Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Ni kasumba tu hizo, halafu hio rate ya kuachana siku hizi ni kupingana na customs za asili yetu ya Afrika. Biashara ya kutukuza wanawake ilishakatazwa hata na vitabu vya dini ila watu wamekomalia huo ujinga.

A woman has to be led
Utapingwa mkuu, ila tumeiga mengi ambayo yanakuja kutuumiza saivi.
 
Hautaki mwanamke masikini? Siyo wewe uliyesema kuwa siyo kazi ya mwanamke kutafuta pesa na wanaofanya hivyo ni kiherehere chao? Kwamba wewe ni jukumu lako kumhudumia? Siyo wewe?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]aise
Personally mi sikandii single mother yeyote na kama ni mapenzi kama anakuwa kafikia vigezo vyangu naoa tu maana kuna circumstance nyingi tu katika maisha.

Sio kila single mom alikuwa malaya ama ana tabia za kishenzi, wengine ni result ya kufanya wrong choices tu katika maisha yao ya mahusiano ama ndoa. Just imagine mtu ameolewa na mwanaume mpuuzi tu...

I have a real story about my 2 beautiful sisters waliopata wanaume wa kinyaki, wote wako well off and very understanding women.

Mwanaume wa kwanza alikuwa ni Tiss yeye kachezea mashine miaka 6 akajitambulisha halafu akatia goli moja ila akawa haeleweki na mpango wa kuoa bi dada akapiga chini. Ameolewa na jamaa mwengine akapigwa goli 2 sahivi maisha yanaenda safi mno jamaa yuko njema sana anakula bata huku dada romantic na ana mawe ya kutosha. Ndio maana nasemaga sitaki KE maskini jamani.

Jamaa wa pili ni Lecturer MWEKAU amechezea mashine 3 years akatia goli 1 na kuleta mahari. Baada ya hapo ka stack hamna analofanya zaidi ya kumstress bi dada aliekuwa na uchu wa kuvaa shela kisa kashalipa mahari. Uzuri mungu amenijalia dada vichwa, alipovuta first class yake na CPA akatupwa TRA HQ chap akiwa pale ndio akakutana na jamaa mwengine alie serious na kutaka mke ikalipwa mahari ingine na wahuni tukala pilau chap kwa ukali. Mpaka sasa ameongeza raia wawili na maisha yanasonga freshi tu na senior mwenzie pale.

Another one yupo mamtoni nae ameolewa mapema sana but after 10 years she is now 31 amedivorce na jamaa wake, mnyaki maana amelelewa na mama na mjomba wake wote wanyaki. Huyo jamaa amekuwa akifichiwa udhaifu for all those good years. Sis kamenyeka kama man of the show toka bongo mpaka mtoni akamfanyia mpango jamaa aende na watoto wakaendeleze maisha mamtoni. Jamaa kaleta upumbavu at last baada ya kuruhusu cousin sister wake aingilie uhusiano wake na mkewe kwa mambo ya kimbea. Sis akaanza kupigwa vita baridi na wifi na mama mkwe wake. Jamaa kashindwa kusimama katika nafasi yake sista kamkacha. But najua nae akikutana na mtu makini ataolewa tena chap tu.

So hizi ni relevant stories ambazo naweza kuzitumia kama grounds za kuwatetea single moms. Ni vitu vimetokea kwa uhalisia kabisa na kimsingi sio kila single mother alikuwa malaya nakiri. Na walioupata huo usingle mom bila kustahili mungu huwa anafanya nuru kwao na wanapata waume fresh maisha yanasonga.
 
Hautaki mwanamke masikini? Siyo wewe uliyesema kuwa siyo kazi ya mwanamke kutafuta pesa na wanaofanya hivyo ni kiherehere chao? Kwamba wewe ni jukumu lako kumhudumia? Siyo wewe?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]aise
Hawaelewekagi hao mara waseme mwanamke usijipe kiherehere cha kulipa bill ama kumpa mwanaume hela,but at the same time ni mabingwa wa kuomba wanawake hela na kulilia wake zao wawasaidie kuhudumia family.Nilichojifunza mwanamke tafuta hela hudumia wanao vyema usiwategemee hawa viumbe kwani wengi ni wategemezi kwa wake ama wapenzi wao kiuchumi kwa sehemu kubwa ila wakija mitandaoni watajitapa kutafuta kik ilhali ukienda kwake waweza kuta mama ndio anacover almost gharama za huduma zote za kuendesha family ikiwemo kusomesha watoto,kulipa matibabu,chakula,kulipa maids ,kulipa kodi ya nyumba kama bado wamepanga nk.
 
