Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Kwani kutokuoa single mother ni dhambi??? Si kila mtu anapenda kuwa baba wa kambo
Nasema ivi, Mwanamke awe anamtoto au hana mtoto ATABAKI KUA MWANAMKE . Nakama umemuona anafaa kua Mke wako USISITE KUMUOA KWASABABU , USIPOMUOA KUNA MTU ATAMUOA FASTA ..ndo utarudi unalia kamasi zinakutoka.

Na usiombe awe ni yule alokimbiwa , mwanamke anayehitaji Shujaa wa maisha yake kwaajili ya kuionyesha dunia kua HUYU MWANAMKE NAMTOTO SIO KWAMBA ALIKIMBIWA KWA MAKOSA YAKE ,BALI ALOMKIMBIA NDO FALAA ,NASASA NMEMUOA MIMI" ....aseee mwanamke wa hivi ukimpata nimpaka utajiona uko Mbinguni.
 
Hawa watoto waliozaliwa na kulelewa na single mother huwa ni wachache sana wanaowakumbuka na kuwathamini watu wa pembeni wakifikisha umri wa utu uzima na hasa wakiwa na mafanikio.

Nimeona watu waliosomeshwa na mababa wa kambo ambae ni mume halali wa mama yake baada tu ya wao kufanikiwa, aliyekumbukwa sana ni mama wala sio baba.. Sasa kama hata mtu amemuoa mama yake athaminiwi sembuse wewe ambaye ni hawara tu wa mama yake!!?

ni vigumu sana mtoto wa single mother kumpa thamani sawa anayompa mama baba yake wa kambo, hata ukiangalia interviews za celebroties wengi maarufu ambao hawakupata malezi ya baba mzazi utaskia "you know my mom this...my mom that" huwezi kuskia my step father hata kidogo.

HAKUNA KUBEBA MAJUKUMU YASIO KUHUSU UKIWA KWENYE MAHUSIANO NA SINGLE MOTHER PERIOD
Exactly mwisho wa siku yatakutokea puani afu utajiona fala sanaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nasema ivi, Mwanamke awe anamtoto au hana mtoto ATABAKI KUA MWANAMKE . Nakama umemuona anafaa kua Mke wako USISITE KUMUOA KWASABABU , USIPOMUOA KUNA MTU ATAMUOA FASTA ..ndo utarudi unalia kamasi zinakutoka.

Na usiombe awe ni yule alokimbiwa , mwanamke anayehitaji Shujaa wa maisha yake kwaajili ya kuionyesha dunia kua HUYU MWANAMKE NAMTOTO SIO KWAMBA ALIKIMBIWA KWA MAKOSA YAKE ,BALI ALOMKIMBIA NDO FALAA ,NASASA NMEMUOA MIMI" ....aseee mwanamke wa hivi ukimpata nimpaka utajiona uko Mbinguni.
Yaani nilie kisa single mother wewe fala kweli we mtoto[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hivi ukiwa na single mother ni lazima kumuhudumia mtoto wake?
Nilazima umuhudumie. Sikia mzee, Mwanamke anapofall in love anakuhesabu kama shujaa kwa mambo mengi yanayomuhusu. Nawanapopenda hupenda kwa dhati sana...

Sasa kwann usijiongeze tu???

Believe me...NIMWANAMME MASIKIN NA ANAYEPENDA VYA KUNYONGA NDIO HATOJALI MTOTO WA MWANAMKE WAKE
 
Nilazima umuhudumie. Sikia mzee, Mwanamke anapofall in love anakuhesabu kama shujaa kwa mambo mengi yanayomuhusu. Nawanapopenda hupenda kwa dhati sana...

Sasa kwann usijiongeze tu???

Believe me...NIMWANAMME MASIKIN NA ANAYEPENDA VYA KUNYONGA NDIO HATOJALI MTOTO WA MWANAMKE WAKE
Rudia tena??? Yaani unamlipia ada mtoto wa mwanaume mwenzako wakati yeye yupo anadunda mtaani,huyo mwanamke mwenye mtoto uliyemuoa ngoja yeye na mama ake wafichue makucha yao ndipo utakapojiona fala
 
Rudia tena??? Yaani unamlipia ada mtoto wa mwanaume mwenzako wakati yeye yupo anadunda mtaani,huyo mwanamke mwenye mtoto uliyemuoa ngoja yeye na mama ake wafichue makucha yao ndipo utakapojiona fala
Hamna kitu kama iko...ona akili za wanaume zilivyo zakipuuzi...AKILIPIWA ADA NA BABA YAKE MZAZI ..utasema nyie bado mnawasiliana.


