Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Search "single mothers" .... utapata threads nyingi sana zinazowaelezea kwa mabaya na mazuri pia. Ila nakushauri ufuate moyo wako, najua utakutana na mabaya sana yanayosemwa juu yao lakini cha muhimu ni kupendana tu.

Binafsi nina mpenda sana J wangu, tuna mtoto mmoja japokuwa si wa damu yangu lakini nawapenda sana hawa watu. Wamekuwa nuru kubwa sana maishani mwangu and am always thankful for that. Sikatai kuwa kuna misukosuko ya hapa na pale lakini ninadiriki kusema kuwa huwa tunasuluhisha mapishano yetu kama binadamu.

Follow your heart ... hii ndiyo njia pekee ya kuwa na furaha maishani.
 
Dont judge the book by how others see the cover, jilipue... hawa single mothers ni kwamba wamesimama kote, kama baba na kama mama, wanahitaji someone very mature and stable, si mchezo mchezo.

single mother yuko responsible na anaelewa maisha sana, amemweka watoto mbele na anajua kusimama mwenyewe kwenye hali ngumu ama mteremko.

Kijana kama serious, stable na mature usijali ingia hata mimi huenda nikajilipua
 
Mbona mnawaandama sana hoa single mother kwani wamewakosea nini haswaa, hebu waacheni waishi wapendavyo na nyie fanyeni yenu tu.
Ndugu we kama umempenda huyo we oa tu hakuna tatizo lolote.
Kama mapungufu kila mtu anayo yake.
Mnawasema bure tu wakati wengine mnaoa hivyo vibinti na bado vinawatesa kila siku.
Acheni nongwa.
 
Fuata moyo wako tu kuna msela mmoja ametoka UDSM amepangiwa kazi Tanga, ofisini alikutana na mdada single mother mwenye watoto 4 na alimuoa kanisani, kijana alikuwa 23 mama 34. Hakuna formula kwenye mapenzi.
 
Nice consolation track for single moms..

Ila unapenda muziki wewe..
Huu wimbo una lyrics amazing asee..
Bahati nzuri nikija kupata mtoto afu nikawa single moma huu wimbo utanisaidia sanaaa

Hahahahhh
Mziki ndio starehe yangu kubwa,apa nimejikuta nausikiliza tena
 
Huu wimbo una lyrics amazing asee..
Bahati nzuri nikija kupata mtoto afu nikawa single moma huu wimbo utanisaidia sanaaa

Hahahahhh
Mziki ndio starehe yangu kubwa,apa nimejikuta nausikiliza tena
Angalia kuna uzi nimeku cc kuna hadi cover zake
 
Nimeona

Kuna cover yake kaimba Jfla,ushaisikia?
Yeah nzuri , ila angeimba yeye original hata kama ingekuwa nzuri isingekuw na mvuto maana watu wangechukulia ni shield
 
Back
Top Bottom