Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakuja uko uko mi nikimuoa huyu single mama gharma itapungua
Kwanza yypo kijijiji nitamuolea kule kule so garma aitozid hata laki mbili, mahari nitapunguziwa tena naweza mchukua kwa mkopo,ishot sitakua na hasara yoyote kubwa hata akikengeuka sina cha kupoteza ,mtoto wake ni mmoja tu wakikie hana madhara katika mali zangu,ni msichana anaejielewa ila mimba kaipata bahati mbaya ukuaji ulimwingia kwa kasi
Il Najifikiria mara mbili naweza ahirisha endapo mawazo yakichange au nikipata wa kawaida mwenye kujielewa zIs yake
Utaweza vumilia ndala zao kifuani? ?
Single mother. Ila jiandae kisaikolojia chochote kinaweza tokea usijipe matumaini nao kwasana.
Oa single mom hutajutia.
Usikurupuke single mother wengi wamezoea maisha yao wenyewe so hawataki kuwa chini ya mtu
pole utakua umeumizwa ndomana unajijustify hapa ,ushauri usioe status oa kwa mapenzi
Usikurupuke single mother wengi wamezoea maisha yao wenyewe so hawataki kuwa chini ya mtu
wanaumiza pia ndomana nimemwambia asioe status aoe kwa mahabaKwan singo mom ndio hawaumizi..
mkuu usisikilize miruzi ya jf simamie msimamo wako tena nakuombea upate single mother first class anaejielewaHv jf single mother waliwakoseaga nn aisee.. Mbna mitaani wanaolewa lakn ukja huku na kuwaponda mwa mwi...
Huku kila mtu mjuaji ukiamua kuoa oa usisikilize mtu hukuHv jf single mother waliwakoseaga nn aisee.. Mbna mitaani wanaolewa lakn ukja huku na kuwaponda mwa mwi...
Huku kila mtu mjuaji ukiamua kuoa oa usisikilize mtu huku
Ukute huko wakibananishwa na mapenzi hawachomoki mpk wanawatangazia ndoa hao single mother
Hivi humu ndani huwa zinaweza kupita siku tatu bila uzi wa singo mother
AhsanteMMMH SIO BURE KUNA KITU HAPA, MMECOMMENT KWA HISIA..POLENI
Ha ha haHivi humu ndani huwa zinaweza kupita siku tatu bila uzi wa singo mother