Mama mtu akikuomba Ada..unasema sina.... Akikuomba Ruhusa yakwenda ofisin kwa baba mtu kuchukua pesa ya ADA...unavuta mdomo kama Falaaa.... Akimpigia simu ndo UTAMWAMBIA WEKA LOUD SPEAKER ,,, Ikiingia meseji akiuuliza hali ya mtoto au meseji ya hela..ndi unaanza kulalama, ohoooooo kwann akutumie pesaaa ,yann..ohoioo kwann umwambie mtoto anaumwa wakat nipo??? ...... Hii sio akili ni Matope !!

Kwaiyo unataka kotekote huduma ya mtoto aikose!!???

Ni Unyau wa kiwango cha juu sana , kumfanya mtoto ajute kwann ANAISHI!!!
 
"Wanawake wanaojielewa hawawezi mbebesha majukumu Hawara" nmeyanukuu maneno haya kama sehem ya kukujaji .

Unazungumzia nn kusema Hawara?? Inamaana Umemtongoza ukijua kua Unataka kupiga tu nakuamsha ??? .. Kwa uelewa wako unahisi Wao huwa hawajui kua wewe umeenda kama hawara na nini wanacho takiwankufanya??? Ukienda kama Hawara mpitaji ,lazima Ukubaliane nahali utakayokutana nayo yaan "Utoaji wa Pesa kubwa kubwa" kwasababu anajua kupitia hiyo hiyo pesa, MWANAWE ALOKIMBIWA NA BABA YAKE ,ANATAKIWA ALE, AVAE NA ASOME KUPITIA IYO PESA !! They Know !!! .... Sasa unataka kwakua umeenda kama Hawara mpitaji Basi ndo uishie kula Utamu wake ,KWA KISINGIZIO CHA "NMEKUPENDA WEWE TU"" ........

, alafu unipate hapa, NI UNAFIKI WA HALI YA JUU SANA KUSEMA UNAMAPENZI NA MWANAMKE ILIMRADI UNACHUKIZWA NAMWANAWE AU UNASHINDWA KUCHUKUA NAFASI YA UBABA KWA MTOTO WAKE ,NAHUKU UKIJUA KUA DAMU YA MTOTO WAKE NDIO DAMU YA MWANAMKE UYO UYO UNAYESEMA UNAMPENDA...... NINI MAANA YA KUPENDA HPO??? .

IVI UNAJUA KWA MWANAMKE ,MTOTO WAKE NIKM KILIVYO KIUNGO CHAKE??? UNAJUA MWANAMKE MTOTO WAKE NIKM FIGO /MOYO WAKE ?????? .

SASA KWANN USHINDWE KUJIONGEZA TU NAKUJUA HIZI DAMU MOJA LAZIMA NIZIISHI SAWASAWA???

UNADHAN HATA KAMA UMEENDA KM HAWARA MPITAJI, HUYU MAMA MWANAWE AKIUMWA , UTAKIPATA UNACHOTAKA ?????

KWANN UMUISHI MTOTO WAKE KWAHSIA MBOVU TENA NEGATIVE ETI " HATOKAA ANISAIDE " NANI ANAJUA BAADAE ZETU???? WANGAPI WAMEKUJA KUSAIDIWA NA WATOTO WAO WAKAMBO??? WANGAPI??? AU UNATAKA NIKUPE NAMIFANO YA WATU WAKUBWA WALIOKO SERIKALIN NAVYOMBO VYA DOLA AMBAO NI MATOKEO YA UTOTO WA KAMBO NASAIZI BABA ZAO HAO WAKAMBO WANAISHI MAISHA MAKUBWA YASOKUA NAMFANO???? .

HUWEZ KAAA UISHI NA MAWAZO HASI YANAMNA HIYO JUU YA KIUMBE AMBAYE BADO HAJUI HATIMA YAKE.

WALIPOSEMA SAMAKI MKUNJE INGALI MBICHI WALIKUA NAMAAANA GAN?? MTOTO UTAAVYOMLEA NDIVO ATAKAVYOKUA ,HAIJALISHI NI MTOTO WAKAMBO AU NIWAKO HAIJALISHI ILO , HUYU MTOTO WA KAMBO UNAWEZA KUMUISHI NAMAISHA YAKE YOTE WEWE NDO UKAWA BABA YAKE.

NAKUPA MFANO.. MOJA WA WAJOMBA ZANGU ALIMKATAAGA MWANAMKE NA MTOTO, HUYO MAMA AKAOLEWA. ALIYEMUOA KASOMESHA SANAA MPAKA JAMAA SAIZ NI PhD holder , mambo si mambo Magufuli kampa boooooonge la kitengo, Jamaa Kamshushia Uyo BABA WAKAMBO BOOOOOONGE LA MJUMBA ,KWAUFUPI KABADILISHA MAISHA MAKUBWA YA BABA WAKAMBO NA MAMA YAKE.