Personally mi sikandii single mother yeyote na kama ni mapenzi kama anakuwa kafikia vigezo vyangu naoa tu maana kuna circumstance nyingi tu katika maisha.

Sio kila single mom alikuwa malaya ama ana tabia za kishenzi, wengine ni result ya kufanya wrong choices tu katika maisha yao ya mahusiano ama ndoa. Just imagine mtu ameolewa na mwanaume mpuuzi tu...

I have a real story about my 2 beautiful sisters waliopata wanaume wa kinyaki, wote wako well off and very understanding women.

Mwanaume wa kwanza alikuwa ni Tiss yeye kachezea mashine miaka 6 akajitambulisha halafu akatia goli moja ila akawa haeleweki na mpango wa kuoa bi dada akapiga chini. Ameolewa na jamaa mwengine akapigwa goli 2 sahivi maisha yanaenda safi mno jamaa yuko njema sana anakula bata huku dada romantic na ana mawe ya kutosha. Ndio maana nasemaga sitaki KE maskini jamani.

Jamaa wa pili ni Lecturer MWEKAU amechezea mashine 3 years akatia goli 1 na kuleta mahari. Baada ya hapo ka stack hamna analofanya zaidi ya kumstress bi dada aliekuwa na uchu wa kuvaa shela kisa kashalipa mahari. Uzuri mungu amenijalia dada vichwa, alipovuta first class yake na CPA akatupwa TRA HQ chap akiwa pale ndio akakutana na jamaa mwengine alie serious na kutaka mke ikalipwa mahari ingine na wahuni tukala pilau chap kwa ukali. Mpaka sasa ameongeza raia wawili na maisha yanasonga freshi tu na senior mwenzie pale.

Another one yupo mamtoni nae ameolewa mapema sana but after 10 years she is now 31 amedivorce na jamaa wake, mnyaki maana amelelewa na mama na mjomba wake wote wanyaki. Huyo jamaa amekuwa akifichiwa udhaifu for all those good years. Sis kamenyeka kama man of the show toka bongo mpaka mtoni akamfanyia mpango jamaa aende na watoto wakaendeleze maisha mamtoni. Jamaa kaleta upumbavu at last baada ya kuruhusu cousin sister wake aingilie uhusiano wake na mkewe kwa mambo ya kimbea. Sis akaanza kupigwa vita baridi na wifi na mama mkwe wake. Jamaa kashindwa kusimama katika nafasi yake sista kamkacha. But najua nae akikutana na mtu makini ataolewa tena chap tu.

So hizi ni relevant stories ambazo naweza kuzitumia kama grounds za kuwatetea single moms. Ni vitu vimetokea kwa uhalisia kabisa na kimsingi sio kila single mother alikuwa malaya nakiri. Na walioupata huo usingle mom bila kustahili mungu huwa anafanya nuru kwao na wanapata waume fresh maisha yanasonga.
Hivi hujatusamehe tu wanyaki?
 
Hao jamaa ni stupid tu from the core!

Tumejaribu kusuluhisha hio migogoro na katika pande zote wanaume ndio wameonekana wapuuzi! Wanyakyusa wanajionaga smart katika kila kitu ila wame prove weakness in every angle of raising arguments and facts. Wako kama kondoo alilosema na kutaka mama au dada ndio hilo hilo ukoo mzima utafata hata kama ni upuuzi!

Hivi unaweza oa mke ukakaa nae kwa mamaako for 9 years huku yeye akikulisha wewe na mamaako?

Unaweza lipia mahari mchumba ukakaa nae kwako zaidi ya mwaka huku ukikwepa kumuoa kwa kiburi kwamba umemzalisha hatakuwa na pakwenda na unaspend mda mwingi kazini mkoa tofauti na ulipomuacha? Mbaya zaidi ukirudi huna time nae. Huyu jamaa alichanganyikiwa baada ya mke kusepa.

