tulishaachana?
Kwa kufupisha stori, kiufupi pamoja na mchakato wa ndoa kuendelea lakini binti anaonesha matendo ya kidhaifu mno kwa mzazi mwenzie kiasi kwamba hata jamaa akiamua kuomba mzigo anaweza kupewa bila masharti; hali hii imefanya kutokea mgogoro mkubwa kati ya mume mtarajiwa na binti,mgogoro unaotokana na wivu wa mapenzi unaochagizwa na tabia ya binti kuwa dhaifu mno kwa mzazi mwenzie.
Kwa mujibu wa rafiki yangu anakiri kiukweli wakikutana na bibiye kwa ajili ya kumjulia hali mtoto, bibiye anakilegeza mno,yani anajiweka kiromantic na hayuko seriously sana kama mtu ambaye kweli anatarajiwa kuolewa.
Sasa, mimi naomba kuwauliza humu wana JF, Hivi ni sababu ipi haswa inayopelekea mabinti wengi kuwa dhaifu kwa wanaume waliozaa nao kiasi cha kuwapa wakati mgumu waoaji?
Hivi haiwezekani mkizaa mkaachana moja kwa moja bila kuwa na shauku ya kukumbushia mapenzi?
Its true only kama hamkuachana kwa ugomviSi kwel
Kosa kubwa sana!Issue sio kugongwa issue in nyie single mother kurudia kuliwa na aliyekuzalisha ...n kosa kubwa
Noma sana aisee wanawavunja moyo na kuwakumbusha machungu ya kulea mtoto bila babaWatu wanawafungulia mwaka si mchezo
Wengine wapo vizuri kuzaa siyo tatizo maana kuna wanawake wamechoropoa maelfu ya mimba halafu unasema siyo madabo maza.Unaanzaje kuoa single mom labda?