mkumbwa junior
JF-Expert Member
- Oct 22, 2014
- 835
- 1,608
Uzi wa kufahamu walipo kwa sasa na wanachofanya wenye majina yaliyowahi kuwika sana Tanzania
Yuko wapi Tundu Antipas Lissu?
Yuko wapi Dr. Edward Hosea? wakati huu wa kuelekea uchaguzi angekuwa ameshajitokeza sana
Yuko wapi Yusuph Manji aliyewahi kuwa bilionea wakati fulani?
Yuko wapi Benno Ndulu mmojawapo wa magavana bora wa benki kuu Africa?
Wako wapi Suleiman Kova na Alfred Tibaigana?
RIPYuko wapi Misanya Bingi aliyekuwa mtangazaji Radio one Stereo?
Yu wapi Winnifred Massako wa ITV alikua mshereheshaji mzuri sana wa matukio ya wiki hasa kwenye ile habari ya patrol tank lililoanguka kule Mbeya
Yuko hapa ngaramtoni juu huku forest mwananzengo mwenzetu tunachoma nae nyama na wameru huku juu!Omary Mahita IGP mstaafu aliyeburuzwa mahakamani kwa kumjaza mimba house girl yuko wapi ?
Washafika mbinguni bila shaka ndege iliwafikia ikawachukua kwenda kwa baba yaoWako wapi wasabato masalia?
Huyu alishaumaliza mwendo karibia miaka mitatu sasa imepitaYuko wapi Misanya Bingi aliyekuwa mtangazaji Radio one Stereo?
Omary Mahita IGP mstaafu aliyeburuzwa mahakamani kwa kumjaza mimba house girl yuko wapi ?
Amekongoroka balaa...mishavu imeshuka...kila mwanamke anayemwona lazima amkonyeze( had mabeki 3 wa forest wanaipata hii )..sijui ana pepo gani huyu mzee! Naandika haya alikua jirani yangu so namaanisha!Ukijibiwa hii nitag
Vipi nawe ulishakutana nae ktk harakati zake za kukonyeza, i mean kukukonyeza[emoji3]Amekongoroka balaa...mishavu imeshuka...kila mwanamke anayemwona lazima amkonyeze( had mabeki 3 wa forest wanaipata hii )..sijui ana pepo gani huyu mzee! Naandika haya alikua jirani yangu so namaanisha!
Yes...anakonyeza Kama anafumba macho yote utacheka...anakonyeza kila mwanamke anayemwona nadhani...maana alimkonyeza had bek 3 wangu. Nikabaki nasikitika sanaVipi nawe ulishakutana nae ktk harakati zake za kukonyeza, i mean kukukonyeza[emoji3]