Hebu tetea bila kuwa biased!
Hatujionagi smart; ila with all honesty nyie ndo mnatuona smart and yes we are very smart. Tunamshukuru Mungu kwa hilo.

Tabia ya ndugu wa kike wa mume kuingilia ndoa ya kijana ipo kwa watu wengi tu. Speaking from experience hakuna ndugu ambaye alifanikiwa kuingilia ndoa za baba zangu; ni wana misimamo hadi basi; ukileta ngebe undugu unaenda likizo kwanza.
 
Unyakyusani kuna
Atuombe radhi wanyaki hatupo hivyo, wala hakuna maisha ya namna hiyo
mwambie sisi tumeanzia kitu tunaita iklumyana unaanza kuishi peke yako nje ya nyumba ya mzazi wako ukishakuwa na miaka 12 tu na kuendela

labda walaikuwa na madhaifu yao wao binafsi na kachukulia kama ndio msingi na uhalisia wa wanyakyusa but all in all hawapo hivyo

mchaga mmoja aliyekosa shepe hafanyi wachaga wote kutokuwa na shepu na mnyakyusa mmoja mwenye msambwanda kama ant ezekieli hafanyi wanawake wote wakinyakuwa kuwa na misambwanda
Hivi hujatusamehe tu wanyaki?
Nimewasamehe ila story kichwani haijafutika
 
Hatujionagi smart; ila with all honesty nyie ndo mnatuona smart and yes we are very smart. Tunamshukuru Mungu kwa hilo.

Tabia ya ndugu wa kike wa mume kuingilia ndoa ya kijana ipo kwa watu wengi tu. Speaking from experience hakuna ndugu ambaye alifanikiwa kuingilia ndoa za baba zangu; ni wana misimamo hadi basi; ukileta ngebe undugu unaenda likizo kwanza.
Ila kwa Mbeya imezidi...Kuna style za watu flani kwenye ukoo kujifanya miungu watu. Kila kitu wana control.

Mrs Right ni mbegu ya Chunya/Songwe, alikuwa na hio character ya dada kasema na mzee wake kila kitu lazma kipitishwe na dada kwanza hata visivyo lazima,...inshort alikuwa anapelekwa kama mtoto ila nikamtwist sahivi tunaenda mstari sasa.

Hio tabia ya flani kuamulia jambo la mwingine siipendi kinoma.
 
Duh aisee
My fello sisters hata mkiona hili bandiko msijione mna mapungufu,no you’re complete na Mungu anawapenda
Daily I see attacks za single mama I hope they don’t mind
 
Kuna kitu watu hawajui kuhusu wanawake...

Wanawake wanaheshimu sana Mwanaume mwenye options nyingi kwenye kila nyanja ya maisha..

Kama mwanaume anayependa kizezeta,hana kosa ila anatuma taarifa kwa mwanamke kwamba hana options which is bad sababu mwanamke ataanza kutafuta kasoro zako tena nyingine za kijinga tu.

Utashangaa anahudumia huyo sijui sababu mfupi,sijui sababu Ana pua kubwa sijui sababu hajui kutongoza,sijui sababu hajui mapenzi yaani yeye Anaamini mwanaume hawezi kukupa kila kitu labda kama Ana kasoro hivo anatafuta kasoro.. Wanawake Ni kama wameumbwa hawajiamini. Yes,ukipata mwanamke anayejiamini utapata raha sana coz unavyomuhudumia anajua huyu mtu ananithamini hivo anazidi kukuheshimu pata Hawa majority waliozoea drama zA kijinga halafu jaribu kumpa kila kitu uone atakavyo kuona bwege.

Single mothers wanaamini hawawezi kupendwa tena hivo wanaingia kwenye relationship kwa strategy na hapo ndo self fulfil prophesy inatokea..Imani inawaponza.Ila mwanaume timamu huwez oa single mother unless alikuwa na mume na mume kafa.Inauma sana ndo ukweli huu .mkiona mwanaume timamu anataka single mother anA psychological problem achunguzwe tu kwakweli,inaumaaaaaaa lakini kwel.

