Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

This is anothe case. Ushasema mke....tukiwa mwili 1 tutapanga sote. Nikiwa sijakuowa wewe sio mwili wangu take care of yourself.
 
Izi mada izi ...

Mimi naamini Singo mama ataolewa namwanaume yule wanayependana.
And that is the truth. Mtoa mada naona amkuja kwa kasi kama amekunywa chai ya moto.
Kwanza si singo mothers wote ni wabaya, au walikuwa na tabia chafu huo si ukweli. Japokuwa asilimia kubwa hapo walipo ni wao walichangia kujiharib kwa tabia chafu.

Asilimia ndogo wanajielewa.. na wanaoleka vizuri na ni wife material wanao eleweka.
 
Izi mada izi ...

Mimi naamini Singo mama ataolewa namwanaume yule wanayependana.
And that is the truth. Mtoa mada naona amkuja kwa kasi kama amekunywa chai ya moto.
Kwanza si singo mothers wote ni wabaya, au walikuwa na tabia chafu huo si ukweli. Japokuwa asilimia kubwa hapo walipo ni wao walichangia kujiharib kwa tabia chafu.

Asilimia ndogo wanajielewa.. na wanaoleka vizuri na ni wife material wanao eleweka.
 
Umenena vyema. Wamejiharibu wenyewe. Wengi wana tabia chafu. Wachache wenye tabia nzuri wife material. Ukibahatika naye oa. Sijakukataza.
 
Kweli kabisa mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…