We SI ndo umegusia ubakaji..inabidi ulete maana tuelewe zaidiUbakaji maana yake nini sasa mkuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We SI ndo umegusia ubakaji..inabidi ulete maana tuelewe zaidiUbakaji maana yake nini sasa mkuu?
Well damn, hali kwa mtwa si nzuriKwa kweli nimesikitika sana
Nimekutana na huyu mama akiwa na mtoto wake wa miaka sita akiwa anampeleka shule😭😭
Mwanaume aliyembaka alishakimbia kitambo sana
(nimetumia rape nikiwa na maana huwezi kufanya sex na binti wa miaka 14 mkiwa wote mentally fit.. Huo ni ubakaji)
Ndio hivyo sasa..😭😭
Unasemaje kuhusu sheria ya ndoa inayo ruhusu msichana/mwanamke mwenye umri wa miaka 14 kuolewa?Alafu Kuna mtu atasema single mama wabaya...
Bado jamii nyingi Tanzania Zina endeleza taratibu za mila na desturi za kuoa watoto wadogo mapaka wa umri wa shule za msingi.Kuna binti amezaliwa 2010 ameacha Shule na anadai ndoa kwa sasa.
Hii unaweza usiielewe ikiwa wewe sio Victim / survivor
Ila umasikini unaleta matatizo makubwa Sana katika society yetu
Hilo ni tatizo la serikali ya Ccm na viongozi wakeBado jamii nyingi Tanzania Zina endeleza taratibu za mila na desturi za kuoa watoto wadogo mapaka wa umri wa shule za msingi.
Je unachukua hatua gani?
Tatizo linaanzia hapa, kila la kheriHilo ni tatizo la serikali ya Ccm na viongozi wake
Hapa unakuta anamtukana MO au DiamondHawa vijana wa hivi ni wa ovyo saanaView attachment 3269357
Wajinga saaana hao jamaa. Wanatoa saaana makafaraHapa unakuta anamtukana MO au Diamond
Godoro huwezi litumia kubetUza smartphone nunua godoro. Ukiwa na vipaumbele sahihi maisha yanapungua ugumu kidogo
Hahahaha,ata bet ktk kiswaswaduGodoro huwezi litumia kubet
Sasa unajivika bomu ili umfurahishe nani, kwanini usiachane tu na ilo from the first place?Kuoa singo maza ni kujivika bomu, ni wenye roho ngumu ndio huweza kukabiliana na majanga na vitimbwi vyao.
Ukiwa rojorojo kama Natafuta Ajira hakyanani unajinyonga.
Ko shemela Sasa hivi wewe ni kibonge mwepesi 😂Legend; Seriously?
Sikuwa na sababu ya msingi… ila zamani nikiwa slim nilikuwa nafanana “kiasi” na binti kiziwi wa wimbo wa Z anto. Au basi nilikuwa nampenda, kuna ile delusional ukimpenda mtu unajiona kama yeye/unajiona ndani yake. 😂
It’s me being stupid!