Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Mimi ni Mwanaume.

Kwanza lazima Ujue Mtoto aliyezaliwa hana kosa , na hakulazimishwa kuja dunian, Bali aliwekwa tumbon ,ila kwa namna moja nanyingine Walomleta wakaachana,...

IVI UNAJUA UCHUNGU WA MWANA AUJUAYE NI MAMA YAKE nasio Mwanaume??? .

Ndio keshazaa, ulitaka amtupe?? Yaan maumivu yote ya leba ,miezi yote ya mahangaiko ya mimba. Kutapika, kususia vyakula, kuumwa, kuzimia , Leo AJE AZAE ALAFU AMTUPE MWANAWE KISA BABA WAMIMBA KAMKIMBIA????? .

KWANZA MLAANIWE WANAUME WOTEE MNAIWAPA MIMBA WANAWAKE NAKUZIKATAA ,MLANIWE ZAIDI YA WALOLAANIWA.

nakuja kwako.

Umemwona Mwanamke ana mtoto. Ila yupo singoo, Moyo wako umempenda maana mapenzi hayana macho. umemtongoza kakubali. alafu leo hiii kisa umeshakula mzigo Uanze ohoooo mtoto ohooo mpeleke kwao ohooooo sijui nn .. Ulipomfata hukujua anamtoto??? Nakwann umpende Mama mtu ,alafu uchukie mwanawe??? HUO NI UPENDO AU ILLUSION???? ... wewe huwapendi hata watoto wa majiran?? Kama unawapenda kwann umchukie mtoto wa Mwanamke wako anayekuvulia chupi?????

Unajua huyo mtoto baadae atakua nani?? Wakat ambao watoto wako wameishia kua walevi????

inaweza kua Disgraceful Pregnancy BUT KAMWE HATOKUA DISGRACEFUL CHILD!!

MTOTO WA MWENZIO NISHARIT UMUONE KAMA MTOTO WAKO. NA MWENZIO NIHUYO MWANAMKE ULOMTONGOZA KWA KILA AINA YA MBWEMBWE.

Wanawake wanaojielewa na huru HAWATOKAA WARUHUSU UHUNI WA WANAUME KM WEWE.

watakaoruhusu niwale ambao hawana elimu. Hawana maisha yaan ni Tegemezi.

HIVYO , WANAWAKE MJITAHIDI SANA KUA NA UCHUMI BINAFSI , UKIWA NAUVHUMI BINAFSI ,HAWA WANAUME WATAWAABUDU NYINYI NA WATOTO WENU.


alafu nikupe somo..."UKITAKA UFAIDI RAHA ZA HAWA WANAWAKE. HAKIKISHA UANMPENDA SAAAAAAAAAANA MTOTO WAKE , HAPO ATAKUPA RAHA. AMANI NAKILA AINA YA JEMA UNALOTAKA"...unajua kwann??? KWASABABU UNAMFANYA ASIMUWAZE BABA MTU KWANN HATOI PESA ZAMATUMIZI.

Kinyume nahapo. Atawasiliana na Baba mtoto wake Pesa ya mtoto...alafu ukikuta mawasiliano unaaanza kununa..SASA HII NI AKILI AU MATOPE???

haijalishi ni mama wa mtoto au Hana mtoto , hivo havitaondoa ukweli kua ni Mwanamke na daima lazima umuishi kama mwanamke , umfanye kua Malikia kwako kisha utamfurahia.
Kwani kutokuoa single mother ni dhambi??? Si kila mtu anapenda kuwa baba wa kambo
 
Mimi ni Mwanaume.

Kwanza lazima Ujue Mtoto aliyezaliwa hana kosa , na hakulazimishwa kuja dunian, Bali aliwekwa tumbon ,ila kwa namna moja nanyingine Walomleta wakaachana,...

IVI UNAJUA UCHUNGU WA MWANA AUJUAYE NI MAMA YAKE nasio Mwanaume??? .

Ndio keshazaa, ulitaka amtupe?? Yaan maumivu yote ya leba ,miezi yote ya mahangaiko ya mimba. Kutapika, kususia vyakula, kuumwa, kuzimia , Leo AJE AZAE ALAFU AMTUPE MWANAWE KISA BABA WAMIMBA KAMKIMBIA????? .