Tunapenda vitu fresh bikra,kigoli,hajatumika sana.Mi binafsi hata nikupendeje nikisikia una mtoto biashara inaishia hapo,sina mda kabisa nitakutania Tania tu na kubeba mwanao sababu napenda watoto [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

[emoji28][emoji28][emoji28]sababu unapenda watoto loh
 
Personally mi sikandii single mother yeyote na kama ni mapenzi kama anakuwa kafikia vigezo vyangu naoa tu maana kuna circumstance nyingi tu katika maisha.

Sio kila single mom alikuwa malaya ama ana tabia za kishenzi, wengine ni result ya kufanya wrong choices tu katika maisha yao ya mahusiano ama ndoa. Just imagine mtu ameolewa na mwanaume mpuuzi tu...

I have a real story about my 2 beautiful sisters waliopata wanaume wa kinyaki, wote wako well off and very understanding women.

Mwanaume wa kwanza alikuwa ni Tiss yeye kachezea mashine miaka 6 akajitambulisha halafu akatia goli moja ila akawa haeleweki na mpango wa kuoa bi dada akapiga chini. Ameolewa na jamaa mwengine akapigwa goli 2 sahivi maisha yanaenda safi mno jamaa yuko njema sana anakula bata huku dada romantic na ana mawe ya kutosha. Ndio maana nasemaga sitaki KE maskini jamani.

Jamaa wa pili ni Lecturer MWEKAU amechezea mashine 3 years akatia goli 1 na kuleta mahari. Baada ya hapo ka stack hamna analofanya zaidi ya kumstress bi dada aliekuwa na uchu wa kuvaa shela kisa kashalipa mahari. Uzuri mungu amenijalia dada vichwa, alipovuta first class yake na CPA akatupwa TRA HQ chap akiwa pale ndio akakutana na jamaa mwengine alie serious na kutaka mke ikalipwa mahari ingine na wahuni tukala pilau chap kwa ukali. Mpaka sasa ameongeza raia wawili na maisha yanasonga freshi tu na senior mwenzie pale.

Another one yupo mamtoni nae ameolewa mapema sana but after 10 years she is now 31 amedivorce na jamaa wake, mnyaki maana amelelewa na mama na mjomba wake wote wanyaki. Huyo jamaa amekuwa akifichiwa udhaifu for all those good years. Sis kamenyeka kama man of the show toka bongo mpaka mtoni akamfanyia mpango jamaa aende na watoto wakaendeleze maisha mamtoni. Jamaa kaleta upumbavu at last baada ya kuruhusu cousin sister wake aingilie uhusiano wake na mkewe kwa mambo ya kimbea. Sis akaanza kupigwa vita baridi na wifi na mama mkwe wake. Jamaa kashindwa kusimama katika nafasi yake sista kamkacha. But najua nae akikutana na mtu makini ataolewa tena chap tu.

So hizi ni relevant stories ambazo naweza kuzitumia kama grounds za kuwatetea single moms. Ni vitu vimetokea kwa uhalisia kabisa na kimsingi sio kila single mother alikuwa malaya nakiri. Na walioupata huo usingle mom bila kustahili mungu huwa anafanya nuru kwao na wanapata waume fresh maisha yanasonga.

Nice content
But was it necessary kutaja kabila la mashemeji zako
Literally enhe sisi wanyaki tunashida gani hebu malizia hapo
 
Hautaki mwanamke masikini? Siyo wewe uliyesema kuwa siyo kazi ya mwanamke kutafuta pesa na wanaofanya hivyo ni kiherehere chao? Kwamba wewe ni jukumu lako kumhudumia? Siyo wewe?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]aise
Mama uko nyuma yangu sana...😂😂😂 usimuamini mwanasiasa!
 
Hao jamaa ni stupid tu from the core!

Tumejaribu kusuluhisha hio migogoro na katika pande zote wanaume ndio wameonekana wapuuzi! Wanyakyusa wanajionaga smart katika kila kitu ila wame prove weakness in every angle of raising arguments and facts. Wako kama kondoo alilosema na kutaka mama au dada ndio hilo hilo ukoo mzima utafata hata kama ni upuuzi!

Hivi unaweza oa mke ukakaa nae kwa mamaako for 9 years huku yeye akikulisha wewe na mamaako?

