No Mama Sabrina. Wadau miongoni mwa wadau wengi.Hao uliowatag ni single mothers??
Mbona mimi sipo mwenyekiti wa single mothersNo Mama Sabrina. Wadau miongoni mwa wadau wengi.
Hata wanaume akina mwifwa bujibuji nimewatag.
Kwa nini wazae na waume wasio tupenda?maisha ya mahusiano yamepoteza upendo, msisimko, huruma hakuna , ni kusalitiana tu, baba mmoja naweza kua na watoto 5 wa single mothers na asiwajali , ukijua hayo ni kutulia tu na mwanao ukalea uepuke pressure
Mais
Kwa nini wazae na waume wasio tupenda?maisha ya mahusiano yamepoteza upendo, msisimko, huruma hakuna , ni kusalitiana tu, baba mmoja naweza kua na watoto 5 wa single mothers na asiwajali , ukijua hayo ni kutulia tu na mwanao ukalea uepuke pressure
Mais
[HASHTAG]#mahondaw[/HASHTAG] anao wangapi kutoka kwako smart911!
Naomba radhi.Tupe experience madame! Nini chanzo ukiacha mile cha force majuere! Kifo.Mbona mimi sipo mwenyekiti wa single mothers
Hatusemi ni siriNaomba radhi.Tupe experience madame! Nini chanzo ukiacha mile cha force majuere! Kifo.
Ninong'oneze rafikiHatusemi ni siri
Wababa wanazalisha tu. Je wanatunza 100%?
Huwa sioni sababu ya single mother kulaumiwa bali anayestahili lawama ni baba kwa kushindwa kuwajibika kama mwanaumeUnamaanisha wakiwa vyuoni? Kwa hili, vijana wa kiume hawastahili lawama ya kungoneka wakiwa masomoni?
Kwamba wanaaminishwa na wanaume/ wa baba kuwa watatunza familia.Huwa sioni sababu ya single mother kulaumiwa bali anayestahili lawama ni baba kwa kushindwa kuwajibika kama mwanaume
wanaume wamekuwa matapeli sana sikuhizi sio siri!Habari zenu wakuu?
Nimesikia Kituo kimoja cha Radio kikitangaza kuhusu akina mama wanaolea na kutunza watoto pasipo msaada wa wazazi wa kiume.
Akina mama hawa hujulikana kwa jina la Kiingereza " SINGLE MOTHERS". Kwa sasa idadi ya Single mothers inazidi kuongezeka mijini na vijijini.
Kuongezeka kwa Kundi hili kunatokana na nini?
1: Wanaume wanaogopa kuoa na kutunza familia?
2: Wanawake wanashindwa kutunza ndoa zao?
3: Wanawake ( vijana) wanapenda kuzaa na wanaume wenye ndoa zao?
4: Talaka zimekuwa nyingi?
# Demiss, Bujibuji,Thad, Kichwa kichafu,Mzizi Mkavu,.Maserati.Mwifwa,Saint Ivuga,Chaga one, Mshana Jr.
Money vipi tena?
nimekuita kule valentine spesho! njooMoney vipi tena?
NdioKwamba wanaaminishwa na wanaume/ wa baba kuwa watatunza familia.
Baadae huishia mitini.
Tatizo Haki Sawa Kwa Wote Inawaponza Wanawake Wakipata Mkopo Kwenye Vicoba Wanaona Wanaweza Kila KituWababa wanazalisha tu. Je wanatunza 100%?