KWANZA MLAANIWE WANAUME WOTEE MNAIWAPA MIMBA WANAWAKE NAKUZIKATAA ,MLANIWE ZAIDI YA WALOLAANIWA.

nakuja kwako.

Umemwona Mwanamke ana mtoto. Ila yupo singoo, Moyo wako umempenda maana mapenzi hayana macho. umemtongoza kakubali. alafu leo hiii kisa umeshakula mzigo Uanze ohoooo mtoto ohooo mpeleke kwao ohooooo sijui nn .. Ulipomfata hukujua anamtoto??? Nakwann umpende Mama mtu ,alafu uchukie mwanawe??? HUO NI UPENDO AU ILLUSION???? ... wewe huwapendi hata watoto wa majiran?? Kama unawapenda kwann umchukie mtoto wa Mwanamke wako anayekuvulia chupi?????

Unajua huyo mtoto baadae atakua nani?? Wakat ambao watoto wako wameishia kua walevi????

inaweza kua Disgraceful Pregnancy BUT KAMWE HATOKUA DISGRACEFUL CHILD!!

MTOTO WA MWENZIO NISHARIT UMUONE KAMA MTOTO WAKO. NA MWENZIO NIHUYO MWANAMKE ULOMTONGOZA KWA KILA AINA YA MBWEMBWE.

Wanawake wanaojielewa na huru HAWATOKAA WARUHUSU UHUNI WA WANAUME KM WEWE.

watakaoruhusu niwale ambao hawana elimu. Hawana maisha yaan ni Tegemezi.

HIVYO , WANAWAKE MJITAHIDI SANA KUA NA UCHUMI BINAFSI , UKIWA NAUVHUMI BINAFSI ,HAWA WANAUME WATAWAABUDU NYINYI NA WATOTO WENU.


alafu nikupe somo..."UKITAKA UFAIDI RAHA ZA HAWA WANAWAKE. HAKIKISHA UANMPENDA SAAAAAAAAAANA MTOTO WAKE , HAPO ATAKUPA RAHA. AMANI NAKILA AINA YA JEMA UNALOTAKA"...unajua kwann??? KWASABABU UNAMFANYA ASIMUWAZE BABA MTU KWANN HATOI PESA ZAMATUMIZI.

Kinyume nahapo. Atawasiliana na Baba mtoto wake Pesa ya mtoto...alafu ukikuta mawasiliano unaaanza kununa..SASA HII NI AKILI AU MATOPE???

haijalishi ni mama wa mtoto au Hana mtoto , hivo havitaondoa ukweli kua ni Mwanamke na daima lazima umuishi kama mwanamke , umfanye kua Malikia kwako kisha utamfurahia.
Msamehe bure tu mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani kabisa mimi nianze kulea litoto la mtu sijui nilipie ada ya shule sijui linaumwa nilipie hela ya matibabu hospital, halafu wakati huo libaba lake lipo tu linadunda mitaani??? SHUBMATT NYIE SINGLE MOTHERS BAKINI NA PAPUCHII ZENU TU MAMAEE!
Daaah una hasira kichizi.
 
Siyo lazima, ila endapo kama anaishi kwako ni wajibu wako pia mfanye ajisikie kama wee ndiye mzazi wake.
Yaani ni wajibu wangu kumlipia ada mtoto wa mwanaume mwenzangu??? Haya sawa akitolewa mahari hiyo mahari nani anapokea???
 
Yaani ni wajibu wangu kumlipia ada mtoto wa mwanaume mwenzangu??? Haya sawa akitolewa mahari hiyo mahari nani anapokea???
Hili swala si la kujadili kwa papara, fikiria kwa kina zaidi, mwanao uliyemkana tangu akiwa tumboni kwa kutomjali kuanzia mama yake, hujui anakula nini, hujui matibabu yake, elimu yake, na maisha yake kwa ujumla hawezi kukuchukulia na kukupa uzito kama wee ni baba yake, huwezi kwenda kudai chochote kutoka kwake zaidi utaonekana mpumbavu.
 