Unaweza lipia mahari mchumba ukakaa nae kwako zaidi ya mwaka huku ukikwepa kumuoa kwa kiburi kwamba umemzalisha hatakuwa na pakwenda na unaspend mda mwingi kazini mkoa tofauti na ulipomuacha? Mbaya zaidi ukirudi huna time nae. Huyu jamaa alichanganyikiwa baada ya mke kusepa.

Hebu tetea bila kuwa biased!

Hizi ni tabia mwanaume yoyote anaweza kufanya kwani hakuna makabila mengine mtu anatoa mahali ila process za ndoa haziendelei!?
 
Ila kwa Mbeya imezidi...Kuna style za watu flani kwenye ukoo kujifanya miungu watu. Kila kitu wana control.

Mrs Right ni mbegu ya Chunya/Songwe, alikuwa na hio character ya dada kasema na mzee wake kila kitu lazma kipitishwe na dada kwanza hata visivyo lazima,...inshort alikuwa anapelekwa kama mtoto ila nikamtwist sahivi tunaenda mstari sasa.

Hio tabia ya flani kuamulia jambo la mwingine siipendi kinoma.
Aiseeeeh hao ni watu ambao bongo zao zipo likizo.kila kitu anachotaka kufanya mpaka apate go ahead kutoka kwa ndugu zake huwa wanakera kuwa nao kwenye mahusiano.
 
Hautaki mwanamke masikini? Siyo wewe uliyesema kuwa siyo kazi ya mwanamke kutafuta pesa na wanaofanya hivyo ni kiherehere chao? Kwamba wewe ni jukumu lako kumhudumia? Siyo wewe?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]aise

[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Hatujionagi smart; ila with all honesty nyie ndo mnatuona smart and yes we are very smart. Tunamshukuru Mungu kwa hilo.

Tabia ya ndugu wa kike wa mume kuingilia ndoa ya kijana ipo kwa watu wengi tu. Speaking from experience hakuna ndugu ambaye alifanikiwa kuingilia ndoa za baba zangu; ni wana misimamo hadi basi; ukileta ngebe undugu unaenda likizo kwanza.

[emoji28][emoji28]dada huwa unaweka notification mtu akitaja mnyaki umo nae

Sisi ni smart and very confident hiki kitu wanatupa wenyewe
 
Hahaha yani ukitaja tu mnyaki mimi nimeshafika on the spot

Kweli bana usmart tumejaaliwa na tuna misimamo iliyotukuka hadi tunaitwa wababe teh
[emoji28][emoji28]dada huwa unaweka notification mtu akitaja mnyaki umo nae

Sisi ni smart and very confident hiki kitu wanatupa wenyewe
 
First of all asilimia kubwa ya single mothers ni mademu waliokuwaga hot sana kabla hawajawa single mothers.

Whe she was hot usingeweza kuwa nae kwa sababu wewe hukuwa class yake. Still ur not her class.

Anapo kuwa single mother wale wanaume ambao walikuwa class yake wana mkacha.

Hawawezi tena kuwa nae kwa sababu they think she is no longer their class.


Mentality ya mwanaume anae muoa single mother:

Hawa ni wanaume ambao wanapenda kuoa wanawake wenye kasoro au mapungufu ili waweze kuzitumia kasoro hizo au mapungufu hayo kuwatawala vizuri.

Atataka aoe mwanamke ambae amesoma mpaka darasa la saba kwa sababu ana amini atampelekesha na kumburuza and she will remain loyal to him.


Atataka kuoa mwanamke anae toka kwenye familia ya kimasikini ilu aweze kumnyanyasa vizuri.

Atataka aoe mwanamke aliye zalishwa na mwanaume au wanaume wengine kwa sababu ana amini mwanamke huyo anakuwa hana chaguo lingine so atamtawala vizuri.


What happen when mwanaume mwenye mentality hii anapo amua kumuoa single mother?

Mwanaume mwenye mentality hii anapo muoa single mother huwa anaamini kuwa single mother huyo atakuwa loyal sana kwake but matokeo huwa kinyume chake kwa sababu ifuatayo.


