qn of sheba
JF-Expert Member
- Sep 13, 2011
- 3,230
- 1,380
well said jomba, I'm very thanksful to my mother she managed to raise us seven children alone since my father passed away 14 years ago .I pray for her to have more years to see her grand children HAPPY MOTHERS DAY
Miaka 24 afu una mtoto wa miaka 7!!!!
Miaka 24 afu una mtoto wa miaka 7!!!!
Habari wana love connect, Mimi ni msichana wa miaka 24, Muislam, natafuta mwenza wa maisha, elimu yangu Diploma, nina mtoto wa miaka saba (nilizaa nikiwa shule, baada ya kujifungua nikarudi shule).
Kiumbo ni wa kawaida sana umbo la kibantu,maji ya kunde, kabila langu Muha.
Mtu nimtaftae:-
Kama unauhitaji kama Wang ni PM
- Muislam
- Age kuanzia 28 hadi 30
- Kabila lolote
- Awe anajituma haijalishi yuko vizuri kiuchumi au la
- Elimu diploma au said I
- Awe muaminifu
Ha ha ha
Ha ha ha