😅Heshima yako boss kubwa by that time I was 17 boss 😅sjui lolote nipo "form nyoya" hapo 😅bado akili za ki-LYHahahahaa Acha kabisa aiseeee, kumbe tumezeeka sasa! Umri Wangu wa JF ni Sawa na umri WA kijana balehe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😅Heshima yako boss kubwa by that time I was 17 boss 😅sjui lolote nipo "form nyoya" hapo 😅bado akili za ki-LYHahahahaa Acha kabisa aiseeee, kumbe tumezeeka sasa! Umri Wangu wa JF ni Sawa na umri WA kijana balehe
Na watoto wazuri wa zamani ni wazuri sio Hawa artificial intelligenceTulia mdogo wangu alfu mbili... imenisaidia kuwakumbusha kwenye game tupo kitambo kipindi hiko mnajisaidia na kuchambwa sisi tupo online kwenye chatrooms tunatongoza watoto wazuri... hahahahh
Enzi hizo sie tunakula mshangazi ya Magomeni.. ndio yalikuwa mshangazi.. sio Hawa mshangazi wenu feki😅Heshima yako boss kubwa by that time I was 17 boss 😅sjui lolote nipo "form nyoya" hapo 😅bado akili za ki-LY
Umekumbuka blog ya mzee wa supu? 🤣🤣🤣Na watoto wazuri wa zamani ni wazuri sio Hawa artificial intelligence
Tulikuwa tunaita chikanga 🤣🤣Umekumbuka blog ya mzee wa supu? 🤣🤣🤣
🤣🤣🤣Tulikuwa tunaita chikanga 🤣🤣
Na mambo ya kina mzabzab tulikuwa tunaita makojo 😅😅 au ka mkono🤣🤣🤣
Mshangazi wa Magomeni walikuwaje mzee?Enzi hizo sie tunakula mshangazi ya Magomeni.. ndio yalikuwa mshangazi.. sio Hawa mshangazi wenu feki
😅😅 Yale bwana ndio mshangazi, ( mshangazi Yale yalikuwa submitted kwetu ) ila haya mshangazi ya siku hizi yanawafanya vijana vibaya na kuwafanya watumwaa. Mishangazi inakuwa ikuogope sio mishangazi ya now day inawapiga makofi kabisa vijanaMshangazi wa Magomeni walikuwaje mzee?
😅Sifa ya shangazi lazima awe na manyonyo makubwa😅😅 Yale bwana ndio mshangazi, ( mshangazi Yale yalikuwa submitted kwetu ) ila haya mshangazi ya siku hizi yanawafanya vijana vibaya na kuwafanya watumwaa. Mishangazi inakuwa ikuogope sio mishangazi ya now day inawapiga makofi kabisa vijana
Mshangazi lazima uwe na Mtako huo, lazima uwe mwupee, lazima uwe zuri kuliko vibinti hivi.. lazima liwe na shanga ya dhahabu.. kama hana hivyo huyo sio mshangazi😅Sifa ya shangazi lazima awe na manyonyo makubwa
Umenikumbusha nyimbo ya nyambizi Dully Sykes anamuimba nyambizi demu wa miaka 40 duly hapo ana miaka 25😅shangazi likamwambia "dully kumbuka kiumri bado upo chini" dully akamwambia "nyambizi nionee huruma nishachoka kupiga puchu"Enzi hizo sie tunakula mshangazi ya Magomeni.. ndio yalikuwa mshangazi.. sio Hawa mshangazi wenu feki
Nancy mitikisiko, kapotelea wapi?wakongwe tulioharibikiwa tulikuwa tunapita rahatupu blog
Nancy Huyu Nancy alikuwa na makalio trekta hakuna Nancy 😅mwembambaNancy mitikisiko, kapotelea wapi?
Wengi walikuwa wanafaulu, changamoto ni kupata nafasi kwenda kidato cha kwanza katika shule za serikali.Zamani kufaulu ilikuwa ni kipengele 🤣😅 unaweza Kuta mtaa mzima kafauli mtu mmoja