Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Jamani watu mnadhambi dah kwahiyo kama nimeolewa na mtu ananinyanyasa na hana mapenzi na Mimi nikae tu kisa nitaitwa single mother..sitakua na thamani wala kuthaminiwa ..majina mabaya yote yangu Jamani mweee

Single mother's mtakuja kubisha hapa ila ukweli ndio huo Kuoa Single Mother ni kama kurisk kwa kwenda kununua Kiwanja unachojua wazi kabisa kina mgogoro,

Uhalisia ni kama unacheza betting tu, sasa kwa nini uwende ukanunue kiwanja chenye mgogoro na wakati viwanja vya wazi vipo vingi,

Single mother's wamesharisk maisha Yao kwa kuwa tayari wana watu wao Walio wapa viwanja vyao wavitumie, kijana/mwanaume mwenzangu usipoteze Muda wako kwenda kutaka kujenga kwenye kiwanja hicho kwa sababu ipo siku yule aliyepewa kiwanja mwanzo atarudi na kukaa kwenye apartment yake,

Mademu mbona wapo wengi tu wanaohitaji kuolewa na sio Masingle bi mkubwa, na siku hizi Posa sio inshu tena unamwita tu Sogea tukae baada ya wiki kashakuwa mke,


Siku hizi wasichana wanazaa zaa tu bila kuwa na future, hawaogopi tena kuwa masingle Bi mkubwa kwa kuwa wanajua kuna wanaume watatokea na kuwaoa.

Hawa ni wa kuweka kambi ya muda tu ila ukitaka kuoa nenda kaoe demu ambae utaanza nae Race.



Cc Zero IQ
 
Ndo mnavyojidanganya hivyo? Kwa taarifa yako kutokana na tafiti uchwara za kisayansi uhai wa binadamu unaanza kutambulika mara tu baada ya mbegu ya baba kuingia kwenye yai la mama hivyo hata mwanamke atoe mimba ya siku moja atakuwa hana tofauti na yule aliyetoa mimba hata ya miezi tisa
Kuna nyuzi huwa nikikuta maandishi yako nakosa cha kuandika, maana nitaonekana nimecopy kwako[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Huyu utakuta anao hata kwenye ukoo wao..au ukoo mzima wanawake wote wapo ndoani?
Hivi akusanye wanawake wote kwenye familia zao awachambe hivi kama anaweza
Mpuuzi kweli
Big point .. Halafu mtu km huyo unakuta amelelewa na mama peke yake au ana ndugu zake wengi tu mi ma single mothers tena ma baba tofauti tofauti leo anakuja kuwapondea watoto wa wenzie....
 
Huyu utakuta anao hata kwenye ukoo wao..au ukoo mzima wanawake wote wapo ndoani?
Hivi akusanye wanawake wote kwenye familia zao awachambe hivi kama anaweza
Mpuuzi kweli
Vipi single mother uko poa,

Kwenye familia yetu tuko 4,ke 3 na Me niko mimi ,

Dada zangu 2 wameshaolewa na wako na familia zao,

Mmoja wa kike na wa mwisho bado yupo skull anasoma.


Note.
Ata kama mmoja wa ndugu zangu angekuwa single mother hii isingeondoa ukweli kwamba mimi siwezi kuoa single mother ever inyeshe mvua litoke jua Never.
 
Kwani wewe ni nani mkuu?
Vipi single mother uko poa,

Kwenye familia yetu tuko 4,ke 3 na Me niko mimi ,

Dada zangu 2 wameshaolewa na wako na familia zao,

Mmoja wa kike na wa mwisho bado yupo skull anasoma.


Note.
Ata kama mmoja wa ndugu zangu angekuwa single mother hii isingeondoa ukweli kwamba mimi siwezi kuoa single mother ever inyeshe mvua litoke jua Never.
 
Mimi Zero IQ
Sawa Zero IQ wewe unawaponda single mothers kama nani? Je ukiwasifia kuna kitu chochote unawaongezea na ukiwaponda kuna kitu chochote unawapunguzia? Au wewe ukisema hauwaoi unadhani unakuwa umewakomoa? Kwani wao wamesema wanataka kuolewa na wewe?

Una mchango gani kwenye maisha ya single mothers hapa duniani? Una mamlaka gani hapa duniani kiasi kwamba lolote unalosema wewe linaweza likaitetemesha dunia na likawa ndo uhalisia? Hayo maswali usinijibu mimi jiulize na ujijibu mwenyewe halafu ukishajijibu endelea kuwaponda single mothers! Nimemaliza!
 
Aliefiwa na mumewe, aliebakwa, automatically hawahusiki hapa. Lakini wale waliozaa nje ya ndoa kwa kiherehere chao tu, hii inawahusu. Na religiously mwanaume halazimishwi kumtunza mtoto wa aina hio bali anatakiwa atunzwe na mamaake.
Dini ya kipumbavu kabisa hiyo, pia hata aliye acha mtoto kwa kisingizio cha Dini naye ni mpumbavu pia.
 
Sawa Zero IQ wewe unawaponda single mothers kama nani? Je ukiwasifia kuna kitu chochote unawaongezea na ukiwaponda kuna kitu chochote unawapunguzia? Au wewe ukisema hauwaoi unadhani unakuwa umewakomoa? Kwani wao wamesema wanataka kuolewa na wewe?

Una mchango gani kwenye maisha ya single mothers hapa duniani? Una mamlaka gani hapa duniani kiasi kwamba lolote unalosema wewe linaweza likaitetemesha dunia na likawa ndo uhalisia? Hayo maswali usinijibu mimi jiulize na ujijibu mwenyewe halafu ukishajijibu endelea kuwaponda single mothers! Nimemaliza!
Niwasifie kwa kuwa single mother mkuu, yaani kwa kutoa papuchi zao bila taadhari ata Mungu mwenyewe atanishangaa.

[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji125][emoji125]
 
Back
Top Bottom