Wakristo huko Syria wana hali mbaya sana! Ulimwengu umekaa kimya

Wakristo huko Syria wana hali mbaya sana! Ulimwengu umekaa kimya

Na alaaniwe alieanzisha dini.
FB_IMG_1741499269149.jpg



FB_IMG_1741498626873.jpg
 
Wakristo wanauana DRC,Rwanda,Sudani ya Kusini,Ireland ya Kaskazini,Rwanda,Burundi,Kaskazini Ya Uganda,na,Waprotestant na Wakatoliki wanauana huko Ireland ya Kaskazini.Hata Yesu walimsulubu ,na wakati huo hakuna muislamu hata mmoja ni wenyewe kwa wenyewe,wakristo,kungekuwa na waislamu,mngesema waliomua Yesu ni waislamu.
Kumbe UNAKUBALI kabisa Uislamu umekuja baada ya Yesu
 
Wakristo huko Syria sasa hivi wanakabiliwa na mauaji ya kutisha baada ya utawala Miya wa Syria kuamua kuwaua watu ambao wao wanawaita Makafiri. Mauaji hayo yanawalenga waliokuwa waliokuwa wanaunga utawala wa Assad na wote waliowaita wao MAKAFIRI kufikia leo hii bado sijaona Maandamano kutoka nchi yoyote duniani hata Umoja wa Mataifa hawajasema lolote kwa wahanga hao.

View: https://x.com/realmaalouf/status/1898184133681332448?s=61

hawaui wakristu bali wafuasi wa Asad , Asad kaua weng na hao ndo walikuwa wanashabikia , acha wapitie kile wenzao wamekipitia kwa miaja 14 ndan ya nchi yao


TUSISTETEE WAHARIFU , HATA HAPA KWETU WAPO WATU WANAFURAHIA VIFO VYA ALLY KIBAO , SOKA ETC ILA UPO WKT WATAWINDWA MTAANI KAMA KUKU NA WATAHUKUMIWA NA RAIA KAMA WALE WEZ WA MITAANI
 
Wakristo wanauana DRC,Rwanda,Sudani ya Kusini,Ireland ya Kaskazini,Rwanda,Burundi,Kaskazini Ya Uganda,na,Waprotestant na Wakatoliki wanauana huko Ireland ya Kaskazini.Hata Yesu walimsulubu ,na wakati huo hakuna muislamu hata mmoja ni wenyewe kwa wenyewe,wakristo,kungekuwa na waislamu,mngesema waliomua Yesu ni waislamu.
Na wewe vita kikabila unasema za kidini, Rwanda, Burundi, Congo, Uganda vita za kikabila hizo.

Wakristo hawanaga vita za kutaka kusimika mila za kikristo kama waislam kutumia sharia law..

Tofautisha hapo.
 
Wavaa kobazi wana roho mbaya sanaa ulimwenguni kote hata apo zenji tu una waona ,ni hatari sana mvaa kobwzi yoyote kua kiongozi wa nchi
hiyo ni propaganda kukudanganya , hao ni waliokuwa wanashangilia vifo vya wenzao , kama hapa leo tuna watu 100 hatujui walipo ila wapo watu wanashirikiana na serikali kufanya haya yote na wengine wanashangilia haya yote , baada akija mtawala mwingine wakianza kuhukumia utasiki serikali mpya inaua wazenj

ALAUMIWE ASAD MAANA ALIWALEVYA HAWA WATU NA KUWAFANYA NDO SILAHA YAKE KWA KUWAUA WENGINE WASIOMUUNGA MKONO
 
Ndio nyie mlishangilia kuanguka Kwa ASSAD. Sasa endeleeni na shangwe sisi tumekaa paleeeee,,,
hao ni wafuasi wa Asad , wabongo mna vicha vya kuku , Asad kaua wngap ? je waliokuwa wanamuunga mkono unataka waachwe ? hapo hakuna udini , kama walishangilia wenzak kuulia ka mamilion bas acha wauliwe na wao pia

HII IWE ALERT KWA WANAOSHANGILIA MAUAJI YA CCMU , KESHO SI LEO WATAKIONA CHA MOTO
 
Ndugu yangu kuisema vibaya Zenji haitokusaidia kutatua changamoto za kimaisha ulizo nazo. Msubirie Lisu wako anaefaa kuwa kiongoz wa n chi ili moyo wako uburudike
wazenji mkemeeni mama mapema maana kiongoz ajae lzm awalambishe mchanga maana ndo mmekuwa mnashangilia mauaji anayofanya mama yenu , waonen hao alawit hawakuamin kuwa ipo siku kama ye leo , wao wanaiona Syria ni jehanam
 
Wakristo huko Syria sasa hivi wanakabiliwa na mauaji ya kutisha baada ya utawala Miya wa Syria kuamua kuwaua watu ambao wao wanawaita Makafiri. Mauaji hayo yanawalenga waliokuwa waliokuwa wanaunga utawala wa Assad na wote waliowaita wao MAKAFIRI kufikia leo hii bado sijaona Maandamano kutoka nchi yoyote duniani hata Umoja wa Mataifa hawajasema lolote kwa wahanga hao.

View: https://x.com/realmaalouf/status/1898184133681332448?s=61

Tatizo hizi picha hazioneshi tarehe.

Serikali iliyomuangusha Assad nasikia haifanyi huu unyama.

Yawezekana picha hizo zikawa ni za zamani.
 
hawaui wakristu bali wafuasi wa Asad , Asad kaua weng na hao ndo walikuwa wanashabikia , acha wapitie kile wenzao wamekipitia kwa miaja 14 ndan ya nchi yao


TUSISTETEE WAHARIFU , HATA HAPA KWETU WAPO WATU WANAFURAHIA VIFO VYA ALLY KIBAO , SOKA ETC ILA UPO WKT WATAWINDWA MTAANI KAMA KUKU NA WATAHUKUMIWA NA RAIA KAMA WALE WEZ WA MITAANI
Mungu amekupa akili zitumie vizuri!!!
 
Unaongelea siria mbali, juzi magenge ya waislamu yamechinja zaidi ya watu 70 kanisani hapo Congo na Dunia imekaa kimia.

Ni mambo ya hovyo sana mtu kuua mwenzako kwa sababu ya kutofautiana kwa imani za kidini.
Inasikitisha sana kwa kweli 🤔
 
Back
Top Bottom