gallow bird
JF-Expert Member
- Aug 10, 2024
- 3,915
- 6,272
Wakristu wangapi wameuawa afghanistan,iraq,libya,syria, palestina?Dini ya haki iko busy kufanya karamu ya mauaji. Yule mungu wak anapenda sana damu za Wakristu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakristu wangapi wameuawa afghanistan,iraq,libya,syria, palestina?Dini ya haki iko busy kufanya karamu ya mauaji. Yule mungu wak anapenda sana damu za Wakristu
Unaletewa habari za uongo ,unaanza kubwabwajaKabla Yesu hajaondoka alitaja ujio wa mpinga Kristo ambaye atawachinja sana Wakristo na ndio huu ujio wa uislamu, Wakristo wengi watajiunga kwa huo mfumo wa jehanamu ila Mkristo atakayevumilia hadi mwisho ataokoka.
Ndio maana nafurahia Trump na Netanyahu wanavyowanyooshaUnafiki wa dunia, ngoja wauliwe wapalestina wawili tu, watu hata wasio wapalestina wako mabarabarani, lakini makumi ya wasyria wako kimya! Hapo wakiskia neno wanaouawa ni makafiri wanafurahi kama vile siyo watu. Hovyo sana.
Wakristo huko Syria sasa hivi wanakabiliwa na mauaji ya kutisha baada ya utawala Miya wa Syria kuamua kuwaua watu ambao wao wanawaita Makafiri. Mauaji hayo yanawalenga waliokuwa waliokuwa wanaunga utawala wa Assad na wote waliowaita wao MAKAFIRI kufikia leo hii bado sijaona Maandamano kutoka nchi yoyote duniani hata Umoja wa Mataifa hawajasema lolote kwa wahanga hao.
View: https://x.com/realmaalouf/status/1898184133681332448?s=61
si ajabu ukakuta yeye mwenyewe ni zao la teknolojia ya IVF🤣
Kwa hiyo Yesu ,alivyaa kobazi,alikuwa n1 roho mbaya sana,ndio wakamsulubu?Wavaa kobazi wana roho mbaya sanaa ulimwenguni kote hata apo zenji tu una waona ,ni hatari sana mvaa kobwzi yoyote kua kiongozi wa nchi
Bila Mohammed Musa Alkhawarizm,kugundua Algebra,ambayoinasomwa kila siku mashuleni duniani,dunia ingekuwa gizani.Kila unachokiona,binadamu katengeza,kinatokana na information technology,na IT,inatokana na Algebra,na Algebra ni Mohammed Musa Alkhawarizim,mvaa kobaz.Acheni ushamba, Waislam wana mchango mkubwa sana katika technology. Maendeleo ya kitenologia ni mchakato ambao jamii karibu zote za binadamu wamechangia.
Kwa hiyo huko DRC.wakristo wanauana,Mungu wao anapenda Damu?Dini ya haki iko busy kufanya karamu ya mauaji. Yule mungu wak anapenda sana damu za Wakristu
Ila Waislamu ndugu zetu Mkiambiwa dini yenu Ina kama kalaana hamkubali karibu nchi zenu zote zenye watu wenye itikadi yenu utakuta wanauana kama Kuku na hata hawajali sio Somalia,Syria, Afghanistan,Lebanon,Iran Iraq Yani nyie ni watu wa fujofujo tu hivi hata nyie wa Huku Tanzania hamuogopi viashiria vya Vurugu kwenye Nchi za Washirika wenzenu? Wa dini yenu Hivi ni mungu Gani huyo ambaye mnamwita Allah Ambaye kamwe hapendi Amani na Upendo kwa viumbe na Watoto wake? Ni nini hicho mnachokiamini kama tu nyie kwa Nyie hamuelewani Yani Waarabu kwa Waarabu wanaabaguana na Kuuana?
Sijasema ukristo uko Perfect Yani kama ni Ukristo nao una makandokando yake kibao lakini Unahubiri Upendo na Amani ndugu zanguni waislam lakini Kuna kitu cha kujifunza nyie kwa nyie haswa Waislamu wa Hapa kwetu
Naanza Kufunguka macho kwa nini hata Mungu alideal zaidi na Uzao wa YAKOBO badala ya ISHMAEL Yani alikua akiufatilia zaidi huo Uzao wa YAKOBO/YAKUB kuliko ISHMAEL pengine Kuna chembechembe za Ukaidi alishaziona kwa ISHMAEL akaamua kumweka Bench na Kudeal na Yakobo
Wakristo wangapi,wangapi wanauana wenyewe kwa wenyewe huko DRC,Rwanda,BURUNDI,KASKAZINI Uganda,Ireland ya Kaskazini wakatoliki na waprotestant,Haiti,Sudan ya Kusini,haya hamuyasemi.Wakristu wangapi wameuawa afghanistan,iraq,libya,syria, palestina?
Ndio maana nafurahia Trump na Netanyahu wanavyowanyoosha
Wakristo wanauana DRC,Rwanda,Sudani ya Kusini,Ireland ya Kaskazini,Rwanda,Burundi,Kaskazini Ya Uganda,na,Waprotestant na Wakatoliki wanauana huko Ireland ya Kaskazini.Hata Yesu walimsulubu ,na wakati huo hakuna muislamu hata mmoja ni wenyewe kwa wenyewe,wakristo,kungekuwa na waislamu,mngesema waliomua Yesu ni waislamu.Nani aongee kwama wakristo wenyewe mmekaa kimya??
Wakristo huko Syria sasa hivi wanakabiliwa na mauaji ya kutisha baada ya utawala Miya wa Syria kuamua kuwaua watu ambao wao wanawaita Makafiri. Mauaji hayo yanawalenga waliokuwa waliokuwa wanaunga utawala wa Assad na wote waliowaita wao MAKAFIRI kufikia leo hii bado sijaona Maandamano kutoka nchi yoyote duniani hata Umoja wa Mataifa hawajasema lolote kwa wahanga hao.
View: https://x.com/realmaalouf/status/1898184133681332448?s=61
Na Mungu wa wakristo huko DRC,Ireland ya Kaskazini,Sudani ya Kusini,Rwanda,Uganda Kaskazini,Mungu wa wakristo,anapenda damu za wakristo?Dini ya haki iko busy kufanya karamu ya mauaji. Yule mungu wak anapenda sana damu za Wakristu
DRC,Ireland ya Kaskazini,waprotestant na wakatoliki,Sudan ya kusini,Ukraine,Urusi wanauana,na hakuna muislzmu hata mmoja,kwa hiyo huko wanapiganz kwa ujinga wa dini yao?Uislamu ni dini ya ovyo sana. Huwezi kumchukia na kumuua binadamu mwenzako kwasababu ya imani ya kufikirika. Hujawahi kumuona Allah wala haujawahi kusikia sauti yake,
Ni ujinga sana