Gaddaf i06
JF-Expert Member
- Nov 14, 2022
- 1,770
- 2,841
Itoshe kusema "Muumba wa mbingu na nchi". Hayo majina ni lugha tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ikiwa hoja yako ni kujifunza, basi Mungu atakuletea watu wa kukufunza Mungu wa kweli na mwenye haki ni yupi. Na ikiwa hoja yako ni kudhihaki basi pia atajidhirisha Mungu mwenyezi kwako au kwa wanaokuzunguka kwa matendo makuu.Mungu nisaidie hiki.
Mungu utukuzwe.
Mungu naomba abcd.
Mungu nisamehe dhambi.
Mungu asante.
Mungu, Mungu, Mungu.
Mungu huyo hana jina ?
Kuna miungu zaidi ya elfu 18 inaabudiwa hapa duniani. Unaposali kwa kusema Mungu kuna tofauti gani na mtu asietaka kumpa jina mtoto?
Yahweh ni mungu wa Wayahudi mwanzo walikuwa wanadai akishirikianaTunasali kwa Mungu baba Mwenyezi aliyekuwepo, aliyepo na atakayekuwepo. Jina lake ni Yahwe
tuache kujadili dini za watuMungu nisaidie hiki.
Mungu utukuzwe.
Mungu naomba abcd.
Mungu nisamehe dhambi.
Mungu asante.
Mungu, Mungu, Mungu.
Mungu huyo hana jina ?
Kuna miungu zaidi ya elfu 18 inaabudiwa hapa duniani. Unaposali kwa kusema Mungu kuna tofauti gani na mtu asietaka kumpa jina mtoto?
Ila..??Yesu sio nabii.
InaelewekaIla..??
Mungu wa Kweli hutajwa kwa herufi kubwa yaani MUNGU au Mungu,ili hali hao wengine hutajwa kwa herufi ndogo zote yaani miungu.Mungu nisaidie hiki.
Mungu utukuzwe.
Mungu naomba abcd.
Mungu nisamehe dhambi.
Mungu asante.
Mungu, Mungu, Mungu.
Mungu huyo hana jina ?
Kuna miungu zaidi ya elfu 18 inaabudiwa hapa duniani. Unaposali kwa kusema Mungu kuna tofauti gani na mtu asietaka kumpa jina mtoto?
Nimetolea mfano tuKauliza wakristo.
Kwanza mi mwenyewe ni Mapunda hiyo Nzambe mmmmh🙄🙄🙄🙄mbona Kama kikongo?
Kwani shida yako ni nini hasa?Mungu nisaidie hiki.
Mungu utukuzwe.
Mungu naomba abcd.
Mungu nisamehe dhambi.
Mungu asante.
Mungu, Mungu, Mungu.
Mungu huyo hana jina ?
Kuna miungu zaidi ya elfu 18 inaabudiwa hapa duniani. Unaposali kwa kusema Mungu kuna tofauti gani na mtu asietaka kumpa jina mtoto?
Mbona Mungu Yesu umemsahau au Paulo alikudanganyeni?Yeye ni Mungu wa hiyo miungu yote uliyoitaja.Majina yote mazuri ni yake.
Yehova
Adonai
El Shaddai
Elohim
Raffa
Sharma
Yahwe
Hakika anayo mengi yenye kuvutia,
Inatosha kabisa Yesu kuitwa hivo na wala si Mungu.Kwanini Yesu msimuite nabii, kwani haitoshi akiitwa nabii ?
kwanini asiitwe nabiiInatosha kabisa Yesu kuitwa hivo na wala si Mungu.
Yesu ni Mungu mwana....tunaamini katika utatu mtakatifuMbona Mungu Yesu umemsahau au Paulo alikudanganyeni?
Tito 2:13
tukilitazamia tumaini lenye baraka na mafunuo ya utukufu wa Kristo Yesu, Mungu mkuu na Mwokozi wetu;
Ni kweli. Hawana tofauti na ile miungu iliyojaa makka ambako waislam huenda kutupa mawe kwa sanamu la shetani, kuabudia makaburi na kusujudia miungu wa kiarabu akina lat al uzza na wengine wengi. Hizi dini za kishenzy za kuletwa ni ushirikina mtupu.Mungu nisaidie hiki.
Mungu utukuzwe.
Mungu naomba abcd.
Mungu nisamehe dhambi.
Mungu asante.
Mungu, Mungu, Mungu.
Mungu huyo hana jina ?
Kuna miungu zaidi ya elfu 18 inaabudiwa hapa duniani. Unaposali kwa kusema Mungu kuna tofauti gani na mtu asietaka kumpa jina mtoto?
Mungu nisaidie hiki.
Mungu utukuzwe.
Mungu naomba abcd.
Mungu nisamehe dhambi.
Mungu asante.
Mungu, Mungu, Mungu.
Mungu huyo hana jina ?
Kuna miungu zaidi ya elfu 18 inaabudiwa hapa duniani. Unaposali kwa kusema Mungu kuna tofauti gani na mtu asietaka kumpa jina mtoto?
Yesu ukimwita nabii wangu haitoshi ?Kwangu mimi nikisha sema baba yangu wa mbinguni inatosha maana jina lake naliogopa sana ! Mimi lile jina la yule kijana wake mpendwa nataka ila siyo la mzee ..
Ni poa pia hamna tatizokwanini asiitwe nabii