Wakristo kimavazi tunazidi kupotea, Mavazi yaliyoshauriwa kwenye maandiko yamepuuzwa, Pongezi kwa Waislam kuendela kuvaa mavazi yanayositiri

Wakristo kimavazi tunazidi kupotea, Mavazi yaliyoshauriwa kwenye maandiko yamepuuzwa, Pongezi kwa Waislam kuendela kuvaa mavazi yanayositiri

M
Soma kuhusu mkakati wa malikia wa kuzimu dhidi ya kanisa utajua mengi kwann wakristo wameacha maagizo jinsi ya kuvaa walivyoelekezwa.
Malkia wa kuzimu ndio Nani?you people hebu tuweni serious kidogo
 
Mavazi huanza kumtambulisha
Mtu ni wa tabia gani kabla hata ya vipimo vingine kutumika!
 
M

Malkia wa kuzimu ndio Nani?you people hebu tuweni serious kidogo
Ni mmoja wa watenda Kazi wakuu wa serikali ya shetani,yule anaesimamia mambo yote yanayoendelea duniani ikiwemo mitindo ya miziki, fasheni ,urembo na mavazi Ili kumtoa mwanadamu kwenye asili yake. Yule anaewatokea watu akijifanya ni bikira Maria ndie aliyewatokea watoto wa Fatimah na anaemtokea mtoto Yunis wa Mara.
Wanaoenda kuzimu kusaka utajiri, uongozi, umaarufu wanamjua ndie wa kwanza kukutana nae.
 
Inawezekana umewaonea baadhi ila kiukweli binti wa kiislamu wanavutia sana na ni wasafi sana
 
View attachment 2427340

Mavazi ya kusitiri hayana Dini, Iwe na ukristo ama Uislamu yamewekewa msisitizo lakini inaonekana wazi kabisa wakristo wanapuuza maandiko kwa kuendelea kuyapa thamani mavazi yasiyositiri.

View attachment 2427341

Mimi binafsi ni mkristo nashukuru navyozaliwa haya mambo ya utandawazi wa mavazi yalikuwa bado hayajaathiri wanawake wa kikristo, tangu nizaliwe sijawai kuona mama Yangu katoka nje kavaa suruali (vazi la mwanaume) inayomchresha mapaja, Makalio na hips .... SIJAWAI !!! Ni jambo la kujivunia kwakweli, Hebu vuta picha Mama yako anatok nje vazi limemchora mpododo, steki, mapaja, hips, n.k.

View attachment 2427343


Shida inakuja siku hizi, Suruali, vimini na magauni marefu anayobana yenye mpasuko yamekuwa kama vazi rasmi,, ni kawaida sana hata mtoto kujua ukubwa wa makalio ya mama yake, hips zake, mapaja, n.k. Hii ni aibu sana.

View attachment 2427344View attachment 2427345

Biblia ilishakataza kuvaa mavazi ya wanaume hizi suruali, kila mtu kapewa free will a kutaka kufanya atakacho lakini ni muhimu kuangalia impact, Binti kavaa jeans imembana imemchora kilakitu, Haya ni majaribu ya wazi wazi kwa wanaume walioumbwa kuyatamani maungo hayo, Na ndio maana hata mwanaume akigeuka ni vile alivyoumbwa luyatamani mango hayo.

View attachment 2427346

Biblia ilishaweka wazi wanawake waae mavazi yanayositiri lakini kinachoendelea ni kinyume, sketi zinazovaliwa zinaishia magotini kuyafanya mapaja yaonekane mwanamke akikaa. Kuna sketi hizi ndefu kama za harusini lakini zimembana sana mwanamke hazina tena heshima maana zinaachia hips wazi wazi bila kusitiri.


View attachment 2427347
Umalaya unaitwa fashion siku hizi.
 
Wewe Bible uliletewa na mzungu na Quran uliletewa na muarabu, jiulize kabla yao bibi zako na babu zako walikua wanavaaje kabla ya uwepo wa viwanda vya nguo? Msijipumbaze kiasi hicho,
Kwahiyo sasa hivi hatuna viwanda vya nguo ?
 
SEMA Mimi nachukulia mwanamke anayevaa mavazi ya ivyo nyumba za ibada most of the time anakuwa horny.....anapenda sex kupitiliza KWAIYO KUVAA ivyo ni apate attention watu wamtongoze especially wale wanaovaa vile vijidude shanga sio shanga cheni sio cheni unakuta kimemmbana shingoni kama mbwa jike anayetafuta mbwa dume
Neno horny ndiyo mbadala wa neno malaya siyo ??
 
Duh, mkuu ila kuna 'principoz'...au?
Hata wakivaa magunia kama wewe ni mtu wa tamaa utawatamani tu. By the way hizi story za sijui ukristo hivi, sijui ukristo vile zimezidi sana humu JF, by the way sisi tunaoufahamu na tuliofundishwa na kuuelewa ukristo hatubabaishwi na thread zenu za kung’ata na kupuliza!
Nategemea kuona thread yako ya kusema umeamua kuhamia upande wa pili soon!😂
 
Kulete
Wewe Bible uliletewa na mzungu na Quran uliletewa na muarabu, jiulize kabla yao bibi zako na babu zako walikua wanavaaje kabla ya uwepo wa viwanda vya nguo? Msijipumbaze kiasi hicho,
Kuletewa sio ishu mkuu, ishu ni ustaarabu

Unaona siku hizi wanaume wanatoboa pua masikio na kusuka unadhani ni sawa pia?
 
Kwa hiyo wale wanaobaka mbuzi, kuku, Nguruwe nk nao wanavutiwa na maumbo ya hao wanyama?
Narudia binadamu umeumbwa na utashi au what we call the will in English….kusingizia wengine kwenye mapungufu yako huko ni kujidanganyaaa

Sio kusingizia, basi kama ni sawa mbona watu hawatembei uchi?

Na hayo mavazi kwa nn sehemu zingine hayavaliwi?


Unavovaa ndio hivo kichwani mwako ulivo

Ukiona mtu anavaa ovyo na kichwani mwake ni empte!
 
Back
Top Bottom