Wakristo huko Syria wana hali mbaya sana! Ulimwengu umekaa kimya

Wakristo huko Syria wana hali mbaya sana! Ulimwengu umekaa kimya

Hii nchi imeharibiwa na wa roho, Israel, uturuki, Marekani na washirika wao. Wameforce kumtoa al Asad, sasa nchi haitawaliki, nchi imekuwa kama familia ya kambale, baba ndevu, mtoto ndevu, mama ndevu..

Waliolianzisha wana nguvu ya kutuliza ila hawatofanya chochote sababu ya maslahi yao binafsi.
 
Kweli kuna hati hati Syria kugawanyika hasa hawa Alawites,Druze na Kurds kama mambo hayatokaa sawa na wakina jolani


Allah awanusuru ndugu zetu Ahlus Sunnah walioko Syria. Ma nusayri ndio walianza kuwaua askari wa Syria, na sasa wanaomba msaada kwa ndugu zao dola la kizayuni wawasaidie.

Manusayri waliwaua sana Waislam huko Syria wakati walipokuwa wanatawala, ila wakina Jolani walipoingia madarakani wakawasamehe. Sasa manusayri wamewalipa kwa kuwaua askari wa Syria. Na sasa manusayri wanalilia msaada kutoka kwa dola la kiyahudi la kizayuni.
 
Nikimuona mtu anawashabikia Waislam huwa numuona ni mjinga na brain washed, Ndio maana Madrasa wanafundishwa kukariri bila logic.

Syria wanaua, Wakristo, Alawites, Druzes, Kurds na Washia kisa tu sio Wassuni wenye itikadi Kali, hao HTS/ISIS Walikaa wakatunga Sheria Rais lazima awe mtu Msunni, what a https://jamii.app/JFUserGuide.

Hawa Alawites, Washia walikuwa wanatumika na Iran dhidi ya Israel kwa sasa wanakatwa vichwa wanauliwa na hakuna wakuwasaidia, Iran, Hezbollah amekimbia kawatelekeza hili liwe fundisho la kuchagua rafiki, hao Alawites wanaomba Israel iwasaidie, Lakini ni mbali.

Israel imesema Gaidi atakaye vamia Ardhi ya Wadruze itabidi apigane na IDF na imewaalika Wakurd wakitaka ushirikiano na Israel wanakaribishwa
 
Nyinyi si mlikuwa mnashangilia kipindi nchi za magharibi,Uturuki na Israel, zinashirikiana kumuangusha Asad?
Mgogoro wa Syria ni kielelezo tosha Cha ujinga wa Jamii za Kiarabu. Hao Alawites Ndio kabila la Assad, Wameua Sana Waarabu wengine.
 
Syria chini ya Assad ilikuwa salama zaidi. Haikuwa nchi ya kidini. Wakristo waliishi Kwa uhuru mkubwa mpaka ilipoingia vita na ujio wa vikundi vya kisalafi kutaka kujenga Dola la kiislam.Maskini Wasyria hawamjui adui Yao Leo wanauana wao Kwa wao. Si mkiristo tu anayeuawa, hata wenye misimamo wa kati wa kidini( Islam) wanakufa, former pro Assad wanauawa.
Ni huzuni kubwa sana kinchotokea Syria. Lakini hakuna anayejali. Hata UN wapo kimya!
Syria haikuwa Salama... Waarabu wanatatizo la Ukabila/Ukoo... Hata Muhammad alianzisha Uislam baada ya Kabila lake kushinda vita dhidi ya makabila Jirani.

Uislam umebeba uarabu ndani yake, misingi ya Ukabila na ubaguzi ni core values ndani ya Uislam Ndio maana wanaona ndugu kwa ndugu
 
Hii nchi imeharibiwa na wa roho, Israel, uturuki, Marekani na washirika wao. Wameforce kumtoa al Asad, sasa nchi haitawaliki, nchi imekuwa kama familia ya kambale, baba ndevu, mtoto ndevu, mama ndevu..

Waliolianzisha wana nguvu ya kutuliza ila hawatofanya chochote sababu ya maslahi yao binafsi.

Hili Ndio kosa LA vijana na Watu wengi kukosa Uelewa wa mambo...

Nchi zote unaziona Mashariki ya Kati zinahili Tatizo la Syria, Ukabila. Assad alikuwa anatokea Kabila ambalo now Ndio linauliwa (Alawites)

Nchi zote za middle East zinatatizo la Madhehebu(Shida, Sunni), tofauti za kiukoo...hakuna nchi ya middle east ambayo hakuna Kabila/Ukoo/Dhehebu linaloongoza nchi na kugandamiz wengine
 
Syria haikuwa Salama... Waarabu wanatatizo la Ukabila/Ukoo... Hata Muhammad alianzisha Uislam baada ya Kabila lake kushinda vita dhidi ya makabila Jirani.

