Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Doesnt make it a work. Hata wez pia wana kazi.. but does it make it legal?
Hata huo ulaghai si rahisi ujue
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata huo ulaghai si rahisi ujue
Lakini wanapambanaDoesnt make it a work. Hata wez pia wana kazi.. but does it make it legal?
😂😂😂😂😂😂 yani niwe na hasira kwa kipi sasa, FYI wazee wangu walikuwa wana take care hilo swala undercover. I still have access na ninamsupport mwanamama na chalii yangu sasa nini mbaya?We mwenyewe kuna mtoto ulizaa ukamtelekeza na Mama yake,na that thing itakutafuna consious yako hadi kiama, that's y una hasira sana na singo moms,inshort unahasira na uliyoyatenda enzi hizo na the memories are haunting daily pole
Mtafute huyo mwanamke na mtoto upate amani ya moyo otherwise utachizika siku si nyingi
Suala la kujitunza ni la kila mtu si la mwanamke wala mwanaume. Kwahiyo kila mmoja anatakiwa awe makini na mwenzake hata kama yeye hajali. Mimi nikitembea na mwanamke nikapata UKIMWI, kosa ni langu na siyo la mwanamke kwasababu nilipasa kujitunza hivyo hivyo kwa mwanamke. Mahusiano yapo na kila mtu anaanzisha mahusiano kwa nia njema ila kuna wengine wanaanzisha kwa nia mbaya kwahiyo unatakiwa ujijali kwanza wewe.
Mwanamke kapata mimba lakini lawama zote anazipeleka kwa mwanaume kitu ambacho siyo sahihi. Unatakiwa ujilinde, na umchunguze mwenza wako kama ana nia ya dhati na wewe. Nazungumzia waliopata mimba kwa uzembe wao.
Unatembea na mume wa mtu au mwanaume asiyekuwa na nia na wewe lakini unaona ukibeba mimba atakupenda na matokeo yake anakuacha halafu unaanza kuwalaumu wanaume.
Ila kuna situation nina naiona kwasasa nadhani inawezekana tuna tatizo kubwa zaidi ya wanaume wanaokimbia watoto wao.Mwanaume yeyote anaemsimanga mwanmke aliezaa na kulea mtoto peke yake ni wa kupimwa akili
Kama una akili zako timamu kweli anza kuwaongelea na waliowapachika mimba na kuzikataa,ongelea waliowabaka,na sio kila mwanamke anaelea mwanae mwenyewe ana tabia mbovu.kuna single mothers wengine wajane baba wa watoto wamefariki,wengine wamefungwa jela nk.
Ukumbuke bila ushiriki wa mwanaume mimba isingetunga.
Just in a wrong way.Lakini wanapambana
Kupambana ni kupambana tuJust in a wrong way.
Kwani uongo?Ukiwa na maana single mother na single ladies ni wadangaji?
ndo vizuri maana anakuwa anaijua hali halisi ya masingle mother kwa undani zaidiBig point .. Halafu mtu km huyo unakuta amelelewa na mama peke yake au ana ndugu zake wengi tu mi ma single mothers tena ma baba tofauti tofauti leo anakuja kuwapondea watoto wa wenzie....
Kupambana ni kupambana tu
Kwa hiyo ni kweli?Kwani uongo?
Ni kupambana bwanaIt all depends how. Huko hakuitwi kupambana. Ni sawa sawa na matapeli. It all manipulation. Thats why serikal yenyewe haija approve.
mmmhhh!!! inaonekana una uzoefu nao sanaKuoa mwanamke mwenye watoto ni hatari sana....hakawii kuja kukugeuka uzeeni yeye na wanawe...haswa katika swala la mali
Bwana asifiwe mtumishi.!Ni kupambana bwana
mmmhhh!!!Hata aliyezaa anaweza patwa na hayo pia.
Kwako wewe Bora mwanaume kulea mtoto wa mwanaume mwenzie ambaye baba yake atarudi apashe kiporo?
Jibu swali yeye asingeitoa Papuchi yake mpaka aolewe mimba ingeingia?
Amina mtumishi habari ya weweBwana asifiwe mtumishi.!
Hahahah we hata ukisema ni single mother haina udasi.Ndiyo kuna wanawake wanataka kuzaa na kulea wenyewe bila wanaume ila unapofeli wewe ni kudhani kuwa na mimi ni single mother eti kwa vile nimewatetea[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kazi ipo wewe hapa unabishana na mimi na siyo hao wanawake
Usijichanganye utapata taabu sana inawezekana mimi naumia kuona wanawake wenzangu wanazalishwa hovyo kumbe wao wenyewe wanapenda sasa ukisema usikilize maneno yangu mimi ukadhani eti ndo mawazo yao wote utaingia choo cha kike bro[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwanini ukubali kukojolewa kama hautaki kulea kwa wakati huo🤣Uzembe wa hali ya juu kivipi? Nauliza wakati mnakojoa huwa hamjui kama mnapanda mbegu na kwamba inaweza ikaota au isiote?
Hahahah jiwe gizani, ukiskia uwiii ujue limempata mlengwa.Hivi wanaume kwanini wanawake tukiongea ukweli wa kuwagusa huwa mnahamia kwenye maisha yetu?
Seriously hii tabia nimeiona kwa wanaume na siyo wanawake humu JF yaani mkishaona mmeambiwa ukweli mkakosa cha kujitetea mnaanza kuhusisha tunayoandika humu na maisha yetu hata kama hayahusiani sasa sijui ndo huwa mnataka kujifariji tu?