ElPuto Jefe
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 5,284
- 19,410
Tukiwachana wanatoa mapovuWakuu hakna kitu kibaya kama kuoa mtu aliyezalishwa na jamaa mwingine..kibaya zaidi jamaa mwenyewe bado tupo hai ...hakika mwisho wake ni visasi na mauti ....Ma single mother siyo wa kuoa ni kupiga na kusepa .
Kumbe punda wananyumba me nilikuwa sijuiKuoa demu mwenye mtoto ilhali baba mtoto yuko chai, ni sasa na kubusu miguu ya Nyumba ya punda.
Ushampoteza Bro wakoHabarini watu wa Mungu
Utangulizi:
Kuna kaka yangu alioa (miaka kama mitano iliyopita) mwanamke aliyezaa na mwanaume tofauti na yeye. Hawajafunga ndoa na pia hawaishi pamoja kutokana na mambo ya kazi kwa pande zote mbili. Walishatambulishana kwa wazazi pande zote mbili na mahusiano yao ni ya uwazi na jamii inajua. Pia mwanamke anaishi na mtoto aliyezaa na mwanaume kabla hajaanza kuishi na kaka.... na huyo mtoto anasoma darasa la 2 sasa(7yrs). Kawaida br huenda kwa huyo mke kila ijumaa na kurudi jumapili jioni au jumatatu asubuhi sana na kupitiliza kazini kwake.
Tatizo lilipo
Ni kwamba mpaka leo mwanamke (shemeji) anawasiliana na mzazi wa mtoto wake (akiulizwa husema anawasiliana nae kwa sababu ya mtoto na kutuma matumizi na sio kimapenzi), na mara nyingine huja kumwona mwanae anapopata nafasi. Na kila anapokuja hamshirikishi kaka na akimuuliza hujibu tu alikuja bila taarifa kumwona mwanae na kwasababu anaishi mikoa ya mbali lazima alale hata siku 2 au 3. Na akimuuliza analalaje hapo na ataaminije kuwa hawafanyi mapenzi? Shemeji husema analala chumba cha housegirl na yeye analala na h/g.
Nimeandika hivi kwa sababu bro hii wiki hajaenda kwa mke kwa sababu kasikia yupo mzazi mwenzie na mke wake, na anakosaga sana amani, wikiendi yote kaishia kulewa tu. Mpaka sasa mwanaume bado yupo na br akitaka kuongea na mwanamke hana shida anaongea nae kwa uhuru lakini mi naona ni maigizo.
Kaniomba jana ushauri na anampenda kweli, nimeshindwa kutoa jibu ila nimemwambia amwambie mwanamke ampeleke mtoto kwa baba yake ili hiyo shida iishe kasema alishamwambia lakini shemeji anadai mtoto wake hawez kuishi kwa mama wa kambo. Na br mpaka sasa hajazaa nae.
Naombeni pia mawazo yenu, hali ya br sio nzuri kwa sasa
(Hanaga mpango na mitandao ya kijamii zaidi ya whatsapp so naamini hawezi kuona huu uzi).
Mwenye macho haambiwi tazamaHabarini watu wa Mungu
Utangulizi:
Kuna kaka yangu alioa (miaka kama mitano iliyopita) mwanamke aliyezaa na mwanaume tofauti na yeye. Hawajafunga ndoa na pia hawaishi pamoja kutokana na mambo ya kazi kwa pande zote mbili. Walishatambulishana kwa wazazi pande zote mbili na mahusiano yao ni ya uwazi na jamii inajua. Pia mwanamke anaishi na mtoto aliyezaa na mwanaume kabla hajaanza kuishi na kaka.... na huyo mtoto anasoma darasa la 2 sasa(7yrs). Kawaida br huenda kwa huyo mke kila ijumaa na kurudi jumapili jioni au jumatatu asubuhi sana na kupitiliza kazini kwake.
Tatizo lilipo
Ni kwamba mpaka leo mwanamke (shemeji) anawasiliana na mzazi wa mtoto wake (akiulizwa husema anawasiliana nae kwa sababu ya mtoto na kutuma matumizi na sio kimapenzi), na mara nyingine huja kumwona mwanae anapopata nafasi. Na kila anapokuja hamshirikishi kaka na akimuuliza hujibu tu alikuja bila taarifa kumwona mwanae na kwasababu anaishi mikoa ya mbali lazima alale hata siku 2 au 3. Na akimuuliza analalaje hapo na ataaminije kuwa hawafanyi mapenzi? Shemeji husema analala chumba cha housegirl na yeye analala na h/g.
