Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mchukue huyu wa watoto 3 ili muwe watano akitokea Mwizi mnamkabili kisawasawa hapo ndani. Usisahau kutafuta bunduki yakikushinda unajimaliza fasta
Wote wazuri,halafu hawana makuu kama hawa wa kisasa! kwa kifupi Naona aibu hata kuwakosea...Yaani kwa kweli we acha tu!Fafanua kivipi wanakupa mtihani?
Chukua anayekunyegesha zaidi...[/QUOTE,Wako vizuri wote...waloshindwa wote nimepiga chini!
Kama kuna kaukweli vile,Ahsante dada.Mwenye watoto 3 anaonesha kutulia zaidi. Mengine fanya maamuzi mwrnyewe... Hatuwafahamu hao watu kama unavyowafahamu
Wakijuana nawakosa wote Bro...wivu wao sijapata ona!Chukua wote wawili Mkuu. Kila la heri katika malezi wa watoto watano.
Wakijuana nawakosa wote Bro...wivu wao sijapata ona!
Ahsante ntafikiria na hilo mkuu!Hizi bango ni balaa
..mwingine ana watoto 3 wote baba mmoja..
Nimeanza nae mahusiano,akiwa na huyu mtoto wa mwisho mdogo wengine wapo kwao! Kuhusu mzazi mwenzie ameshaoa...Sounds like the wife of somebody. Yaani huyo baba anatupia tu kids, 1,2,3.....what makes you think hatotupia tena wa nne na wewe ukiwa ndani humo?
More than serious,Are u serious?