Nyalotsi
JF-Expert Member
- Jul 20, 2011
- 6,986
- 5,058
Tunaishi maisha ya kinafiki Sana.Nimesoma uzi (comments 221)
Anavyosema mleta ni miongoni mwa Mambo mengi yanayotokea huku mitaani
Kuna kipindi nilikua morogoro kwa maeneo niliyokaa kulikua na binti m1 umri Kama 23 years
nikaja kuskia kutoka kwa wenyeji wangu kua baba ake wa kumzaa alikua anatembea.(analala) Nae baada ya mama yao na huyo binti kufariki
Matukio haya yapo kwenye jamii yetu ila ndo vile tunataka kujitia upofu as if hatuoni
Hili suala lipo Sana mitaani na jamii inajua.
Lakini hapa wamehemuka balaa
Wangekuwa karibu wangemuua muhusika.
Huu jamaa karusha jiwe tu wamama watambue mabinti zao wanayofanyiwa na wababa wa kambo.
Wasidhani kuolewa ukiwa na mtoto mkononi ndio fasheni.
Ina madhara yake kwa watoto. Hata wa kiume.
Imagine Kama huyu mwanaume anaku.fira wewe mke wake ataachaje kumfanyia hivyo huyo step son wake uliyekuja naye!?
Ndio maana mashoga wanaongezeka mtaani.
Wengi wao walianza kulawitiwa na mtu aliyeaminiwa Sana ndani ya familia.