Mteule halisi
Senior Member
- Oct 21, 2014
- 197
- 97
Kitu gani ichoNimejifunza kitu
Umeoa au unapiga tuSingle maza mbona fresh Sana'a
Mbona asilimia 90% ya mabint wa Leo n masingle maza sema wangu watoto wao washawazika..
Mimi nadunda na single maza ingawa mazazi mwenzake yupo far nae kinoma na MTT wao yupo kwabibi yao huko
Nishajaza maisha yanaendelea
We jifariji tu sasa ngoja amtie mimba ya pili ndo utaelewa vizuriMi nimeoa single mother wala mengi mnayosema hapa hayako Sawa. Suala la mwanamke kugegedwa halijalishi kwamba ni single mother or not..kumbuka wengi mmeowa waliokuwa madem na wachumba Wa watu...kuna uwezekano mkubwa mkeo akaliwa na Ex wake Hata kama hakuzaa NAE.....tena hiyo ndiyo rahisi zaidi. Wingi waliozaa na kuachana huwa kuna kamtifuano kalikosababisha kuachana hivyo Hata kama watawasiliana kwa ajili ya mtoto haileti garantii kuwa lazima watafunane
Tupe tabia zao kidogoSingle mother wengi wajuaji sana especially wasomi ndio maana wameachika/wametelekezwa nawajua kadhaa in and out
Ni ushauri tuu ukiona haukufai unaweza kuuacha ni hivi amini nakuambia kama mwanaume mwenzako kamshindwa wewe utamuweza? Kwa kifupi wanawake ni watu wa kujisahau sana ukimuweka ndani ndo utamfahamu vizuri. Nikuulize kitu kidogo je? Umeshawahi kumtamkia kuwa unataka kumuoa? Kama jibu ni ndiyo basi achana nae sababu atajifanya mwema ili akushawishi umuoe ukimweka ndani tuu utayaona mengi.From my experience kuna mmoja nilimtia mistari akakaa sawa nikawa namsoma tuu sijamuambia kama nitamuoa ama vip. Tulikua wapenzi wa kawaida yaan huwezi amini mtu hawazi maisha analeta usista duu mbaya mara leo nataka chips kuku, mara mimi silagi ugali daa nilichoka. Tulikaa miezi mitatu ikabidi nimchinjie baharini bora niwe single kuliko kuwa na single mother.Moja kwa moja niende kwenye mada!
Baada ya kushindwana na mzazi mwenza adi kufikia hatua ya kutafuta ustarabu wangu na kuludi maisha ya ubachela, sasa nimeamua kuanza maisha mapya na binti fulani ambaye niliwai kufanya nae kazi siku za nyuma, aliteswa na mzazi mwenzie akatelekezwa kwasasa anapambana kivyake na mwanae.
Sasa huyu binti alikua kama rafiki tu lakini kuna kitu nimeona ndani yake
1) Anajua kutafuta maisha
2) Hana mambo ya usistaduu
3) Ni mrembo na anajielewa sana
Changamoto kubwa inayonitatiza kwake ni hile picha aliyonayo kichwani kwake maana alichukia kabisa swala la mahusiano na nimetumia nguvu kubwa kumludisha kwenye ulimwengu huo.
Hili lina tatizo au ni faida kwakua kapitia hali flani ya matatizo labda atakua mama bora wa familia yangu?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ila kweli wanawake wakiolewa wanajisahau sana wenyewe wana msemo wao kwamba akishaolewa anakuwa ametoa mkosiNi ushauri tuu ukiona haukufai unaweza kuuacha ni hivi amini nakuambia kama mwanaume mwenzako kamshindwa wewe utamuweza? Kwa kifupi wanawake ni watu wa kujisahau sana ukimuweka ndani ndo utamfahamu vizuri. Nikuulize kitu kidogo je? Umeshawahi kumtamkia kuwa unataka kumuoa? Kama jibu ni ndiyo basi achana nae sababu atajifanya mwema ili akushawishi umuoe ukimweka ndani tuu utayaona mengi.From my experience kuna mmoja nilimtia mistari akakaa sawa nikawa namsoma tuu sijamuambia kama nitamuoa ama vip. Tulikua wapenzi wa kawaida yaan huwezi amini mtu hawazi maisha analeta usista duu mbaya mara leo nataka chips kuku, mara mimi silagi ugali daa nilichoka. Tulikaa miezi mitatu ikabidi nimchinjie baharini bora niwe single kuliko kuwa na single mother.
Ndugu,hili ndo jambo ambalo sisi wanaume tunalifumbia macho..in long run..wewe pia utakua adui mda mwingine kwake..na huyo atakua rafiki yake ..ni maisha..huyo ni mzazi mwenzie , they are bonded by blood, so kuw mpole sector hiyo...na navosema long run naongelea 5 10 , 15 mbeleni...kuwa mpole kubali juu chini lilalwo na liwe..kwamba mzaz mwenzie tuuu ndo utakubali fair play,..zaidi ya hapo uwe mbogo
Toa factsNi baraka kubwa sana kuoa single mother
Kweli kabisaNdugu,
Mbona upo negative sana, siyo single mama wote wako hivyo unavyofikiria, labda ni asilimia 10 tu ndiyo wako hivyo unavyofikiria wewe katika asilimia 100.
Wapo single mama wametulia na kuheshimu mahusiano yao mapya.
Tulivyo wapuuzi sie wanaume, atalea mtoto wa Mama na atasahau wake! Ni hatari kuoa single mother maana mtoto akiwa wa kiume akakua atakutandika tuYeye ni single mother, wewe ni single dad, it's a perfect match mkuu.
Ni majanga maana mama hupenda mtoto wake kwanza na wewe baadaye! Ila wako ataknyanyapaaNi baraka kubwa sana kuoa single mother