Mimi nilishapita huko mkuu,mwanzo wanapenda mpaka machozi yanawatoka sasa ngoja uingie ndani utajuta kupenda mke wa mwenzio
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hebu tupe mikasa miwili mitatu
 
Hili swala si la kujadili kwa papara, fikiria kwa kina zaidi, mwanao uliyemkana tangu akiwa tumboni kwa kutomjali kuanzia mama yake, hujui anakula nini, hujui matibabu yake, elimu yake, na maisha yake kwa ujumla hawezi kukuchukulia na kukupa uzito kama wee ni baba yake, huwezi kwenda kudai chochote kutoka kwake zaidi utaonekana mpumbavu.
Mkuu we unaongea tu ,baba atabaki kuwa baba kwasababu wale ni damu moja tofauti na baba wa kufikia,kumbuka lile ni bao lake kabisa na mtoto lazima ampe thamani baba ake wewe ulitemlipia ada ni wa kupita tu,damu ni nzito kuliko hiyo ada uliyomlipia ambayo inaweza isifike hata 20 ml
 
Mtoto anakula ulaji na kulipiwa ada kwa mgongo wa papuchi ya mama ake[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
kamwe siwezi kufanya huo upuuzi wa kukubali kubeba majukumu yasio nihusu, halafu unakuta sasa huyo single mother baada ya kukuona umeingia king anakupa invoice za hatari ambazo hata baba mtoto hawezi kumpa. Utashangaa unaambiwa unforms za mtoto 300k, viatu pea sita, ada ya muhula wa kwanza milion 2, bima ya afya pamoja na matumizi mengine ya ziada 400k. Wakati huo wewe malipo ya kufanya hayo yote ni papuchi tu tena papuchi yenyewe unakuta iko loose haina utamu wowote sababu ilishamwaga oil yaani ile tightness hausikii kabisa...!! eti ukipenda boga penda na ua lake SHENZIII KABISA.
 
kamwe siwezi kufanya huo upuuzi wa kukubali kubeba majukumu yasio nihusu, halafu unakuta sasa huyo single mother baada ya kukuona umeingia king anakupa invoice za hatari ambazo hata baba mtoto hawezi kumpa. Utashangaa unaambiwa unforms za mtoto 300k, viatu pea sita, ada ya muhula wa kwanza milion 2, bima ya afya pamoja na matumizi mengine ya ziada 400k. Wakati huo wewe malipo ya kufanya hayo yote ni papuchi tu tena papuchi yenyewe unakuta iko loose haina utamu wowote sababu ilishamwaga oil yaani ile tightness hausikii kabisa...!! eti ukipenda boga penda na ua lake SHENZIII KABISA.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nimecheka kinomaaaaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kisa papuchi unatoa mamilioni halafu huyo mtoto mwisho wa siku anamtafura baba ake,kuoa single mother ni changamoto nyie hehee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kamwe siwezi kufanya huo upuuzi wa kukubali kubeba majukumu yasio nihusu, halafu unakuta sasa huyo single mother baada ya kukuona umeingia king anakupa invoice za hatari ambazo hata baba mtoto hawezi kumpa. Utashangaa unaambiwa unforms za mtoto 300k, viatu pea sita, ada ya muhula wa kwanza milion 2, bima ya afya pamoja na matumizi mengine ya ziada 400k. Wakati huo wewe malipo ya kufanya hayo yote ni papuchi tu tena papuchi yenyewe unakuta iko loose haina utamu wowote sababu ilishamwaga oil yaani ile tightness hausikii kabisa...!! eti ukipenda boga penda na ua lake SHENZIII KABISA.
Hahahaaa hafu bora wewe ndo uwe chanzo cha hiyo loosness kuliko njemba jingine, inauma sana.
 
Sijawahi kushawishi mwanamke yeyote atoe mimba let alone to abandon the child that already biologically belongs to her. Kutupa mtoto kisa tu baba yake kakimbia ni sawa na kukataa mguu baada ya kukanyaga mavi, hivyo naomba unitoe kwenye kundi la wanaume wenye fikra za namna hii.

Kumpenda mwanamke ambaye tayari alikwisha zaa(single mom) sio lazima nimpende na mtoto wake na wala hiyo sio sheria, mimi nimemu approach huyo mwanamke baada ya kumuona na kuvutiwa na yeye na sikuvutiwa na yeye pamoja na mtoto wake hivyo kama kuna nitakachokifanya basi itakuwa ni kwa ajili yake na sio kwa ajili ya yeye pamoja na mtoto wake sababu i have no business with her so called daughter/son.

Yeye kunivulia chupi sio sababu kuu ya kunibebesha majukumu yasio nihusu, kwanini kwanza nimlipe? sababu hicho unachosema ni sawa na kumlipa baada ya kuwa amenifurahisha.

