Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

We mwenyewe kuna mtoto ulizaa ukamtelekeza na Mama yake,na that thing itakutafuna consious yako hadi kiama, that's y una hasira sana na singo moms,inshort unahasira na uliyoyatenda enzi hizo na the memories are haunting daily pole
Mtafute huyo mwanamke na mtoto upate amani ya moyo otherwise utachizika siku si nyingi
😂😂😂😂😂😂 yani niwe na hasira kwa kipi sasa, FYI wazee wangu walikuwa wana take care hilo swala undercover. I still have access na ninamsupport mwanamama na chalii yangu sasa nini mbaya?
 
Bora hata wewe unayejua kuwa wote wanaume na wanawake wanatakiwa kujitunza kuliko wengine wanaolazimisha eti wanawake tu ndo wanatakiwa wajitunze ila wanaume waendelee na uhuni wao sasa waendelee na kina nani?
Suala la kujitunza ni la kila mtu si la mwanamke wala mwanaume. Kwahiyo kila mmoja anatakiwa awe makini na mwenzake hata kama yeye hajali. Mimi nikitembea na mwanamke nikapata UKIMWI, kosa ni langu na siyo la mwanamke kwasababu nilipasa kujitunza hivyo hivyo kwa mwanamke. Mahusiano yapo na kila mtu anaanzisha mahusiano kwa nia njema ila kuna wengine wanaanzisha kwa nia mbaya kwahiyo unatakiwa ujijali kwanza wewe.
Mwanamke kapata mimba lakini lawama zote anazipeleka kwa mwanaume kitu ambacho siyo sahihi. Unatakiwa ujilinde, na umchunguze mwenza wako kama ana nia ya dhati na wewe. Nazungumzia waliopata mimba kwa uzembe wao.
Unatembea na mume wa mtu au mwanaume asiyekuwa na nia na wewe lakini unaona ukibeba mimba atakupenda na matokeo yake anakuacha halafu unaanza kuwalaumu wanaume.
 
Mwanaume yeyote anaemsimanga mwanmke aliezaa na kulea mtoto peke yake ni wa kupimwa akili

Kama una akili zako timamu kweli anza kuwaongelea na waliowapachika mimba na kuzikataa,ongelea waliowabaka,na sio kila mwanamke anaelea mwanae mwenyewe ana tabia mbovu.kuna single mothers wengine wajane baba wa watoto wamefariki,wengine wamefungwa jela nk.

Ukumbuke bila ushiriki wa mwanaume mimba isingetunga.
Ila kuna situation nina naiona kwasasa nadhani inawezekana tuna tatizo kubwa zaidi ya wanaume wanaokimbia watoto wao.

Kuna katabia especially mabinti wanaokuwa wanamaliza chuo kujishikisha ujauzito kwa matarajio ya kwamba wapate watoto mapema katika umri wao mkubwa na watumie muda uliosalia kutafuta maisha kwa maana ya kazi.

Sasa shida inakuja ni kwamba hawa mabinti mentality wanayokuwa nayo kwa wakati huo ni kwamba wao hawana shida ya mwanaume (usichana), wanajiita boss lady character. Kwakua wamesoma wanaamini watapata ajira na maisha watasimamia bila ya uwepo wa mwanaume, hii mentality na akili chafu ndio inawaponza wengi wa hawa mabinti wanaishia kupata watoto na wanaume ambao ni irresponsible na muda mwingine ni wanaume ambao wapo kwenye ndoa na wake zao.

Sasa kwa akili hizo unategemea hawa viumbe hili janga limewakuta kwa bahati mbaya?!

Nadhani elimu mpya inahitajika kutoka kwa wazazi na walezi kuwaelimisha watoto wa kike umuhimu wa mwanaume katika maisha yake lakini pia watoto wa kiume wajengwe kuwa wawajibikaji na sio wahuni.......
 
Big point .. Halafu mtu km huyo unakuta amelelewa na mama peke yake au ana ndugu zake wengi tu mi ma single mothers tena ma baba tofauti tofauti leo anakuja kuwapondea watoto wa wenzie....
ndo vizuri maana anakuwa anaijua hali halisi ya masingle mother kwa undani zaidi
 
Ndiyo kuna wanawake wanataka kuzaa na kulea wenyewe bila wanaume ila unapofeli wewe ni kudhani kuwa na mimi ni single mother eti kwa vile nimewatetea[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kazi ipo wewe hapa unabishana na mimi na siyo hao wanawake

Usijichanganye utapata taabu sana inawezekana mimi naumia kuona wanawake wenzangu wanazalishwa hovyo kumbe wao wenyewe wanapenda sasa ukisema usikilize maneno yangu mimi ukadhani eti ndo mawazo yao wote utaingia choo cha kike bro[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahah we hata ukisema ni single mother haina udasi.
 
Hivi wanaume kwanini wanawake tukiongea ukweli wa kuwagusa huwa mnahamia kwenye maisha yetu?

Seriously hii tabia nimeiona kwa wanaume na siyo wanawake humu JF yaani mkishaona mmeambiwa ukweli mkakosa cha kujitetea mnaanza kuhusisha tunayoandika humu na maisha yetu hata kama hayahusiani sasa sijui ndo huwa mnataka kujifariji tu?
Hahahah jiwe gizani, ukiskia uwiii ujue limempata mlengwa.
 
Back
Top Bottom