Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Kiini ni mkutano wao wa beging uliwapa kiburi kuwa tupo sawa na wanaume wamekiuka agizo na madhumuni ya mungu kwa Mara nyingine tena wanastahili hayo yawapatayo
Sasa wanabadii jinsia wawe waume sasa wanaoana wao kwa wao hii ni laana imeingia kwao
Kuondoa hii wakumbuke wapi walipo jikwaa na si walipoangukia wavunje azimio la bejing warejee maagano ya mungu na mwanamke haya yataisha
 
Sababu zipo nyingi na hata zile uliainisha pia ni sababu kwa asilimia 100, na pia kila single mother hapa ana historia yake, nini kimesababisha yeye kuwa single mother..

Japo kuna wengine wamechangia/wamechagua kuwa single mother (kwa kutegeshea mimba ili kumshika mwanaume) na kuna wengine hawataki kuolewa walihitaji tu mtoto so hakuna sababu moja au mbili za moja kwa moja

Every single mother has a story to tell.
 
Sababu zipo nyingi na hata zile uliainisha pia ni sababu kwa asilimia 100, na pia kila single mother hapa ana historia yake, nini kimesababisha yeye kuwa single mother..

Japo kuna wengine wamechangia/wamechagua kuwa single mother (kwa kutegeshea mimba ili kumshika mwanaume) na kuna wengine hawataki kuolewa walihitaji tu mtoto so hakuna sababu moja au mbili za moja kwa moja

Every single mother has a story to tell.
Ooohhh sawa basi still we have along way to gooo.
 
Kiini ni mkutano wao wa beging uliwapa kiburi kuwa tupo sawa na wanaume wamekiuka agizo na madhumuni ya mungu kwa Mara nyingine tena wanastahili hayo yawapatayo
Sasa wanabadii jinsia wawe waume sasa wanaoana wao kwa wao hii ni laana imeingia kwao
Kuondoa hii wakumbuke wapi walipo jikwaa na si walipoangukia wavunje azimio la bejing warejee maagano ya mungu na mwanamke haya yataisha
Hahahahahaa mkuuu ,,beijing imetiharibia wake kabisa
 
Ni mimi tu hii kitu ndo naitizama katika jicho ilo, but kwa kautafiti kangu kadogo, out of 10 women 4 ni single mother,2 hawajaolewa, 1 kaolewa anafurahia sana maisha, 3 wameolewa but wanahati hati ya kua ma single mother, sasa nijikita katika hoja yangu, ni kwanini hii hali ya u single mother inazidi kushamili sana, ( waliosoma wote nawasiosoma ) wanaenda bega kwabega.

Kwanini single mother limekua sasa ni jambo la kawaida kabisa na jamii imetokea kulikubali?

Je nisababu wazazi wetu wametuacha?

Au ni sababu tumesahau miiko ya zamani?

Nisababu ya utandawazi?

Au ni sababu wanaume wa sasa hawapo responsible kama wazee wazamani?

Ni sababu wanawake wasasa hawajui wanachokitafuta?

Au ni sababu watu hawajui wanachokitafuta ndani ya mahusiano?

Nawaza nisababu tu wamama wanakua hawajiandaa kua wazazi?

Au sababu wanaume wamechoka tabia za wanawake wao?

Nisababu tu ya mwanamke anapenda ivo( lakini mbona huyuhyu akikaa anawalaumu wanaume)?

Au ni sababu mwanamke akiwa na kazi basi anajiamria?

Ndo niamini kutofanya sex salama ndo chanzo?

Au niseme ndoa sasa imekua ndoano yakuvulia papa?

Yani ndo niamini michepuko ndani ya ndoa ndo sababu?

Au ni sababu ya ahadi za uongo wanazotoa wanaume?

Au niamini wanawake wanategeshea mimba in return waolewe?

Au niseme nimoja yakitega uchumi?

Je ni sababu mwanamke anayafuta tu mtoto( lakini mbona huyuhuyu haishi kuulalamikia upweke )?.

Yaani kwanini hili suala limekua kuba, mwanamke yupo radhi kuiacha ndoa na kwenda kua single mother ( lakini kwann huyuhuyu mwisho anaishia kua mdangaji )?

Dah am still trying to figure out, why? Now days single mothering is directly proportion with time. Najiuliza sana, ni wazazi? Ni sisi wenyewe? Au utandawazi ? Au tumemuacha Mungu sana ? Why?.

Na jamiii imeamua kukubali mwisho wasiku hata Leo hii pia HIV/AIDS we don't fear it, imekua kama Malaria! dahh Ooh Tanzania, my country nakupenda.

N.B TUWAONDOE SINGLE WALIOKUA MA SINGLE SABABU YA KUFIWA WAUME WAO NA WALE WALIOBAKWA.

N.B; IKISHINDIKANA BASI NISEME KILA MTU ANASABABU YAKE YA KUA SINGLE.
Wengi wanajikuta singo maza kwani si waelewa ktk kipind hiki cha AWAMU YA TANO
 
Vladimirovich Putin,
Awamu hii ya TANO mwanamke (mke) hatakiwi kuleta tabia ambazo zinaleta kero kwa mwanaume (Mme) hali hiyo mwanaume huchukua hatua mapema kumwacha sasa huyo mwanamke AFUNDISHWE NA AWAMU YA TANO
 
Nmeishia kuchekaaa mkuuu ,kwenye kuvaaa Tait .


Ila kweli huuu ununda huuuu wakutaka kua juuu nitatizo.
Ke anaudhiwa me anasusa na kununa, me naye badala ya kujali au kubembeleza au kuweka mambo sawa naye anasusa na kununa pia hapo visasi vinaanza, jino kwa jino masikini hali mavi yake, mtifuano kila kitu chali wanaume wasasa wanajua kununa hao wamezidi hata wanawake mbaba midevu luundo uso mzima anamnunia mkewe[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]
 
Back
Top Bottom