Uislam umebeba uarabu ndani yake, misingi ya Ukabila na ubaguzi ni core values ndani ya Uislam Ndio maana wanaona ndugu kwa ndugu
Si Kila mwarabu ni mwislam lazima ukumbuke
 
Waarabu wanatatizo la Ukabila/Ukoo...
Katika matatizo ya Islamophobes ni kama haya. Nje ya Uislam jamii zote za binadamu utakuta tabia ya ukabila na kujifakharisha kwa nasabu.


Hata Muhammad alianzisha Uislam baada ya Kabila lake kushinda vita dhidi ya makabila Jirani.
Unatia aibu. Inaonesha huijui kabisa kabisa historia ya Uislam.

Halafu ni Uislam ndio umekuja kuondoa ukabila na ni Uislam ndio dawa ya ukabila. Malcolm X anakwenda Hijja miaka ya 60 kashangazwa na aliyoyaona kule mpaka akaandika barua kutokea Makkah ndani yake akielezea aliyoyaona. Anashangaa watu ambao wameunganishwa na Imani wako bega kwa bega katika Ibada na wako rangi tofauti na jamii tofauti, kitu ambacho kwao hakukiona wakati ambao watu weusi baadhi ya sehemu Marekani wakikatazwa hata kuchanganyika na weupe makanisani.


Allah said:

إِنَّ أَكْرَمَكُمْ عِندَ اللَّهِ أَتْقَاكُمْ

Verily, the most noble of you to Allah is the most righteous of you.

Surat al-Hujurat 49:13


Abu Nadrah reported: The Messenger of Allah, peace and blessings be upon him, said:

يَا أَيُّهَا النَّاسُ أَلَا إِنَّ رَبَّكُمْ وَاحِدٌ وَإِنَّ أَبَاكُمْ وَاحِدٌ أَلَا لَا فَضْلَ لِعَرَبِيٍّ عَلَى أَعْجَمِيٍّ وَلَا لِعَجَمِيٍّ عَلَى عَرَبِيٍّ وَلَا لِأَحْمَرَ عَلَى أَسْوَدَ وَلَا أَسْوَدَ عَلَى أَحْمَرَ إِلَّا بِالتَّقْوَى أَبَلَّغْتُ

O people, your Lord is one and your father Adam is one. There is no favor of an Arab over a foreigner, nor a foreigner over an Arab, and neither white skin over black skin, nor black skin over white skin, except by righteousness. Have I not delivered the message?

Source: Musnad Aḥmad 22978, Grade: Sahih


Uislam umebeba uarabu ndani yake, misingi ya Ukabila na ubaguzi ni core values ndani ya Uislam

Uislam gani unaouzungumzia?


Amr ibn al-‘As reported: The Prophet, peace and blessings be upon him, said, “Verily, the relatives of my father are not my allies. Verily, only Allah and the righteous believers are my allies. Yet, they have the bonds of kinship and I will uphold their family ties.”

Source: Ṣaḥīḥ al-Bukhārī 5990, Ṣaḥīḥ Muslim 215




Ndio maana wanaona ndugu kwa ndugu
Ndio hoja yako hii kuonesha kuwa Ukabila ni "core values" ndani ya Uislam? Hizi ndio "Logic" mnazosoma sio? Kwanza, kuoana wenyewe kwa wenyewe sio ushahidi wa kuonesha ukabila.

Pili, kuuhusisha desturi hii na Uislam au waarabu peke yao ilhali jamii zote za binadamu zina kawaida ya kuoana wao kwa wao, huo ni ujinga au chuki tu au vyote kwa pamoja.

Tatu, Uislam haujakataza kuoa nje ya race, tribe au ethnic group yako. Ili mradi tu ufuate Shari'ah ya Dini katika Ndoa, unaweza kuoa kabila lolote au rangi yoyote. Na katika Uislam kuna interracial, inter-tribal, inter ethnic marriages nyingi mno. Hili halipaswi hata kuwa mjadala.

Mtu kuoa au kuolewa na rangi fulani au kabila fulani ima ni la kwake au la kwengine ni chaguo lake kwa sababu tofauti tofauti zinazokubalika. Afuate tu Shari'ah ya Dini inasemaje.

