Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Huu ujinga wa co-parenting ni kitu ambacho sitakuja kufanya wala sitataka kuja kukisikia masikioni kwangu......

Kuwa na uhusiano na mwanamke mwenye mtoto ni swala moja ila kuleta habari za kipumbavu za kushirikisha mzazi mwenza kulea mtoto ni mambo ya kifala......

Chagua moja kaishi nae kama mlishindwanda kuishi pamoja pita hivi apite kule......

Tena kama inikute mimi itakuwa vita kabisa.......sitaruhusu huyu jamaa asogee karibu kama anapenda mtoto wake aje amchukue akalee na kama mwanamke hataki then atakuwa akili hana yule ni baba yake unamkatalia mtoto kwann basi peleka kwa wazazi wako sio kuniletea wenge za kifala ati mnalea mtoto huo ni upuuzi ambao sitauelewa hata iwaje....
 
Hapo bro wako bado hajamuoa kwa ndoa ndio maana huyo mwanamke anamletea huyo mwanaume ndani, akitaka aheshimiwe afunge nae ndoa rasmi na atekeleze wajibu wake kama mume, hutasikia huyo baba wa mtoto akijitokeza, ndoa inaheshima yake bwana
Acha ujinga wewe.
 
Kila kitu kipo bayana
Akitaka ushahid aende amwachie maagizo house girl madogo tu...
Ampe laki amwambie amuuzie habari
Beki tatu atampa mtonyo
Usiku ukifika amvideo call ilo goma mda ambao dada amekii hayupo room wakat limelala na njemba
 
Mjinga huyo bro wako, atakuwa na akili za kipinzani
 
Bro wako akapimwe akili milembe na wewe uende ukapimwe akili.
 
Waweza kukuta huyo kaka Yako na yeye ana degree".. then mtaani ana tembea kifua mbele na kujiita Msomi "..

Daahh nikiwa na mtoto kama huyo bora ni badilidhane na mahindi nichome nile nishibe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…