Wakristo huko Syria wana hali mbaya sana! Ulimwengu umekaa kimya

Wakristo huko Syria wana hali mbaya sana! Ulimwengu umekaa kimya

Ndugu yangu hii migogoro ukiichukulia kidini na propaganda za chuki utashindwa hata kumsalimia jirani yako muislam kumbe hana kosa lolote. Elewa makundi ya kigaidi yanauwa waislam wengi kuliko dini yoyote.

Waarabu ni wajinga na wabinfsi kama ilivyo kwa waafrika ndiomaana ni rahisi kwao kuanzisha uasi. Watawala wa dunia hii wanatumia wanyonge kuwagombanisha ili wafikie malengo yao kwa mlango wa dini ama kabila.
 
Syria imekaa eneo la kimkakati kwa siasa za mabwana wakubwa.

Ile nchi itamegeka, na licha ya kumegeka sidhani kama itatulia.

Kwa sasa mauaji wanayoyafanya HTS yamevuka ubinadamu. Nimeiona video moja wanainyanyasa mpaka maiti.
Kazi ipo Syria sio ndogo kwa haya yanayo endelea.

Naona Alawites wanaendelea kuomba base ya Russia iwapokee
 
Syria imekaa eneo la kimkakati kwa siasa za mabwana wakubwa.

Ile nchi itamegeka, na licha ya kumegeka sidhani kama itatulia.

Kwa sasa mauaji wanayoyafanya HTS yamevuka ubinadamu. Nimeiona video moja wanainyanyasa mpaka maiti.
Kweli kuna hati hati Syria kugawanyika hasa hawa Alawites,Druze na Kurds kama mambo hayatokaa sawa na wakina jolani
 
Ndio ipo hivyo miaka yote kwa makundi madogo...
 
Hao
Wakristo huko Syria sasa hivi wanakabiliwa na mauaji ya kutisha baada ya utawala Miya wa Syria kuamua kuwaua watu ambao wao wanawaita Makafiri. Mauaji hayo yanawalenga waliokuwa waliokuwa wanaunga utawala wa Assad na wote waliowaita wao MAKAFIRI kufikia leo hii bado sijaona Maandamano kutoka nchi yoyote duniani hata Umoja wa Mataifa hawajasema lolote kwa wahanga hao.

View: https://x.com/realmaalouf/status/1898184133681332448?s=61

Hao wanaotekeleza hayo mauaji wapelekewa silaha na Israel ndio wanaongoza serikali ya Syria...tafuteni taarifa sahihi muache kulishwa Matango pori
 
Wakristo huko Syria sasa hivi wanakabiliwa na mauaji ya kutisha baada ya utawala Miya wa Syria kuamua kuwaua watu ambao wao wanawaita Makafiri. Mauaji hayo yanawalenga waliokuwa waliokuwa wanaunga utawala wa Assad na wote waliowaita wao MAKAFIRI kufikia leo hii bado sijaona Maandamano kutoka nchi yoyote duniani hata Umoja wa Mataifa hawajasema lolote kwa wahanga hao.

View: https://x.com/realmaalouf/status/1898184133681332448?s=61

Hiyo dini haijawahi kuwa na akili

Samaleko.
 
Ila Waislamu ndugu zetu Mkiambiwa dini yenu Ina kama kalaana hamkubali karibu nchi zenu zote zenye watu wenye itikadi yenu utakuta wanauana kama Kuku na hata hawajali sio Somalia,Syria, Afghanistan,Lebanon,Iran Iraq Yani nyie ni watu wa fujofujo tu hivi hata nyie wa Huku Tanzania hamuogopi viashiria vya Vurugu kwenye Nchi za Washirika wenzenu? Wa dini yenu Hivi ni mungu Gani huyo ambaye mnamwita Allah Ambaye kamwe hapendi Amani na Upendo kwa viumbe na Watoto wake? Ni nini hicho mnachokiamini kama tu nyie kwa Nyie hamuelewani Yani Waarabu kwa Waarabu wanaabaguana na Kuuana?