Umoja na kuungana ni katika Tawheed (kumpwekesha Allah) na kumfuata Mtume Muhammad (Swala na Salamu ziwe juu yake). Hii sio dini ya ukabila. Mtume (Swala na Salamu ziwe juu yake) alipigana mpaka na kabila lake la Quraysh kwa ajili ya Dini hii na katika waliokuwa pamoja naye wapo mpaka watu weusi akina Bilal (Allah Amridhie yeye na Maswahaba wote wa Mtume).

Ni katika Uislam ndio watu kama Swahaba mtukufu Bilal (Allah Amidhie) ambaye alikuwa mtumwa mweusi kabla ya Uislam, baada ya Uislam akawa ni Muadhini wa kwanza. Mtu aliyeitoa Adhana juu ya Ka'abah Tukufu.

Uislam sio Dini ya ukabila ndio maana Abu Lahab ataingia motoni wakati ni baba yake mdogo Mtume (Swala na Salamu ziwe juu yake) na Bilal (Allah Amridhie), mwafrika ataingia peponi. Abu Talib ataingia motoni ilhali ni baba yake mkubwa Mtume na alimtetea Mtume ila akafa kafiri na ataingia motoni japo ni baba yake mkubwa Mtume (Swala na Salamu ziwe juu ya Mtume Muhammad). Ndio maana akina Abu Jahal na 'Utba Bin Rabi'ah wataingia motoni japo walikuwa kabila moja na Mtume na waliishi Makkah karibu na Ka'abah.

Uislam sio Dini ya ukabila, ndio maana ukakuta Maswahaba wa Mtume waliokuwa weusi (Bilal, Ummu Ayman, Wahshi, na kadhalika), waliokuwa wafursi kama Salman al-Farisy, waliokuwa wana asili ya uyahudi (wakaja kusilimu) kama 'Abdullahi Ibn Salam, Mama yetu Safiyya Bint Huyayy (Mke wa Mtume) na wengineo wengi Allah Awaridhie wote. Kuna wanafunzi wa Maswahaba ambao walikuwa sio waarabu, kuna wanafunzi wa wanafunzi wa Maswahaba ambao hawakuwa waarabu, kuna Maimam wakubwa katika Dini hii ambao hawakuwa waarabu kama Imam Bukhari, Imam Abu Dawud, Imam Tirmidhi, Imam Nasa'i, Imam Ibn Majah, Imam Abu Hanifa na wengineo wengi kutoka zamani mpaka sasa.


View: https://youtu.be/yAzlsFDmsJI?si=fIA7bI8SnTe7qLcE

Dini hii imetumikiwa na kila jamii. Bado Dola za jamii tofauti tofauti kama Waturuki (Seljuqs, Ottomans na kadhalika), Wakurdi (akina Salahuddin al - Ayyubi), Songhai Empire, Mali Empire akina Mansa Mussa waafrika, Almohads (Al Muwahhiduun) na AlMoravids (Al Murabituun) Wa Berber wa Afrika Kaskazini, kuna Waajemi, na wengineo. Wote wameitumikia Dini hii tukufu ya Uislam.
 
Sio Waislam walioanzisha vita kuu mbili za dunia, hizo nchi zote za kiislam ulizozitaja ukizijumlisha idadi ya watu waliouawa katika hizo vita zao hazifikii idadi ya waliokufa kutokana na vita kuu za dunia ambazo hazikuanzishwa na Waislam.

Sio Waislam waliochinja mayahudi milioni 6 wala sio Waislam waliotumia mabomu ya nyuklia (zote hizo ni vita kuu ya pili ya dunia), mabomu ya nyuklia yametumika mara mbili tu na waliotumia sio Waislam.

Sio dola za Waislam zilizoua mamilioni huko Korea na Vietnam.

Sio Waislam wanaoongoza na kuanzisha magenge ya kuuza madawa ya kulevya huko Latin America (drug cartels na narco-terrorism) magenge ya uhalifu na ya madawa ya kulevya ya Latin America yanafanya ukatili na unyama ISIS/Daesh hawaoni ndani.

Sio nchi za Kiislam zinaongoza kwa gun violence. Wala rape.

Hata baadhi ya nchi ulizotaja kama Afghanistan na Iraq unaelewa zilichafuka kwa sababu gani.

Wanaoichochea Congo izidi kuwaka moto nadhani unawajua.

Sio Waislam walioanzisha genocide Cambodia wala Rwanda.

King Leopold wa pili ambaye utawala wake uliua mamilioni Congo, hakuwa Muislam.