Achana na hizo habari sijui za mtoto wa mwenzio ni wako, dude dunia ya sasa hivi haiko hivyo hao watoto utakaojipendekeza kuwalipia ada leo huko mbeleni hakuna mtu mwingine watakae mkumbuka zaidi ya mama yao naongea hivi mifano nimeiona.. hivyo nilivyokwishasema mimi nata deal na huyo single mother tu hao watoto wake wakija kuwa mapadri,mawaziri,mabalozi,madaktari,maraisi etc itakuwa ni juu yao na mama yao their future is none of my damn business.

Wanawake wanaojielewa hawawezi kumbebesha hawara majukumu yasio muhusu sababu itaonesha wanagawa mwili hili mwanae apate mahitaji. Mimi kama kutoa hizo huduma kwa mtoto basi itakuwa labda ni kwa kujiskia tu na sio kama sehemu ya majukumu yangu NEVER!! kuna mtu humu aliwahi keleta uzi baada ya kupigwa mzinga wa ada ya shule na single mother ambayo ni shilingi milion sita za kitanzania nilishangaa sana inakuwaje mpaka mwanamke anakuona zoba kiasi hiki.
"Wanawake wanaojielewa hawawezi mbebesha majukumu Hawara" nmeyanukuu maneno haya kama sehem ya kukujaji .

Unazungumzia nn kusema Hawara?? Inamaana Umemtongoza ukijua kua Unataka kupiga tu nakuamsha ??? .. Kwa uelewa wako unahisi Wao huwa hawajui kua wewe umeenda kama hawara na nini wanacho takiwankufanya??? Ukienda kama Hawara mpitaji ,lazima Ukubaliane nahali utakayokutana nayo yaan "Utoaji wa Pesa kubwa kubwa" kwasababu anajua kupitia hiyo hiyo pesa, MWANAWE ALOKIMBIWA NA BABA YAKE ,ANATAKIWA ALE, AVAE NA ASOME KUPITIA IYO PESA !! They Know !!! .... Sasa unataka kwakua umeenda kama Hawara mpitaji Basi ndo uishie kula Utamu wake ,KWA KISINGIZIO CHA "NMEKUPENDA WEWE TU"" ........

, alafu unipate hapa, NI UNAFIKI WA HALI YA JUU SANA KUSEMA UNAMAPENZI NA MWANAMKE ILIMRADI UNACHUKIZWA NAMWANAWE AU UNASHINDWA KUCHUKUA NAFASI YA UBABA KWA MTOTO WAKE ,NAHUKU UKIJUA KUA DAMU YA MTOTO WAKE NDIO DAMU YA MWANAMKE UYO UYO UNAYESEMA UNAMPENDA...... NINI MAANA YA KUPENDA HPO??? .

IVI UNAJUA KWA MWANAMKE ,MTOTO WAKE NIKM KILIVYO KIUNGO CHAKE??? UNAJUA MWANAMKE MTOTO WAKE NIKM FIGO /MOYO WAKE ?????? .

SASA KWANN USHINDWE KUJIONGEZA TU NAKUJUA HIZI DAMU MOJA LAZIMA NIZIISHI SAWASAWA???

UNADHAN HATA KAMA UMEENDA KM HAWARA MPITAJI, HUYU MAMA MWANAWE AKIUMWA , UTAKIPATA UNACHOTAKA ?????

KWANN UMUISHI MTOTO WAKE KWAHSIA MBOVU TENA NEGATIVE ETI " HATOKAA ANISAIDE " NANI ANAJUA BAADAE ZETU???? WANGAPI WAMEKUJA KUSAIDIWA NA WATOTO WAO WAKAMBO??? WANGAPI??? AU UNATAKA NIKUPE NAMIFANO YA WATU WAKUBWA WALIOKO SERIKALIN NAVYOMBO VYA DOLA AMBAO NI MATOKEO YA UTOTO WA KAMBO NASAIZI BABA ZAO HAO WAKAMBO WANAISHI MAISHA MAKUBWA YASOKUA NAMFANO???? .

HUWEZ KAAA UISHI NA MAWAZO HASI YANAMNA HIYO JUU YA KIUMBE AMBAYE BADO HAJUI HATIMA YAKE.