A woman will be loyal to u because of two reasons:

1. Whe she thinks u have other better options than her.

2. When she doesn't have any other better options than you.( Wanaume wengi wanao wachukua single mother huwa wana calitalize kwenye fact hii)


All these two facts co exist.


If u marry a single mother she thinks u dont have any other better option than her kwa sababu kama ungekuwa na other better option usinge weza kumuoa yeye ambae amezaa mtoto na mwanaume mwingine. She thinks una mapungufu fulani ndio maana umeshindwa kuoa mwanamke ambae hana mtoto.

Hapo ndo mwanamke huyo anaposhindwa kuwa loyal kwako kwa kiwango ambacho ulikitarajia.

Kumbuka when ur going to marry a single mother ur not going to " start " a family with her . Actually ur going to " join" her family which constitute of her and her kid
(s).

A really man will need to start his own family and not to join another family and when ur blind enough to think that it is ur family u will end up on being a stranger in ur own family.

Tuchukulie mfano wa Zari na Diamond kama wangeoana, would u say that Diamond has started a family with Zari or he has just join Zari's family?

Hakunaga mwanaume mwenye dream za kumuoa single mother. Ulipokuwa kidato cha nne wakati akili yako bado haijawa corrupted hukuwa una dream za kuoa single mother.

Wazo la kumuoa single mother huwa linaletwa na the bad part of ur brain ambayo huwa inakuwa activated when ur brain is corrupted.

Single mother wanalijua hilo ndio maana wakiona mwanaume anataka kuwaoa wanamuona muona na yeye ana mapungufu au kasoro fulani sasa unapoenda kumuoa single mother huku ukiwa na wazo mfu kwamba utaenda kumnyanyasa kwa sababu yeye ni single mother unakuwa ni sawa na mwanafunzi ambae ame learn it the opposite way , u will be bound to fail.

Unaweza kumnyanyasa mwanamke ambae sio single mother na akaendelea kukuvumilia kwa sababu ya kuogopa kuwa single mother lakini huwezi kumnyanyasa single mother kwa sababu most of them.are so good in being single mothers and they don't give a damn about being single mothers ndio maana wengi wao hawadumu kwenye ndoa au mahusiano.

Do ur own research..mifano mingine ipo wazi: Zari, Anti Ezekiel, Hamisa Mobetto, Shamsa Ford, Kajala na wengine wa mtaani kwenu na ofisini kwenu ambao najua unawajua wengi tu.

SULUHISHO: UKIMUOA SINGLE MOTHER USIMNYANYASE KWA KUTUMIA KIGEZO CHA USINGO MAZA WAKE NA USITEGEMEE ATAKUONYESHA UTIIFU USIO WA KAWAIDA KWA SABABU YEYE NI SINGLE MOTHER. USIWE NA MENTALITY LIKE " DAH YANI HUYU MWANAMKE ANAWEZA KUNIJIBU HIVYO!!! MWANAMKE MWENYEWE NIMEMKUTA TAYARI AMEZALISHWA MTOTO!!! AMD BLAH BLAH BLAH"

ISHI NAE VIZURI KWA SABABU HATA YEYE KIMOYO MOYO ANAKUONA UNA MAPUNGUFU NA KASORO KWA SABABU KAMA UNGEKUWA HUNA MAPUNGUFU NA KASORO UNGEENDA KUOA MWANAMKE AMBAE SIO SINGO MOTHER.

°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°
Aisifiaye mvua imemnyea! Very true u said here congrats For ur research. Yaani umechambua kama karanga
 
First of all asilimia kubwa ya single mothers ni mademu waliokuwaga hot sana kabla hawajawa single mothers.

Whe she was hot usingeweza kuwa nae kwa sababu wewe hukuwa class yake. Still ur not her class.

Anapo kuwa single mother wale wanaume ambao walikuwa class yake wana mkacha.

Hawawezi tena kuwa nae kwa sababu they think she is no longer their class.


Mentality ya mwanaume anae muoa single mother:

Hawa ni wanaume ambao wanapenda kuoa wanawake wenye kasoro au mapungufu ili waweze kuzitumia kasoro hizo au mapungufu hayo kuwatawala vizuri.