Sio Waislam walioua nakufanya genocide dhidi ya native Americans.

Nadhani unajua kuwa mpaka karne ya 20, nchi za Ulaya zilikuwa zinapigana vita zisizo na kichwa wala miguu. Kama Hundred Years' War, The Thirty Years' War, The Seven Years' War na kadhalika

Stalin, Mao Ze Dong, Polpot, Lenin, Trotsky hawakuwa waislam (walikuwa atheists). Kusanya watu wote unaodhani waliuawa na Waislam hawafikii idadi ya waliouawa chini ya hao.

Nadhani unajua ni nani aliwafuata Waislam Palestina, sio Waislam ni mayahudi wazungu kutoka Ulaya ambao sio Waislam, ambao ironically walikimbilia Mashariki ya Kati kukimbia mateso ya "ndugu" zao ambao pia sio Waislam. Na sasa unaona wanachowafanyia ndugu zetu huko Palestine (Allah awanusuru ndugu zetu wanaoteseka Palestina na kwengine kote Duniani).

Ukristo unahubiri upendo wa Crusades? Genocide dhidi ya wenyeji Marekani? Kuwaua wenyeji Canada, Australia na New Zealand na kuwapokonya ardhi zao?

Sio Waislam walioanzisha Apartheid Regime Afrika Kusini.

Struggles dhidi ya Ukoloni zilizomwaga damu huko Zimbabwe, Angola, Namibia, Msumbiji na Afrika Kusini hazikuwa struggle za kupambana na Waislam. Zilikuwa za kupambana na dhulma za wasio Waislam.

Ooh! Nilitaka kuisahau Ukraine!


Na kadhalika na kadhalika.


Halafu Ya'aqub na Ismaa'eel (Amani iwe juu yao wote) ni manabii wa Allah wote kutoka kizazi cha Nabii Ibraahiim (Amani iwe juu yake), hawakuwa na uadui wala chuki baina yao, walikuwa wanamuabudu Allah peke yake bila ya kumshirikisha na chochote, Walikuwa Waislam.
Umeongea vyema, hizo ni untold stories sadly wakristo tumejazwa chuki tuu
 
Katika matatizo ya Islamophobes ni kama haya. Nje ya Uislam jamii zote za binadamu utakuta tabia ya ukabila na kujifakharisha kwa nasabu.



Unatia aibu. Inaonesha huijui kabisa kabisa historia ya Uislam.

Halafu ni Uislam ndio umekuja kuondoa ukabila na ni Uislam ndio dawa ya ukabila. Malcolm X anakwenda Hijja miaka ya 60 kashangazwa na aliyoyaona kule mpaka akaandika barua kutokea Makkah ndani yake akielezea aliyoyaona. Anashangaa watu ambao wameunganishwa na Imani wako bega kwa bega katika Ibada na wako rangi tofauti na jamii tofauti, kitu ambacho kwao hakukiona wakati ambao watu weusi baadhi ya sehemu Marekani wakikatazwa hata kuchanganyika na weupe makanisani.


Allah said:

إِنَّ أَكْرَمَكُمْ عِندَ اللَّهِ أَتْقَاكُمْ

Verily, the most noble of you to Allah is the most righteous of you.

Surat al-Hujurat 49:13


Abu Nadrah reported: The Messenger of Allah, peace and blessings be upon him, said:

يَا أَيُّهَا النَّاسُ أَلَا إِنَّ رَبَّكُمْ وَاحِدٌ وَإِنَّ أَبَاكُمْ وَاحِدٌ أَلَا لَا فَضْلَ لِعَرَبِيٍّ عَلَى أَعْجَمِيٍّ وَلَا لِعَجَمِيٍّ عَلَى عَرَبِيٍّ وَلَا لِأَحْمَرَ عَلَى أَسْوَدَ وَلَا أَسْوَدَ عَلَى أَحْمَرَ إِلَّا بِالتَّقْوَى أَبَلَّغْتُ

O people, your Lord is one and your father Adam is one. There is no favor of an Arab over a foreigner, nor a foreigner over an Arab, and neither white skin over black skin, nor black skin over white skin, except by righteousness. Have I not delivered the message?

Source: Musnad Aḥmad 22978, Grade: Sahih




Uislam gani unaouzungumzia?


Amr ibn al-‘As reported: The Prophet, peace and blessings be upon him, said, “Verily, the relatives of my father are not my allies. Verily, only Allah and the righteous believers are my allies. Yet, they have the bonds of kinship and I will uphold their family ties.”

