Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakristo wa wapi mliojazwa chuki na mmejazwa chuki na nani dhidi ya nani mkuu?Umeongea vyema, hizo ni untold stories sadly wakristo tumejazwa chuki tuu
Alafu watakuambia assalam aleikum
Viongozi wetu wa kidini kuwa waislamu ni watu wabaya kumbe sio kweli, sisi wote ni ndugu ni itikadi tuu zinatugeuza wajingaWakristo wa wapi mliojazwa chuki na mmejazwa chuki na nani dhidi ya nani mkuu?
..hata wao kwa wao, Shia vs Suni etcWavaa kobazi wana roho mbaya sanaa ulimwenguni kote hata apo zenji tu una waona ,ni hatari sana mvaa kobwzi yoyote kua kiongozi wa nchi
Point ya msingi hapa ni kisababishi cha mauaji, Syria waislam wenye siasa kali wanaua wakristo,alawites na druze kwa sababu sio waislamu. Wanatekeleza lile andiko la kwenye Quran 3:149-151 dhidi ya wasioamini katika uislamu.Wakristo wangapi,wangapi wanauana wenyewe kwa wenyewe huko DRC,Rwanda,BURUNDI,KASKAZINI Uganda,Ireland ya Kaskazini wakatoliki na waprotestant,Haiti,Sudan ya Kusini,haya hamuyasemi.
Makafiri hamuwezi kujadili kwa lugha za staha abadan Allah akusameheUsiwe mjinga kupita kiasi Watawala wa Syria wanawaua Wakristo na Alawite wanaowatuhumu kuwa wafuasi wa Assad!!
hawa pia wanauwawa kwa sababu ya ahadi ya wanawake mabikira 100.Wakristo huko Syria sasa hivi wanakabiliwa na mauaji ya kutisha baada ya utawala Miya wa Syria kuamua kuwaua watu ambao wao wanawaita Makafiri.
Mauaji hayo yanawalenga waliokuwa waliokuwa wanaunga utawala wa Assad na wote waliowaita wao MAKAFIRI kufikia leo hii bado sijaona Maandamano kutoka nchi yoyote duniani hata Umoja wa Mataifa hawajasema lolote kwa wahanga hao.
Hao unaowasema ni madikteta ni branding ya huyohuyo unaemtetea USA. At any point in time akiwa tofauti na wewe ni lazima akuite majina mabaya na yeye aji-present kama ndo malaika, cha kusikitisha na wewe pia umeamini katika hiyo propaganda. Putin si wanamwita dikteta na wamempa kila majina mabaya? saivi Trump amekaa nae upande mmoja na tayari wameanza kum-potray Zelensky kuwa ndo adui wa nchi yake (Ukraine).Kwahiyo kwako madikteka kama mobuti,gadafi na wengineo ndio utawala unaoutaka urusi,korea kaskazini ni nchi za kidkteka mrusi ana uwa wapinzani korea kaskazini ni nchi iliyojaa umasikini kwahiyo kwako hiyo ndio mifano mizuri ya utawala.
Uchina bila kuruhusu wazungu waingie na kuweka viwanda na kufanya soko huria angekuwa masikinj wa kutupwa same kwa nchi za middle east kama UAE na Quatar,Saud arabia nao wameamua kuachana na upuuzi wameungana na wazungu ili kuendeleza nchi zao.
Iran kajaza propaganda na wengi wameikimbia au wapo katika hatakati za kuikimbia hiyo nchi ya kihafidhina.
wamepatwa na nini huko?Wakristo huko Syria sasa hivi wanakabiliwa na mauaji ya kutisha baada ya utawala Miya wa Syria kuamua kuwaua watu ambao wao wanawaita Makafiri.
Mauaji hayo yanawalenga waliokuwa waliokuwa wanaunga utawala wa Assad na wote waliowaita wao MAKAFIRI kufikia leo hii bado sijaona Maandamano kutoka nchi yoyote duniani hata Umoja wa Mataifa hawajasema lolote kwa wahanga hao.
Acha ujinga wako Allah wako huyo kwangu mimi ni takataka tu wala hana uwezo wa kunisamehe. Wauaji wote wa kiislamu wanajua watu kwa jina lake!! Wanaua watu huku wakipayuka Allah-Akbar huyo kwangu Hana nafasi kabisa na Hana uwezo wa kusamehe!!!Makafiri hamuwezi kujadili kwa lugha za staha abadan Allah akusamehe
Lakini ukae ukijua Assad na utawala wake hawakuwa wakiristo na serikali ya Assad ilikuwa inaendeshwa kwa sheria za kiislamu na sasa wanachofanya waasi waliochukua nchi ni kuua yeyote aliekuwa akishirikiana na serikali ya Asaad
Umekaa udini na chuki za kidini ndio maana huangalii hoja utakufa kwa sonona baki wewe kama wewe dini umeikuta tu hapa duniani tumia utashi wa akili usiongozwe na mihemko ya kukaririshwaAcha ujinga wako Allah wako huyo kwangu mimi ni takataka tu wala hana uwezo wa kunisamehe. Wauaji wote wa kiislamu wanajua watu kwa jina łąkę!! Wanajua watu huku wakipayuka Allah-Akbar huyo kwangu Hana nafaszerowane kabisa!!
Tukiwaambia ukweli mnaanza kuficha uovu wa dini yenu ya kiuaji!!Umekaa udini na chuki za kidini ndio maana huangalii hoja utakufa kwa sonona baki wewe kama wewe dini umeikuta tu hapa duniani tumia utashi wa akili usiongozwe na mihemko ya kukaririshwa
Tukisema wakiristo ni wa dini sana huwa tunamaanisha ona ulichoandika sasa kwa mwislamu anaetekeleza maandiko hawezi kukuacha salama kwa matusi hayo halafu uje umuite gaidiAcha ujinga wako Allah wako huyo kwangu mimi ni takataka tu wala hana uwezo wa kunisamehe. Wauaji wote wa kiislamu wanajua watu kwa jina lake!! Wanaua watu huku wakipayuka Allah-Akbar huyo kwangu Hana nafasi kabisa na Hana uwezo wa kusamehe!!!
Mimi nimekuambia wanaouliwa Syria sio wakiristo Bali ni wafuasi wa Assad ambao miongoni mwao wapo wakiristo endelea na chuki zako za kidini maana kwa chuki hizo huwezi elewa hoja ya msingi hata upelekwe Harvard UniversityTukiwaambia ukweli mnaanza kuficha uovu wa dini yenu ya kiuaji!!
Haya wale wanaosema uislam dini ya amni wako wapi?Wakristo huko Syria sasa hivi wanakabiliwa na mauaji ya kutisha baada ya utawala Miya wa Syria kuamua kuwaua watu ambao wao wanawaita Makafiri.
Mauaji hayo yanawalenga waliokuwa waliokuwa wanaunga utawala wa Assad na wote waliowaita wao MAKAFIRI kufikia leo hii bado sijaona Maandamano kutoka nchi yoyote duniani hata Umoja wa Mataifa hawajasema lolote kwa wahanga hao.
Bila haki hakuna amani principle hiyo hutumika kote dunianiHaya wale wanaosema uislam dini ya amni wako wapi?
Tuliwaambia ukweli kuwa wengi mnawalazimisha wanabisha