Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Huyo Kaka yako anatakiwa kuwa na msimamo kama huyo Mwanamke bado anaendelea na mahusiano na huyo Mwanaume aliyezaa nae ni bora Kaka yako aachane nae atafute Mwanamke mwingine.
 
Hapo Shemeji anakosea sana kumkaribisha huyu mzazi mwenzie mpaka anapoishi!

Ni hivi mwambie brother aachane naye, kama huyu dada atakaa kumrudisha mtoto kwa baba yake.

Pia inawezekana huyu dada kmloga kaka yako, sio kawaida kwa mwanaume kuvumilia ujinga kama huo!
Inawezekana kalogwa coz mwanamke yule ana maamuzi na ni mbabe.
 
Hapo Shemeji anakosea sana kumkaribisha huyu mzazi mwenzie mpaka anapoishi!

Ni hivi mwambie brother aachane naye, kama huyu dada atakaa kumrudisha mtoto kwa baba yake.

Pia inawezekana huyu dada kmloga kaka yako, sio kawaida kwa mwanaume kuvumilia ujinga kama huo!
Kama kalogwa kuna uwezekano wa kumsaidia? Nilishaliwaza sana hili
 
Kaka ako nae anazingua kwa hiyo kaogopa kuenda kisa eti jamaa yupo seriously? Halafu anamruhusu vip huyo mwanamke amlaze kidume mwingine ndani kwake kwa nini asiende kulala lodge? Wanaume wengine wanaboa unaweza jikuta umemchapa bro ako vibao!.
 
So sad, kwa mwanamke mwenye akili timamu hawezi kufanya garbage km hiyo bro wako katawaliwa na mwanamke na mwanamke anafanya hivyo kwa sababu anajua bro wako hawezi mfanya chochote.

Mshauri jamaa amuwekee msimamo Shem wako kwamba hataki mawasiliano na mzazi mwenzie Shem wako akikataa wazazi na ndugu wa pande zote mbili washirikishwe
 
Mwambie Kaka asione wivu wala roho kuuma sababu yeye pia hajaoa,afadhali aji sort mapema tena ana bahati kua ameshajua ni mwanamke wa aina gani,atafute mwanamke anae jielewa huyo amejua tabia zake na hata akioa huyo jamaa atakuja na wataonana na huyo mzazi mwenzie na ndio atamchefua zaidi, ajikaze kiume atafute mwengine maisha yaendele.
 
Wakuu hakna kitu kibaya kama kuoa mtu aliyezalishwa na jamaa mwingine..kibaya zaidi jamaa mwenyewe bado tupo hai ...hakika mwisho wake ni visasi na mauti ....Ma single mother siyo wa kuoa ni kupiga na kusepa .
 
Habarini watu wa Mungu

Utangulizi:
Kuna kaka yangu alioa (miaka kama mitano iliyopita) mwanamke aliyezaa na mwanaume tofauti na yeye. Hawajafunga ndoa na pia hawaishi pamoja kutokana na mambo ya kazi kwa pande zote mbili. Walishatambulishana kwa wazazi pande zote mbili na mahusiano yao ni ya uwazi na jamii inajua. Pia mwanamke anaishi na mtoto aliyezaa na mwanaume kabla hajaanza kuishi na kaka.... na huyo mtoto anasoma darasa la 2 sasa(7yrs). Kawaida br huenda kwa huyo mke kila ijumaa na kurudi jumapili jioni au jumatatu asubuhi sana na kupitiliza kazini kwake.