WALIPOSEMA SAMAKI MKUNJE INGALI MBICHI WALIKUA NAMAAANA GAN?? MTOTO UTAAVYOMLEA NDIVO ATAKAVYOKUA ,HAIJALISHI NI MTOTO WAKAMBO AU NIWAKO HAIJALISHI ILO , HUYU MTOTO WA KAMBO UNAWEZA KUMUISHI NAMAISHA YAKE YOTE WEWE NDO UKAWA BABA YAKE.

NAKUPA MFANO.. MOJA WA WAJOMBA ZANGU ALIMKATAAGA MWANAMKE NA MTOTO, HUYO MAMA AKAOLEWA. ALIYEMUOA KASOMESHA SANAA MPAKA JAMAA SAIZ NI PhD holder , mambo si mambo Magufuli kampa boooooonge la kitengo, Jamaa Kamshushia Uyo BABA WAKAMBO BOOOOOONGE LA MJUMBA ,KWAUFUPI KABADILISHA MAISHA MAKUBWA YA BABA WAKAMBO NA MAMA YAKE.


Niseme ivi,,, KAMA UMEMTONGOZA MWANAMKE MWENYR MTOTO KWA LENGO LA KUOA NILAZIMA UMPENDE MWANAYE TENA UMPENDE SANAAAA !!


kama umemtongoza ukiwa kama HAWARA MPITAJI ,NILAZIMA UKUBALIANE NA HALI YAKE NA NILAZIMA USITUMIE SABABU YA KUMPA HUDUMA KUMUACHANISHA NA MWANAWE.

YAAAN NIIVI, UWE UMEMTONGOZA KWA LENGO LA KUPITA, AU KWA LENGO LA KUA NAYE KIMAISHA,, HATA KAMA HATOKUOMBA UMUHUDUMIE NILAZIMA UJIONGEZE KUA , MTOTO ANAHITAJI MALEZI YA BABA ILI AZIDI KUA MTOTO WAKIUME ATAKAYEKUJA KUA MWANAUME KAMA WEWE.



MIMI NASEMA IVI, NI UNAFIKI WA HALI YAJUU KUMNUNULIA HUYI MWANAMKE NGUO YA SIKUKUU , HUKU UKIACHA MWANAWE BILA KUMNUNULIA NGUO YA SIKUKU !!! hiyo sio akili bali ni tope.... Nimara mia Mwanawe Umnunulie alafu yeye Usimnunulie.


( Nyinyi ndo baadae mnakujaga humu kuanzisha minyuzi isokua namaana eti " Masingo maza punguzeni Mizinga" ) ...una akili kweli????? Ushindwe kumjali mwanawe waziwazi utegemee usimjali bila wewe kujijua kama unamjali?????.


NINGEKUA NA NGUVU YA AJABU. NINGEWAFANYA WANAUME WOTEEE MNAOWAFATA HAWA WAMAMA KWA LENGO LA KUPIGA TU, MUWE MAZEZETA KIASINKWAMBA KILA PESA ATAKAYOKUOMBA UYU MWANAMKE UITOE HARAKA na IENDE KUMLEA MWANAYE !!.
 
Yaani ni wajibu wangu kumlipia ada mtoto wa mwanaume mwenzangu??? Haya sawa akitolewa mahari hiyo mahari nani anapokea???
Hawa watoto waliozaliwa na kulelewa na single mother huwa ni wachache sana wanaowakumbuka na kuwathamini watu wa pembeni wakifikisha umri wa utu uzima na hasa wakiwa na mafanikio.

Nimeona watu waliosomeshwa na mababa wa kambo ambae ni mume halali wa mama yake baada tu ya wao kufanikiwa, aliyekumbukwa sana ni mama wala sio baba.. Sasa kama hata mtu amemuoa mama yake athaminiwi sembuse wewe ambaye ni hawara tu wa mama yake!!?

ni vigumu sana mtoto wa single mother kumpa thamani sawa anayompa mama baba yake wa kambo, hata ukiangalia interviews za celebrities wengi maarufu ambao hawakupata malezi ya baba mzazi utaskia "you know my mom this...my mom that" huwezi kuskia my step father hata kidogo.

HAKUNA KUBEBA MAJUKUMU YASIO KUHUSU UKIWA KWENYE MAHUSIANO NA SINGLE MOTHER PERIOD
 
Back
Top Bottom