Niseme ivi,,, KAMA UMEMTONGOZA MWANAMKE MWENYR MTOTO KWA LENGO LA KUOA NILAZIMA UMPENDE MWANAYE TENA UMPENDE SANAAAA !!


kama umemtongoza ukiwa kama HAWARA MPITAJI ,NILAZIMA UKUBALIANE NA HALI YAKE NA NILAZIMA USITUMIE SABABU YA KUMPA HUDUMA KUMUACHANISHA NA MWANAWE.

YAAAN NIIVI, UWE UMEMTONGOZA KWA LENGO LA KUPITA, AU KWA LENGO LA KUA NAYE KIMAISHA,, HATA KAMA HATOKUOMBA UMUHUDUMIE NILAZIMA UJIONGEZE KUA , MTOTO ANAHITAJI MALEZI YA BABA ILI AZIDI KUA MTOTO WAKIUME ATAKAYEKUJA KUA MWANAUME KAMA WEWE.



MIMI NASEMA IVI, NI UNAFIKI WA HALI YAJUU KUMNUNULIA HUYI MWANAMKE NGUO YA SIKUKUU , HUKU UKIACHA MWANAWE BILA KUMNUNULIA NGUO YA SIKUKU !!! hiyo sio akili bali ni tope.... Nimara mia Mwanawe Umnunulie alafu yeye Usimnunulie.


( Nyinyi ndo baadae mnakujaga humu kuanzisha minyuzi isokua namaana eti " Masingo maza punguzeni Mizinga" ) ...una akili kweli????? Ushindwe kumjali mwanawe waziwazi utegemee usimjali bila wewe kujijua kama unamjali?????.


NINGEKUA NA NGUVU YA AJABU. NINGEWAFANYA WANAUME WOTEEE MNAOWAFATA HAWA WAMAMA KWA LENGO LA KUPIGA TU, MUWE MAZEZETA KIASINKWAMBA KILA PESA ATAKAYOKUOMBA UYU MWANAMKE UITOE HARAKA na IENDE KUMLEA MWANAYE !!.
Umetoa mapovu sana,hivi unajua changamoto za kuwa baba wa kambo???? Afu umekosea sana ngoja nikusahihishe,damu ya huyo mtoto ndiyo damu hiyo hiyo ya baba ake aliyemkataa
 
Hamna kitu kama iko...ona akili za wanaume zilivyo zakipuuzi...AKILIPIWA ADA NA BABA YAKE MZAZI ..utasema nyie bado mnawasiliana.


Mama mtu akikuomba Ada..unasema sina.... Akikuomba Ruhusa yakwenda ofisin kwa baba mtu kuchukua pesa ya ADA...unavuta mdomo kama Falaaa.... Akimpigia simu ndo UTAMWAMBIA WEKA LOUD SPEAKER ,,, Ikiingia meseji akiuuliza hali ya mtoto au meseji ya hela..ndi unaanza kulalama, ohoooooo kwann akutumie pesaaa ,yann..ohoioo kwann umwambie mtoto anaumwa wakat nipo??? ...... Hii sio akili ni Matope !!

Kwaiyo unataka kotekote huduma ya mtoto aikose!!???

Ni Unyau wa kiwango cha juu sana , kumfanya mtoto ajute kwann ANAISHI!!!
" Ona akili za wanaume zilivyo" hiyo sentensi ndo imenifanya nijue wewe ni mtu wa namna gani,kama sio mwanamke basi wewe ni mchicha mwiba a.k.a shoga mwanaume mwenye tabia za kimama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kamwe siwezi kufanya huo upuuzi wa kukubali kubeba majukumu yasio nihusu, halafu unakuta sasa huyo single mother baada ya kukuona umeingia king anakupa invoice za hatari ambazo hata baba mtoto hawezi kumpa. Utashangaa unaambiwa unforms za mtoto 300k, viatu pea sita, ada ya muhula wa kwanza milion 2, bima ya afya pamoja na matumizi mengine ya ziada 400k. Wakati huo wewe malipo ya kufanya hayo yote ni papuchi tu tena papuchi yenyewe unakuta iko loose haina utamu wowote sababu ilishamwaga oil yaani ile tightness hausikii kabisa...!! eti ukipenda boga penda na ua lake SHENZIII KABISA.
Papuchi liko loose ha ha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asilimia kubwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Na bado inategemea Factors mbali mbali.

Moja wapo niwewe kutomjali mtoto wake. .siku akienda kwa jamaa kuchukua pesa ya mtoto??? Hata kama nimimi namlilia tukumbushie nkidogo.

Hutaki, mjali yeye na mwanawe nakwasababu anaakili mtakuanmmziba mianya yote nahata Mwanake hatokua anamis kitu .

So itabaki historia tu
 
Back
Top Bottom