Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Unajua nimeona tumeongelea ma single mother tu. Lakini katika jamii kuna " ma single father" ko inamaana nao mwanamke rijali asikubali kuolewa na single father??????..…...............................................................................Ndoa nimakubaliano kati ya mume na mke haijarishi mapunguvu mmoja aliyonayo kama wamependana na wapo tayar kuwa pamoja WHAT ELSE MATTERS!!!!!!!!!!!...........................................
 
Whaaaaaaat
 
Amin amin nakwambia huyo single mama kamwe hawezi msahau yule wakwanza kuzaa nae hata wakikutana wanarudiana kinachowaunganisha ni yule mtoto
 
Kwani haipiti
 
Toka zako hapa. Nimekulia nyumbani kww baba na mama. Kulelewa na baba wa kambo sio hoja. Hoja ni kuwa mama yako aliolewa na baba yako kabla wewe hujazaliwa?
Duh! Kiongozi wewe bado sana. Wewe unatakiwa kufanyiwa maombi
 
Usiwabanie ma Single father, wao pia utamani ma Single Mother
 
Kwaiyo mkuu kama mtoto anamjua baba yake,inakuwaje?...na kwamfano yeye mtoto alizaliwa baada ya mama(msichana wa makamo kama 20years) yake kudanganywa na baba yake(mtumzima kama 48years)...alimdanganya kwa pombe na akanywa then akamtoa bikra na kumpa mimba..kisha akamtishia asitoe mimba na mtoto akazaliwa na akawa anamuhudumia na baadae yule mama akaachana na mwanaume na kutafuta wa rika lake,je! Bado kumuo huyo single maza nichangamoto kubwaa????
 
Hivi mwanao akibakwa then akapimwa akagundulika kapata ujauzito utamruhusu alee ujauzito wa mbakaji?
 
Hivi mwanao akibakwa then akapimwa akagundulika kapata ujauzito utamruhusu alee ujauzito wa mbakaji?
Daaah! Hapo ni pagumu kwakuwa baba hatajulikana! ila kwajinsi nilivyo eleza hapi juu...ni kwakesi mtu alipanga sehemu sasa baba mwenye nyumba ndo kamlagai kiivyo then akanfisi asitoe mimba yeye atakea na kweli baba wa mtoto anakaa na mwanae na anamlea mwenyewe.......sasa hapo kuna changamoto kwa huyo mwanamke kuolewa tena(kumbuka huyo alimpa mimba ni mtu mzima na ana ndoa yake na ana watoto)

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
Amin amin nakwambia huyo single mama kamwe hawezi msahau yule wakwanza kuzaa nae hata wakikutana wanarudiana kinachowaunganisha ni yule mtoto
Amin amin nakwambia hahaa,inaonekana una uzoefu na single mothers
 
Amin amin nakwambia huyo single mama kamwe hawezi msahau yule wakwanza kuzaa nae hata wakikutana wanarudiana kinachowaunganisha ni yule mtoto
Amin amin nakwambia hahaa,inaonekana una uzoefu na single mothers
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…