Sijasema ukristo uko Perfect Yani kama ni Ukristo nao una makandokando yake kibao lakini Unahubiri Upendo na Amani ndugu zanguni waislam lakini Kuna kitu cha kujifunza nyie kwa nyie haswa Waislamu wa Hapa kwetu

Naanza Kufunguka macho kwa nini hata Mungu alideal zaidi na Uzao wa YAKOBO badala ya ISHMAEL Yani alikua akiufatilia zaidi huo Uzao wa YAKOBO/YAKUB kuliko ISHMAEL pengine Kuna chembechembe za Ukaidi alishaziona kwa ISHMAEL akaamua kumweka Bench na Kudeal na Yakobo
 
Wakristo huko Syria sasa hivi wanakabiliwa na mauaji ya kutisha baada ya utawala Miya wa Syria kuamua kuwaua watu ambao wao wanawaita Makafiri. Mauaji hayo yanawalenga waliokuwa waliokuwa wanaunga utawala wa Assad na wote waliowaita wao MAKAFIRI kufikia leo hii bado sijaona Maandamano kutoka nchi yoyote duniani hata Umoja wa Mataifa hawajasema lolote kwa wahanga hao.

View: https://x.com/realmaalouf/status/1898184133681332448?s=61

Nyie c ndio mlikua mnafuraia mapinduzi
 
Ila Waislamu ndugu zetu Mkiambiwa dini yenu Ina kama kalaana hamkubali karibu nchi zenu zote zenye watu wenye itikadi yenu utakuta wanauana kama Kuku na hata hawajali sio Somalia,Syria, Afghanistan,Lebanon,Iran Iraq Yani nyie ni watu wa fujofujo tu hivi hata nyie wa Huku Tanzania hamuogopi viashiria vya Vurugu kwenye Nchi za Washirika wenzenu? Wa dini yenu Hivi ni mungu Gani huyo ambaye mnamwita Allah Ambaye kamwe hapendi Amani na Upendo kwa viumbe na Watoto wake? Ni nini hicho mnachokiamini kama tu nyie kwa Nyie hamuelewani Yani Waarabu kwa Waarabu wanaabaguana na Kuuana?

Sijasema ukristo uko Perfect Yani kama ni Ukristo nao una makandokando yake kibao lakini Unahubiri Upendo na Amani ndugu zanguni waislam lakini Kuna kitu cha kujifunza nyie kwa nyie haswa Waislamu wa Hapa kwetu

Naanza Kufunguka macho kwa nini hata Mungu alideal zaidi na Uzao wa YAKOBO badala ya ISHMAEL Yani alikua akiufatilia zaidi huo Uzao wa YAKOBO/YAKUB kuliko ISHMAEL pengine Kuna chembechembe za Ukaidi alishaziona kwa ISHMAEL akaamua kumweka Bench na Kudeal na Yakobo
Tupe takwimu ya nchi inayoongoza Kwa mauaji ya ndani .yaani raia Kwa raia
 
Ila Waislamu ndugu zetu Mkiambiwa dini yenu Ina kama kalaana hamkubali karibu nchi zenu zote zenye watu wenye itikadi yenu utakuta wanauana kama Kuku na hata hawajali sio Somalia,Syria, Afghanistan,Lebanon,Iran Iraq Yani nyie ni watu wa fujofujo tu hivi hata nyie wa Huku Tanzania hamuogopi viashiria vya Vurugu kwenye Nchi za Washirika wenzenu? Wa dini yenu Hivi ni mungu Gani huyo ambaye mnamwita Allah Ambaye kamwe hapendi Amani na Upendo kwa viumbe na Watoto wake? Ni nini hicho mnachokiamini kama tu nyie kwa Nyie hamuelewani Yani Waarabu kwa Waarabu wanaabaguana na Kuuana?

Sijasema ukristo uko Perfect Yani kama ni Ukristo nao una makandokando yake kibao lakini Unahubiri Upendo na Amani ndugu zanguni waislam lakini Kuna kitu cha kujifunza nyie kwa nyie haswa Waislamu wa Hapa kwetu

Naanza Kufunguka macho kwa nini hata Mungu alideal zaidi na Uzao wa YAKOBO badala ya ISHMAEL Yani alikua akiufatilia zaidi huo Uzao wa YAKOBO/YAKUB kuliko ISHMAEL pengine Kuna chembechembe za Ukaidi alishaziona kwa ISHMAEL akaamua kumweka Bench na Kudeal na Yakobo
DRC,haiti, central africa republic umesahau
 
Unaongelea siria mbali, juzi magenge ya waislamu yamechinja zaidi ya watu 70 kanisani hapo Congo na Dunia imekaa kimia.

Ni mambo ya hovyo sana mtu kuua mwenzako kwa sababu ya kutofautiana kwa imani za kidini.
Hata Nigeria
 
Back
Top Bottom