Nimeandika hivi kwa sababu bro hii wiki hajaenda kwa mke kwa sababu kasikia yupo mzazi mwenzie na mke wake, na anakosaga sana amani, wikiendi yote kaishia kulewa tu. Mpaka sasa mwanaume bado yupo na br akitaka kuongea na mwanamke hana shida anaongea nae kwa uhuru lakini mi naona ni maigizo.
Kaniomba jana ushauri na anampenda kweli, nimeshindwa kutoa jibu ila nimemwambia amwambie mwanamke ampeleke mtoto kwa baba yake ili hiyo shida iishe kasema alishamwambia lakini shemeji anadai mtoto wake hawez kuishi kwa mama wa kambo. Na br mpaka sasa hajazaa nae.
Naombeni pia mawazo yenu, hali ya br sio nzuri kwa sasa
(Hanaga mpango na mitandao ya kijamii zaidi ya whatsapp so naamini hawezi kuona huu uzi).
Halafu anapiga ukuni vilivyo hadi jamaa chumba cha pili aipate pate tamu ya kuzengeambona suala hili lipo simpo tu,huyo mzazi mwenzie akija mwambie bro naye aende kulala hukohuko
Na we ebu Rudi kule kwenye uzi wako wa mganga utupe mrejesho[emoji1]Mmmmh huyo kaka ako inaoneka katawaliwa na huyo mwanamke yaan mwanamke anafanya anavyotaka weee kumsalimia gani mtoto hadi kulala,huyo baba wa mtoto aje amchukue mtoto akae nae weekend ikiisha amrudishe kwa mama ake ndio wanavyofanyaga masingo mama
Habarini watu wa Mungu
Utangulizi:
Kuna kaka yangu alioa (miaka kama mitano iliyopita) mwanamke aliyezaa na mwanaume tofauti na yeye. Hawajafunga ndoa na pia hawaishi pamoja kutokana na mambo ya kazi kwa pande zote mbili. Walishatambulishana kwa wazazi pande zote mbili na mahusiano yao ni ya uwazi na jamii inajua. Pia mwanamke anaishi na mtoto aliyezaa na mwanaume kabla hajaanza kuishi na kaka.... na huyo mtoto anasoma darasa la 2 sasa(7yrs). Kawaida br huenda kwa huyo mke kila ijumaa na kurudi jumapili jioni au jumatatu asubuhi sana na kupitiliza kazini kwake.
Tatizo lilipo
Ni kwamba mpaka leo mwanamke (shemeji) anawasiliana na mzazi wa mtoto wake (akiulizwa husema anawasiliana nae kwa sababu ya mtoto na kutuma matumizi na sio kimapenzi), na mara nyingine huja kumwona mwanae anapopata nafasi. Na kila anapokuja hamshirikishi kaka na akimuuliza hujibu tu alikuja bila taarifa kumwona mwanae na kwasababu anaishi mikoa ya mbali lazima alale hata siku 2 au 3. Na akimuuliza analalaje hapo na ataaminije kuwa hawafanyi mapenzi? Shemeji husema analala chumba cha housegirl na yeye analala na h/g.
Nimeandika hivi kwa sababu bro hii wiki hajaenda kwa mke kwa sababu kasikia yupo mzazi mwenzie na mke wake, na anakosaga sana amani, wikiendi yote kaishia kulewa tu. Mpaka sasa mwanaume bado yupo na br akitaka kuongea na mwanamke hana shida anaongea nae kwa uhuru lakini mi naona ni maigizo.
Kaniomba jana ushauri na anampenda kweli, nimeshindwa kutoa jibu ila nimemwambia amwambie mwanamke ampeleke mtoto kwa baba yake ili hiyo shida iishe kasema alishamwambia lakini shemeji anadai mtoto wake hawez kuishi kwa mama wa kambo. Na br mpaka sasa hajazaa nae.
Naombeni pia mawazo yenu, hali ya br sio nzuri kwa sasa
(Hanaga mpango na mitandao ya kijamii zaidi ya whatsapp so naamini hawezi kuona huu uzi).