Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

Single mama bila mwanaume wa kumsaidia (danga)
ni ngumu.
Mchana unamuona anapambana huku na kule juani, unasema kabisa huyu mama anapambana sana,
na kumbe ikifika jioni anajisogeza kwa jibaba fulani linampa pesheni.
 
Stereotype! Si wote hivyo mkuu wapo unaona kabisa alikuwa hapa na akafika hapa.
Na juhudi zake zinaonekana kwa matokeo yanayoonekana boss
Single mama bila mwanaume wa kumsaidia (danga)
ni ngumu.
Mchana unamuona anapambana huku na kule juani, unasema kabisa huyu mama anapambana sana,
na kumbe ikifika jioni anajisogeza kwa jibaba fulani linampa pesheni.
 
Upo sahihi kabisa.

Pia kuna wengine wanawake mahitaji ya pekee yake tu yanamshinda ila hawa wanaweza pamoja na mtoto.

Ndoa zingine ule msemo wa ndoa ndoano ndio hapo unakuta hakubahatika kupata mwanaume anaejitambua (Hajui responsibility) ya kuwa mume. Hapa majukumu yote yanamuangukia mwanamke.
Mwanamke yeyote anayepambana kupata mahitaji ya kwake na ya wanae a nastahili kupewa pongezi, wengine wapo ndoani lakini show zote wanasimamia wao ni kama single moms tu.
 
Nilikuwa najiuliza mbona humu JF wanawananga sana single mothers kuwa hawaachani na baba wa watoto wao, nikafikiria kwa msimamo tulionao wanawake tukiacha tunaacha kweli, wanatusingizia.

Lakini kwa nilichoshuhudia kwa macho na masikio yangu, sijui wanakwama wapi hawa wanawake wenzangu jamani.

Ni mama wa watoto wawili aliyezaa wakati anasoma chuo fulani na mwanaume fulani kipindi hicho akiwa chuo, mtoto wa kwanza alimzaa akiwa mwaka wa kwanza na wa pili alimzaa wakati anahitimu chuo.

Kwa bahati nzuri akapata kazi kwenye kampuni fulani na kwa jeuri yule mwanaume aliyekuwa naye chuo alimuacha katika mazingira ya kutatanisha na mawasiliano yakawa yamekatika kipindi wamehitimu chuo.

Baada ya mwaka 1 huyu mdada akawa amepata mwanaume mwingine akamuoa tu vizuri kwa harusi kubwa. Cha ajabu wiki kama 4 zimepita yule kaka aliyezaa naye watoto wawili akaibuka, akamtafuta, wakagombana na wakabembelezana wakakubaliana huyo kaka atakuwa anamtumia hela mdada ya kuwahudumia watoto, muda huo akijiandaa kumwambia mume wake kuhusu hao watoto awarudishe kwa baba yao.

Wakakubaliana kuwa siku fulani watakutana hoteli fulani atawapeleka watoto wakamsalimie baba yao, bila mume wake kujua.

Siku ya siku mdada akawapeleka hoteli nje kidogo ya mji, basi wakakutana, ila mdada akawa na msimamo kuwa endapo ex atajaribu kuleta ushawishi hatakubali hata siku moja, bahati mbaya mtoto wao wa kwanza akawa anaongea maneno kwa baba na mama ya kuwaleta pamoja hadi mdada akawa na huruma kwa ex wake akajikuta anataka avunje ndoa arudi kwa ex wake na huku ex wake ana mke na mtoto 1.

Juzi mume wa ndoa anapata mchezo mzima anamuuliza mke wake anasema ni kweli anadai talaka arudi kwa baba watoto wake.

Nimeamini wanawake muda mwingine hatutumii akili. Alikutelekeza, akakuacha mwenyewe ukatunza watoto mwenyewe from nowhere mnarudiana kisa maneno ya mtoto wao wa kwanza yamemfanya alie, amhurumie na amrudie ex wake.
Huwa ninashangaa kwa kweli, akati huyo unayemkimbilia ana mke na wtt na hawez kumuacha....wanawake sisi ata sijui mwalimu wetu nani..ni ujinga kabisa huo...km alikuwa ankpnd kwnn alikutelekeza?
 
Ndio nilisema badala ya kuoa single mother better nikae bila mke, FULLSTOP, hata aniambie vipi, tuliachana oo mara hii oooo mara hatuwezi rudiana, mtu ambae walizaa nae hatamsahau kabisa, pengine awe saa hii ni marehemu, hata kaa ameoa bado watakuwa wanafanya ile mambo, siwezi oa single mother
 
Ndio nilisema badala ya kuoa single mother better nikae bila mke, FULLSTOP, hata aniambie vipi, tuliachana oo mara hii oooo mara hatuwezi rudiana, mtu ambae walizaa nae hatamsahau kabisa, pengine awe saa hii ni marehemu, hata kaa ameoa bado watakuwa wanafanya ile mambo, siwezi oa single mother
Ahahaha hujapenda bd ww
 
Marrianah uko powa kabisa? Nimekumiss sana mrembo [emoji8]
Siyo 50/50 bali huo ndiyo ukweli,, lakini kwa vile watu mmekengeuka badala ya kufuata maandiko ya Mungu mnafuata mitazamo ya jamii na ndiyo hapo mnapojikuta mnalazimisha utofauti wa hizi jinsia mbili hadi kwenye dhambi..

Kwamba eti jinsia moja inaruhusiwa kutenda dhambi hii lakini jinsia nyingine hairuhusiwi kutenda dhambi hii ukiuliza kwanini eti ndivyo tamaduni zilivyokuwa tangu enzi na enzi kwahiyo jamii ndiyo inaona hivyo kwani what is jamii?? Kwani jamii ndiyo iliyokuumba na je aliyekuumba ndivyo anavyotaka hivyo??

Halafu hawa watu wanaofuata mitazamo ya jamii ndiyo wale unakuta mwanamke kafikisha miaka 26 tu hajaolewa anaanza kuhangaika kwa waganga kwa kujiona ana mikosi eti kwa sababu tu jamii imemnyooshea vidole kwamba kwanini hajaolewa!! Na ninashindwa kuelewa kwanini jamii iwe na mitazamo ya ajabu kiasi hicho tena mitazamo iliyo kinyume na matakwa ya Mungu!!

Yaani napata wakati mgumu kuelewa inakuwaje mtu anaruhusu jamii imuamulie maisha yake tena jamii hiyo hiyo ambayo nayo ina maovu mengi na ina matatizo mengi tu eti ndiyo iwe hakimu wa maisha yake kiasi cha huyo mtu kushindwa kuishi kwa amani kwa sababu ya kufanya vile inavyotaka jamii na ndiyo maana hata ndoa nyingi za siku hizi hazidumu maana unakuta mwanamke hajaolewa kwa sababu yuko tayari bali kaolewa kwa sababu ya kuhofia umri kuenda na kukosa mume na yote hiyo inatokana na nini?? MITAZAMO YA JAMII!!
 
Back
Top Bottom