mkumbwa junior
JF-Expert Member
- Oct 22, 2014
- 835
- 1,608
Yuko wapi mkali wa salamu za redioni enzi hizo bwana Chesco mzee wa matunda
Yuko wapi mama teri??
Yuko wapi mama teri??
Uzi wa kufahamu walipo kwa sasa na wanachofanya wenye majina yaliyowahi kuwika sana Tanzania
Yuko wapi Tundu Antipas Lissu?
Yuko wapi Dr. Edward Hosea? wakati huu wa kuelekea uchaguzi angekuwa ameshajitokeza sana
Yuko wapi Yusuph Manji aliyewahi kuwa bilionea wakati fulani?
Yuko wapi Benno Ndulu mmojawapo wa magavana bora wa benki kuu Africa?
Wako wapi Suleiman Kova na Alfred Tibaigana?