Atataka aoe mwanamke ambae amesoma mpaka darasa la saba kwa sababu ana amini atampelekesha na kumburuza and she will remain loyal to him.


Atataka kuoa mwanamke anae toka kwenye familia ya kimasikini ilu aweze kumnyanyasa vizuri.

Atataka aoe mwanamke aliye zalishwa na mwanaume au wanaume wengine kwa sababu ana amini mwanamke huyo anakuwa hana chaguo lingine so atamtawala vizuri.


What happen when mwanaume mwenye mentality hii anapo amua kumuoa single mother?

Mwanaume mwenye mentality hii anapo muoa single mother huwa anaamini kuwa single mother huyo atakuwa loyal sana kwake but matokeo huwa kinyume chake kwa sababu ifuatayo.


A woman will be loyal to u because of two reasons:

1. Whe she thinks u have other better options than her.

2. When she doesn't have any other better options than you.( Wanaume wengi wanao wachukua single mother huwa wana calitalize kwenye fact hii)


All these two facts co exist.


If u marry a single mother she thinks u dont have any other better option than her kwa sababu kama ungekuwa na other better option usinge weza kumuoa yeye ambae amezaa mtoto na mwanaume mwingine. She thinks una mapungufu fulani ndio maana umeshindwa kuoa mwanamke ambae hana mtoto.

Hapo ndo mwanamke huyo anaposhindwa kuwa loyal kwako kwa kiwango ambacho ulikitarajia.

Kumbuka when ur going to marry a single mother ur not going to " start " a family with her . Actually ur going to " join" her family which constitute of her and her kid
(s).

A really man will need to start his own family and not to join another family and when ur blind enough to think that it is ur family u will end up on being a stranger in ur own family.

Tuchukulie mfano wa Zari na Diamond kama wangeoana, would u say that Diamond has started a family with Zari or he has just join Zari's family?

Hakunaga mwanaume mwenye dream za kumuoa single mother. Ulipokuwa kidato cha nne wakati akili yako bado haijawa corrupted hukuwa una dream za kuoa single mother.

Wazo la kumuoa single mother huwa linaletwa na the bad part of ur brain ambayo huwa inakuwa activated when ur brain is corrupted.

Single mother wanalijua hilo ndio maana wakiona mwanaume anataka kuwaoa wanamuona muona na yeye ana mapungufu au kasoro fulani sasa unapoenda kumuoa single mother huku ukiwa na wazo mfu kwamba utaenda kumnyanyasa kwa sababu yeye ni single mother unakuwa ni sawa na mwanafunzi ambae ame learn it the opposite way , u will be bound to fail.

Unaweza kumnyanyasa mwanamke ambae sio single mother na akaendelea kukuvumilia kwa sababu ya kuogopa kuwa single mother lakini huwezi kumnyanyasa single mother kwa sababu most of them.are so good in being single mothers and they don't give a damn about being single mothers ndio maana wengi wao hawadumu kwenye ndoa au mahusiano.

Do ur own research..mifano mingine ipo wazi: Zari, Anti Ezekiel, Hamisa Mobetto, Shamsa Ford, Kajala na wengine wa mtaani kwenu na ofisini kwenu ambao najua unawajua wengi tu.

SULUHISHO: UKIMUOA SINGLE MOTHER USIMNYANYASE KWA KUTUMIA KIGEZO CHA USINGO MAZA WAKE NA USITEGEMEE ATAKUONYESHA UTIIFU USIO WA KAWAIDA KWA SABABU YEYE NI SINGLE MOTHER. USIWE NA MENTALITY LIKE " DAH YANI HUYU MWANAMKE ANAWEZA KUNIJIBU HIVYO!!! MWANAMKE MWENYEWE NIMEMKUTA TAYARI AMEZALISHWA MTOTO!!! AMD BLAH BLAH BLAH"

ISHI NAE VIZURI KWA SABABU HATA YEYE KIMOYO MOYO ANAKUONA UNA MAPUNGUFU NA KASORO KWA SABABU KAMA UNGEKUWA HUNA MAPUNGUFU NA KASORO UNGEENDA KUOA MWANAMKE AMBAE SIO SINGO MOTHER.

°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°°
But source of single mother is?? And solutions? Than always accusing them.
 
Back
Top Bottom