Source: Ṣaḥīḥ al-Bukhārī 5990, Ṣaḥīḥ Muslim 215





Ndio hoja yako hii kuonesha kuwa Ukabila ni "core values" ndani ya Uislam? Hizi ndio "Logic" mnazosoma sio? Kwanza, kuoana wenyewe kwa wenyewe sio ushahidi wa kuonesha ukabila.

Pili, kuuhusisha desturi hii na Uislam au waarabu peke yao ilhali jamii zote za binadamu zina kawaida ya kuoana wao kwa wao, huo ni ujinga au chuki tu au vyote kwa pamoja.

Tatu, Uislam haujakataza kuoa nje ya race, tribe au ethnic group yako. Ili mradi tu ufuate Shari'ah ya Dini katika Ndoa, unaweza kuoa kabila lolote au rangi yoyote. Na katika Uislam kuna interracial, inter-tribal, inter ethnic marriages nyingi mno. Hili halipaswi hata kuwa mjadala.

Mtu kuoa au kuolewa na rangi fulani au kabila fulani ima ni la kwake au la kwengine ni chaguo lake kwa sababu tofauti tofauti zinazokubalika. Afuate tu Shari'ah ya Dini inasemaje.

Umoja na kuungana ni katika Tawheed (kumpwekesha Allah). Hii sio dini ya ukabila. Mtume (Swala na Salamu ziwe juu yake) alipigana mpaka na kabila lake la Quraysh kwa ajili ya Dini hii na katika waliokuwa pamoja naye wapo mpaka watu weusi akina Bilal (Allah Amridhie yeye na Maswahaba wote wa Mtume).

Ni katika Uislam ndio watu kama Swahaba mtukufu Bilal (Allah Amidhie) ambaye alikuwa mtumwa mweusi kabla ya Uislam, baada ya Uislam akawa ni Muadhini wa kwanza. Mtu aliyeitoa Adhana juu ya Ka'abah Tukufu.

Uislam sio Dini ya ukabila ndio maana Abu Lahab ataingia motoni wakati ni baba yake mdogo Mtume (Swala na Salamu ziwe juu yake) na Bilal (Allah Amridhie), mwafrika ataingia peponi. Abu Talib ataingia motoni ilhali ni baba yake mkubwa Mtume na alimtetea Mtume kwa sababu ya ukabila na ujamaa. Ndio maana akina Abu Jahal na 'Utba Bin Rabi'ah wataingia motoni japo walikuwa kabila moja na Mtume na waliishi Makkah karibu na Ka'abah.

Uislam sio Dini ya ukabila, ndio maana ukakuta Maswahaba wa Mtume waliokuwa weusi (Bilal, Ummu Ayman, Wahshi, na kadhalika), waliokuwa wafursi kama Salman al-Farisy, waliokuwa wana asili ya uyahudi (wakaja kusilimu) kama 'Abdullahi Ibn Salam, Mama yetu Safiyya Bint Huyayy (Mke wa Mtume) na wengineo wengi Allah Awaridhie wote. Kuna wanafunzi wa Maswahaba ambao walikuwa sio waarabu, kuna wanafunzi wa wanafunzi wa Maswahaba ambao hawakuwa waarabu, kuna Maimam wakubwa katika Dini hii ambao hawakuwa waarabu kama Imam Bukhari, Imam Abu Dawud, Imam Tirmidhi, Imam Nasa'i, Imam Ibn Majah, Imam Abu Hanifa na wengineo wengi kutoka zamani mpaka sasa.


View: https://youtu.be/yAzlsFDmsJI?si=fIA7bI8SnTe7qLcE

Dini hii imetumikiwa na kila jamii. Bado Dola za jamii tofauti tofauti kama Waturuki (Seljuqs, Ottomans na kadhalika), Wakurdi (akina Salahuddin al - Ayyubi), Songhai Empire, Mali Empire akina Mansa Mussa waafrika, Almohads (Al Muwahhiduun) na AlMoravids (Al Murabituun) Wa Berber wa Afrika Kaskazini, kuna Waajemi, na wengineo. Wote wameitumikia Dini hii tukufu ya Uislam.


Uislam haukuondoa Ukabila Yemen Kuna Kabila(Houthi) lina miliki hadi Balistic missle



View: https://x.com/visegrad24/status/1898998512391512142

There is no way ukasema waarabu wa utu.

Mungu alipagawa akili na Maarifa akawanyima waarabu na waafrika, Dunia haiwezi kuendelea kama Waarabu na waafrika tutakuwa wengi sana tukiwa na same mindset
 
Back
Top Bottom