Tatizo lilipo
Ni kwamba mpaka leo mwanamke (shemeji) anawasiliana na mzazi wa mtoto wake (akiulizwa husema anawasiliana nae kwa sababu ya mtoto na kutuma matumizi na sio kimapenzi), na mara nyingine huja kumwona mwanae anapopata nafasi. Na kila anapokuja hamshirikishi kaka na akimuuliza hujibu tu alikuja bila taarifa kumwona mwanae na kwasababu anaishi mikoa ya mbali lazima alale hata siku 2 au 3. Na akimuuliza analalaje hapo na ataaminije kuwa hawafanyi mapenzi? Shemeji husema analala chumba cha housegirl na yeye analala na h/g.
Nimeandika hivi kwa sababu bro hii wiki hajaenda kwa mke kwa sababu kasikia yupo mzazi mwenzie na mke wake, na anakosaga sana amani, wikiendi yote kaishia kulewa tu. Mpaka sasa mwanaume bado yupo na br akitaka kuongea na mwanamke hana shida anaongea nae kwa uhuru lakini mi naona ni maigizo.
Kaniomba jana ushauri na anampenda kweli, nimeshindwa kutoa jibu ila nimemwambia amwambie mwanamke ampeleke mtoto kwa baba yake ili hiyo shida iishe kasema alishamwambia lakini shemeji anadai mtoto wake hawez kuishi kwa mama wa kambo. Na br mpaka sasa hajazaa nae.
Naombeni pia mawazo yenu, hali ya br sio nzuri kwa sasa

(Hanaga mpango na mitandao ya kijamii zaidi ya whatsapp so naamini hawezi kuona huu uzi).
Mwambie aendelee kulia mpaka pale atakapo kua na kutengemaa kwa afya ya akili yake.
Ila umwambie ukweli kua katka kundi la wanaume yeye hayupo kwa sasa [emoji16]
 
Kaka ako nae anazingua kwa hiyo kaogopa kuenda kisa eti jamaa yupo seriously? Halafu anamruhusu vip huyo mwanamke amlaze kidume mwingine ndani kwake kwa nini asiende kulala lodge? Wanaume wengine wanaboa unaweza jikuta umemchapa bro ako vibao!.
Huyo bro bakora zinamhusu
 
Kiuhalisia huwez mkaribisha ex wako alale kwako ukamlaza kwa hg we ulale na hg, haiwezekani hii, kama swala ni matumizi ya mtoto atume pesa tu akimhitaj mtoto asubiri afunge shule tena apelekwe kwa wazazi wa binti huyo baba ake amfate hapo

angejiwekea mipaka ameshakua na mtu sasa mambo za kumleta baba wa mtoto akalala hapo ni dharau kamdharau kaka yako

Mwisho wa siku mimba ingine ya huyohuyo baba wa mtoto
 
Nionavyo mimi,
1. Mtoto arudishwe kwa baba ake, au
2. Bro ako akubali kumlea Mtoto wake wakufikia ili jamaa azuiliwe kuja kwa kesi ya mtoto mara kwa mara, au
3. Aachane na huyo mwanamke
Kinyume na hapo, bro ataendelea kulia machozi ya samaki.
 
Mwambie Kaka asione wivu wala roho kuuma sababu yeye pia hajaoa,afadhali aji sort mapema tena ana bahati kua ameshajua ni mwanamke wa aina gani,atafute mwanamke anae jielewa huyo amejua tabia zake na hata akioa huyo jamaa atakuja na wataonana na huyo mzazi mwenzie na ndio atamchefua zaidi, ajikaze kiume atafute mwengine maisha yaendele.
majuto huja baadae
 
Nionavuo mimi,
1. Mtoto arudishwe kwa baba ake, au
2. Bro ako akubali kumlea Mtoto wake wankifikia ili jamaa azuiliwe kuja kwa kesi ya mtoto mara kwa mara, au
3. Aachane na huyo mwanamke
Kinyume na hapo, bro ataendelea kulia machozi ya samaki.
namba moja

Hata akipewa bibie atajidai anamjulia hali kammiss mtoto amuone sababu n mwanamke asiejielewa huko kuonana kwa mtoto lazima watamkaribisha shetani

Namba mbili

Ataleaje mtoto s dam yake na baba yake yu ngali hai??? Akisema hajashindwa mlea mtoto?

Namba tatu

Hiyo ndio kubwa kuliko kujutaftia majaka ya moyo

Huyo dada hata akiolewa na huyo kaka bado tu ataharibu mbele kisjngizio ni mtoto
 
Back
Top Bottom