Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

I see kumbe duniani kuna watu wanaishi kinyonge sana eeeh?. Tena muda mwingine unyonge wa kujitakia. Mwanaume mwingine anakuja nyumbani kwangu alie na uhusiano na mke wangu. Halafu mwenye nyumba unaikimbia nyumba. Ushauri huyo mke anampenda huyo aliezaa nae,kwa kakaako amefuata ndoa tu,lakini mapenzi yote yako kwa mzazi mwenzie. Halafu kakaako ni dhaifu kwa,mkewe. Katawaliwa kifkra,ndio maana bila aibu kamleta mzazi mwenzie kwake na mumewe,na hivi tunavyoongea katundikwaa mimba ingine na huyo mwenye mtoto wa kwanza,lakini mtoto mtabambikiwa nyie . Mwisho hakuna namna mfungue kakaako huyo sio mke tena aachane nae leo hii,nisiwakute hapo
 
Huyo shemeji yako ni katili kwa kiwango hakisemeki!

hakuna mahali mwanadamu anakuwa na huo ujasiri kama hana nia ya uuaji dhidi ya huyo anayemfanyia!

Swala sio m toto kwenda kwa babake!
Swala ni kakako soon atajifia au kuuwawa!
HAKUNA MTU HAPO!
 
Aaaaand!
Hiyo nyumba mlimkuta nayo shemeji?
Ni ya kupanga?
muulize bro nani analipa kodi?
MY DEAR KAMA KODI ANALIPA MWANAMKE, VERY LIKELY ANALIPA HUYO BABA WA MTOTO!
katika hali ya kawaida kabisa!
HUO UJASIRI UNA LA ZIADA!
nakataa kuwa ni swala la kawaida!
 
Ninachokiona, mwanaume hana sauti kwa mwanamke na hana anachotoa nyumbani zaidi ya kula kulala.

Mke hujazaa nae unaruhusu mwanaume mwingine alale kwako dah. Huyu jamaa ni bwege

Kwangu nilishapiga marufuku hakuna mwanamke kuingia kwangu nikiwa sipo labda kaka wa mke wangu tu. Yeyote atakaefika ninaconnec dots. Wakutane hukooo siyo kwangu . yaani utafuniwe mke na tena utafuniwe kwako??? Dah ha ha haaa
 
Hili nalo linahitaji kuomba ushauri,kila kitu kipo wazi hapo ukiona manyoya ujue kashaliwa
 
Aongee naye kitu gani?
Piga chini endelea na maisha mengine.
Nikikuchumbia maana yake uachane na ya zamani tuanze upya.
Huyo baba Kama anataka mtoto amchukue akakae naye huko.
Yaani mtu kashatolewa mahari anafanya ujinga wa hivi!!
 
Inawezekana kalogwa coz mwanamke yule ana maamuzi na ni mbabe.
Mpelekeni akaombewe ili huo ujinga umtoke, huyo shemeji yenu kamuwahi kaka yenu sasa huko aliko kwanini asitafute mke akae kimya amwambie aendelee na huyu mzazi mwenzie
 
Kaka ako nae anazingua kwa hiyo kaogopa kuenda kisa eti jamaa yupo seriously? Halafu anamruhusu vip huyo mwanamke amlaze kidume mwingine ndani kwake kwa nini asiende kulala lodge? Wanaume wengine wanaboa unaweza jikuta umemchapa bro ako vibao!.
Huyo kaka naye duu wanawake wengi hivi wanatafuta ndoa yeye anahenyeshwa hivyo duu angekuwa kaka yangu nimgemburuza mpaka kanisani namwambia Mchungaji siondoki naye mpaka akili yake iwe umerudi
 
Mwambie aendelee kulia mpaka pale atakapo kua na kutengemaa kwa afya ya akili yake.
Ila umwambie ukweli kua katka kundi la wanaume yeye hayupo kwa sasa [emoji16]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hapo bro wako bado hajamuoa kwa ndoa ndio maana huyo mwanamke anamletea huyo mwanaume ndani, akitaka aheshimiwe afunge nae ndoa rasmi na atekeleze wajibu wake kama mume, hutasikia huyo baba wa mtoto akijitokeza, ndoa inaheshima yake bwana
Hakuna kitu kama hicho kama hamjaoana ndiyo kipindi inaweza ficha ujinga wote, lakini kwa huyo wala mie simtetei amuacha tu aendelee na jamaa yake
 
Huyo ni kahaba, bado wanapendana kuachana hawawezi, yeye atafute tu mwingine, hivi unamme ka ex kweli katakusogelea jamani
 
Hapo wewe ndo unajitambua, shem kajisahau kama ni mke wa mwingine
Mwambie aachane hao hawezi achana mtoto 7yrs na majukumu ndiyo yanaongezeka hivyo visingizio havitaisha wataendelea tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…